Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanapenda visa farida ambavyo hata havina maanamimi nimeoa Mpare -nataka kumuacha ni anapenda sana kwenda kwa sangoma,..nioe mnyakyusa mwenzanngu
Unawajua vema wanyakyusa nimeishi nao miaka 10; ntaba ipinda masoko ibutu ksyeto mpungti mwakaleli mawasiliano msasani Kwa mbila pa kanselo nkSikujua kama wanyaki wana hizi mambo ya ubishi na u-much know, nilikuwa na fundi wangu mnyakyusa, aisee mnaweza kutofautiana mtazamo au jambo fulani sasa atabisha hadi giza, hata kama umefanya maamuzi yako kwa kuchukulia kwamba wewe ndo mwenye kazi, huo ubishi itabidi utafute na maji ya baridi, halafu ni kwa sauti ya juu hadi mtaa wa pili watajua leo kuna shughuli huko.........sasa piga akili wamekutana na mhaya aka. nshomile.......lazima msuluhishi atafutwe mapema.
Ughonile Malafyale! Ughonile KikoloAbhanyakyusa Wanyafyale, Bha Jubha wa Banyambala Mugonile....