tunawapondaga wao mkuuuu ila si watoto
hata siku moja hatunaga ugomvi na watoto
sisi ugomvi wetu ni kwamba single mother wanamtindo wa kupasha viporo
na wanaume walio zaa nao ndio mana tunawapiga sana vita.
ila linapokuja swala la mtoto Huwa tunakuaga wengine kabisa.
mkuuu hapa tunajadili na haina maana ninachokiandika ndio kiwe sheria
mawazo yangu si sheria kwa mtu yeyote yule unahaki ya kuyakubali na kuyapinga pia
hivi vitu hatuongelei kwenye situation za wazazi kufariki,mada kama hizi tunapo discuss huwa
tuna assume wazazi wote wapo na hamna kipingamizi cha aina yeyote ile.
ingekua tunaongelea mapungufu mwingine angeweza kusema:
Mimi mbona mke wangu ni kipofu na ni kilema,atamtesaje mtoto wa mwingine?
so tunajua kuna vitu kama hivyo ulivyosema ila mara nyingi tunapo jadili mada za hivi
ondoa mawazo ya Kifo,magonjwa,ulemavu ondoa kabisa
Ahsante Sana Mkuu kwa ushauri wako mzuri hakika utakuwa umesomwa na kueleweka kwa vijana wengi Sana ambao hawajaoa Wala kuzalisha mtoto.kuwa makini sana sana mkuuu na mwanamke unae fanya nae mapenzi na unaona kabisa HUYU
siwezi kuja kumuoa yani mwanamke unae ona hutoweza kuja muoa vaa kondom hata 5 asidake mimba asee
maana kama akidaka mimi sitokaa nikushauri umtoe na sitokushauri uoe mke mwingine.
Jisemeee moyoni (kuanzia leo ntato..mba mwanamke ambae tu anaweza kuja kuwa mke wangu)
yani we puyanga weeeeeee ila siku ikatokea bahati nzuri mdada wa watu ktk wale unaruka nao kakwambia ana mimba yako
Jisemee tu moyoni (asante baba maana huyu ndie mke wangu)
π π πNinavyofahamu pia, watoto waliozaliwa na mama mmoja ila baba tofauti hupendana na huwa wamoja.
Ila watoto waliozaliwa baba mmoja ila mama tofauti mara nyingi hawapendani na ni ngumu kuwanganisha.
Ni kwamba mama anauwezo wa kuwanganisha watoto wake hata kama ni wa baba tofauti ila baba hawezi kuwanganisha wanae aliyewazaa na mama tofauti.
Kwa hiyo, mtoto akae na mama maana mama anaweza kuunganisha wanae.
Unaweza kulea mtoto wa mke wako,aliezaa na mwanaume mwingine?.ila BABA ukirudi nyumbani mtoto huyo huyo aliekua akifinywa mashavu ukiwa haupo
utamuona mama (mkeo) akimuita na kujifanya anampakata na kujitia anamdekeza (basi hapo mwanaume unaona yeees)
Kumbe zote zuga tu, ukiondoka kazini mambo ni yale yale.
Ni basi tu watoto hawawezi kusema kwa kuogopa vitisho alivyopewa (ole wako baba ako akija nikuone fyoko fyoko fyoko)
Weee hivi unajua masimango ya kuwa mama wa kambo?ila ukweli unajua "humpendi na wala humchukiii" ila unatimiza wajibu wako kama mzazi
mtoto anapokosea panapohitaji kuchapwa achapwe,panapohitaji kupongezwa apongezwe
Tofauti ya malezi yako na kwa mwanao nadhani umeshaona jinsi unavyokosea mahali flani
IF you realy n realy love him/her akikosea mchape usiangalie watu watasema nini "mlee ktk usawa"
akikua ataona jinsi unavyomchapa ndugu yake "hatopenda" atatengeneza image mbaya akilini mwake
Waleee kwa usawa kama jinsi usivyo jali watasema nini unapomchapa mwanao akikosea inabidi pia USIJALI
watasema nini utapomchapa mtoto wa mume wako.( lea wote kwa usawa)
Jamaniii dahπsure japo kuna wachache sana wenye roho nzuri nadhani dunia nzima sjui kama wanafika 8 π π
Naweza kwa mwanaume huo uwezekano upo tena mkubwa tu lakni kwenu ninyi maskitiko tena makubwaUnaweza kulea mtoto wa mke wako,aliezaa na mwanaume mwingine?.
Ni kwa sababu hamkai na watotoNaweza kwa mwanaume huo uwezekano upo tena mkubwa tu lakni kwenu ninyi maskitiko tena makubwa
acha nimlete kale ka cha utundu wangu huko kale good timeWeee hivi unajua masimango ya kuwa mama wa kambo?
hata km ur loving to the child lazma watamchimba tu mtoto kwa minajili they dont trust you
nishajiapiza wayy before i met my step daughter sitomchapa sitomfokea sitofanya loloote la kinidhamu namuachia babake na mamake wapambane..km ni kusema nasema machache nmemaliza
Lawama siwezi kabisaa..
Sanasana labda nimpe goodtimes tuu
Chukua mwanao peleka boardingJe vip kama ume zaa na ex wako alafu yeye nae hakai na mtoto Bali ame mpeleka kijijin kwao huko Ana kaa na bibi yake afu yeye a napambana na maisha ya mume wake Mpya
Je na hapa napo uendeelee kutuma pesa kijijin kwa wazaz wa ex wako wakulele au vip?
Mana Kuna wakati sio tuu kuwa na msimamo yenye kuangalia mzingira ya Aina moja pasi Kujua Hali ya upande mwingine
Je vip wale wanawake wanasema wenyewe njoo mchukue mtoto wako mana wapo wanaume wengine hawakubali kulea mtoto WA mtu kama baba yake yupo mjin na anauwezo anamuona hawez kubali hii ime kaaje Nisaidie majibu