Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

We umekaa na wazaramo sauti yakumtoa nyoka pangoni utaipatia wapi ....... njoo chuga wenzako kaskazini wenzako tunafaidi
 
😂😂😂Ukivurugwa sauti inabadilika
Mimi zamani nikiongea walikuwa wananiambia sauti km wema Yani saut nzuri ya kubembeleza ,ukali wa maisha saut imekuwa ya kingwendu usiombe unikute kazini nimevurugwa 😂😂😂
🤣🤣🤣 Ushawahi kumpa Konda elfu 10, chenji hajarudisha halafu anakudai tena? Kuna sauti flani hivi ya kupambania chenji akukumbuke🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…