Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano. Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka...
www.jamiiforums.com
Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri. Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwa watu wao wengi wametekwa? Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika...
www.jamiiforums.com
Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?
Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:
Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.
Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.
Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.
Ushindi gani unaongelea wewe bibi tarabushi FaizaFoxy wakati Gaza kaskazini inakaliwa na Israeli.Majengo yote ya serikali,makao makuu ya Hamas,mahospitali,shule ,misikiti yote ipo chini ya Israeli;Pande zote,ardhini,majini na angani!
Makubaliano hayakufikiwa kwa masharti ya magaidi ya Hamas, bali ni kutokana na juhudi za USULUHISHI wa Qatar na Misri, ili kutoa mwanya kwa misaada ya kibinadamu kama chakula, madawa, nk kufikishwa huko..
Ninachokupenda dada FaizaFoxy ni kitu kimoja tu unaweza kuwapiga spana wavaa rozari wote wa jf..
Wavaa rozari wengi ni wapumbavu! Mwezi wa pili huu hatuoni ushindi wa mazayuni licha ya kusainiwa na USA,UK na Ufaransa..
Narudia tena kuwaambia Mazayuni hayatashinda hata yakibomoa majengo yote ya Gaza, na Kila lizayuni litakaloingia kwenye handaki kurudi Tena uraiani ni majaliwa yake mola.
Hatari unaripoti ukitokea wapi mkuu maana hii tunashangilia pamoja kushindwa mazayuni na watu waliomtegemea Allah bila kujali majiguvu ni bebe ya mazayuni!
Kushinda au kushindwa kunahitimishwa baada ya vita kuisha unless otherwise upande mmoja uonyeshe kusurrender na hivyo kuupa upande wa pili landslide victory.
Kushinda au kushindwa upande mwingine huangaliwa na madhara kila upande uliopata hivyo kudhoofisha na kufifisha upande mwingine kuwa na nguvu ya kuendelea kusonga mbele kwenye uwanja wa vita.
So far Palestine imepata madhara makubwa sana ndio maana hata jamii ya kimataifa imetoa petition nyingi kuomba kusitishwa kwa mapigano sababu wanaoathirika sio Hamas bali watoto na kina mama wasio na hatia .
Hamas wanajificha kwa kujenga mahandaki katika maeneo ya huduma za kijamii kama hospitali na shule hivyo IDF wakipiga casualities nyingi tunaona wanaokufa ni unarmed civilians so far Hamas walichotimiza ni kuivamia Israel kwa suprise October 7 , ila kama ni madhara makubwa baada ya hapo wameyapata zaidi.
Haaretz inaripoti kuwa makubaliano ya kubadilishana kati ya Wapalestina na Israel yalipendekezwa na upinzani hapo awali lakini Netanyahu alikataa.
Netanyahu alikubali kukubali mpango huo huo kutokana na shinikizo kutoka kwa familia za wafungwa wa Israel huko #Gaza baada ya ripoti kwamba jeshi la Israel liliwaua kadhaa kati yao katika mashambulizi yake ya mabomu.
Hii ni kumbukumbu nzuri na ya kutunzwa jeshi lenye technology ya hali ya juu na wanasapoti ya america magaidi namba moja ulimwenguni wauwaji wakubwa laana matulillah wameshindwa kukifuta kizazi cha wapelestina na hatia wasio na silaha ndege wala kifaru!
Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano. Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka...
www.jamiiforums.com
Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri. Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwa watu wao wengi wametekwa? Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika...
www.jamiiforums.com
Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?
Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:
Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.
Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.
Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.
Kwa kweli ni ushindi mkubwa sana ashukuriwe allah maana;
1. gaza kumegeuzwa magofu,
2. zaidi ya wapalestina 14,100 wamefyekelewa mbali na wengi sana wapo kuzimu kwa sasa wanampigia mtume mudi stori za wayahudi.
3. wapalestina kibao wamefurushwa kwenye makazi yao na hivyo wamekuwa wakimbizi na hawana pa kurudi.
4. gaza imekuwa chini ya udhibiti mkamilifu wa wayahudi na hakuna mpango wa kuwarudishia panyarodi hamas.
5. wapalestina wamekosa huduma za kibinadamu kiasi cha wanawake wa kipalestina kushindwa kupata hata maji kidogo tu ya kujisafisha uchafu wa hedhi.
6. vifaa vya kijeshi/miundo mbinu ya kijeshi ya vipanyarodi vya hamas imeteketezwa na wayahudi.
Hawa watu wa kwenda kula bikira hawanaga akili jombaa achana nao. Kuna sehem nilikuwa juz huku China walishaambiwa hakuna kuita watu kusali asubuhi kila mtu anajua Wakat wa kusali. Wakajichanganya. Mzee Baba usiombe. Xi Jin ping hafai. Hakuna cha msikitin wala ***** aliyebaki. Na hakuna vyombo vya habari watu ni kukamatwa tu bila sababu.
Hawa watu wa kwenda kula bikira hawanaga akili jombaa achana nao. Kuna sehem nilikuwa juz huku China walishaambiwa hakuna kuita watu kusali asubuhi kila mtu anajua Wakat wa kusali. Wakajichanganya. Mzee Baba usiombe. Xi Jin ping hafai. Hakuna cha msikitin wala ***** aliyebaki. Na hakuna vyombo vya habari watu ni kukamatwa tu bila sababu.
Heading umeandika ”Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?” huku chini unasema vita bado inaendelea.
Mchina ndie ninaemkubali kwenye hiz Mambo mjomba. Yaan ukiwa mkristo cjui Papa achague askofu hakuna. Askofu wa hapa anachaguliwa na serikali so unafanya ukristo wako chini ya utii wa serikali na hawana masihara. Huku uighur Mzee hawa makobaz wanaendeshwa chini ya sheria za china. Na madrasa zao walimu ni wakomunisti na watoto wana shule zao maalumu kuwakinga na masomo ya kigaidi. Mchina ni bastola mkononi Mzee. Wanakuambia hiz ni sheria za China.
Mchina ndie ninaemkubali kwenye hiz Mambo mjomba. Yaan ukiwa mkristo cjui Papa achague askofu hakuna. Askofu wa hapa anachaguliwa na serikali so unafanya ukristo wako chini ya utii wa serikali na hawana masihara. Huku uighur Mzee hawa makobaz wanaendeshwa chini ya sheria za china. Na madrasa zao walimu ni wakomunisti na watoto wana shule zao maalumu kuwakinga na masomo ya kigaidi. Mchina ni bastola mkononi Mzee. Wanakuambia hiz ni sheria za China.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.