Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

Kwani lengo la kuanzisha vita ilikuwa nini
Vita ilianza mwaka 1948 baada ya Muingereza kuigawa ardhi yao kwa mazayuni.

Haijaisha huwa mapigano yanasitishwa tu namna hii mazqyuni anapochezea kichapo.
 
Vita ilianza mwaka 1948 baada ya Muingereza kuigawa ardhi yao kwa mazayuni.

Haijaisha huwa mapigano yanasitishwa tu namna hii mazqyuni anapochezea kichapo.
Ushindi ni hadi ardhi ya Wapalestina itakapokombolewa. Hii kwa sasa ni water break tu
 
Vita ilianza mwaka 1948 baada ya Muingereza kuigawa ardhi yao kwa mazayuni.

Haijaisha huwa mapigano yanasitishwa tu namna hii mazqyuni anapochezea kichapo.
Mlaumu allah aliye waneemesha na kuwarithishaYahudi!
[emoji116][emoji116]
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

(AL - BAQARA - 47)
Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni zile neema zangu nilizo kuneemesheni, na nikakuteuweni kuliko wote wengineo.

وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَتُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ

(AL - A'RAAF - 137)
Na tukawarithisha watu walio kuwa wanadharauliwa mashariki na magharibi ya ardhi tuliyo ibariki. Na likatimia neno jema la Mola Mlezi wako juu ya Wana wa Israili, kwa vile walivyo subiri. Na tukayaangamiza aliyo kuwa akiyafanya Firauni na kaumu yake, na waliyo kuwa wakiyajenga.
 
Unajisifia kuua raia? WTF. Kiufupi Israel na IDF wamedhalilika
Halafu baada ya kuua kote huko imebaki mikono mitupu.Inaomba irejeshewe mateka wake.
MashaAllah Hamas kwa dua walizoombewa na waislamu ulimwengu mzima wamethibitika nyayo zao hawajatetereka kwa kipigo wamebaki na akili na ushujaa wao.Mazungumzo ya kusimamisha vita na kuwatoa mateka wanafanya wakiwa wamebaki na mbinu zao kuendeleza vita.
 
Mlaumu allah aliye waneemesha na kuwarithishaYahudi!
[emoji116][emoji116]
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

(AL - BAQARA - 47)
Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni zile neema zangu nilizo kuneemesheni, na nikakuteuweni kuliko wote wengineo.

وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَتُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ

(AL - A'RAAF - 137)
Na tukawarithisha watu walio kuwa wanadharauliwa mashariki na magharibi ya ardhi tuliyo ibariki. Na likatimia neno jema la Mola Mlezi wako juu ya Wana wa Israili, kwa vile walivyo subiri. Na tukayaangamiza aliyo kuwa akiyafanya Firauni na kaumu yake, na waliyo kuwa wakiyajenga.

Yesu naye hayumo ?? Hakuzipata neema ??
 
Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.

Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:

- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:

- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?

Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:


View attachment 2821803


Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.

Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.

Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.

Video clips zinafatia.

Lakini
ni kweli wameshinda. hadi sasa waisrael waliokufa hata 1500 hawafiki, ila wapalestina ni 13,000 na Gaza yote imekuwa kama wanaishi popo.majengo hakuna, maiti utpu zipo kwenye rubbles zile. hivi huwa mnasoma shule gani ninyi mood kawachukua akili zote namna hiyo? hata kwa hesabu za kawaida tu hapo utasema hao ndugu zako wameshinda?
 
Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.

Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:

- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:

- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?

Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:


View attachment 2821803


Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.

Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.

Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.

Video clips zinafatia.

Lakini
Sikiliza Majuha wenzio wa Kiislam ati wanasema hii vita itaendelea mpaka waishinde Israel na baada ya hapo America wataingia vitani na Russia vile vile, lakini Waislam watawadhinda wote hao 😄
Yaani nyinyi Waislam mna hadithi za kijuha kweli kweli. Na jinsi mlivyokuwa corrupted na kitabu chenu, kia Taifa hapa Duniani ni wagomvi wenu. Endeleeni hivyo hivyo, maana wamarekani kutokana na kuheshimu hali za binadamu mnawachezea. Mziki mtaupata siku Wachina na Warusi watakapowageuka

View: https://x.com/MEMRIReports/status/1727720411398603224?s=20
 
Sikiliza Majuha wenzio wa Kiislam ati wanasema hii vita itaendelea mpaka waishinde Israel na baada ya hapo America wataingia vitani na Russia vile vile, lakini Waislam watawadhinda wote hao 😄
Yaani nyinyi Waislam mna hadithi za kijuha kweli kweli. Na jinsi mlivyokuwa corrupted na kitabu chenu, kia Taifa hapa Duniani ni wagomvi wenu. Endeleeni hivyo hivyo, maana wamarekani kutokana na kuheshimu hali za binadamu mnawachezea. Mziki mtaupata siku Wachina na Warusi watakapowageuka

View: https://x.com/MEMRIReports/status/1727720411398603224?s=20

Huyu mandevu kalewa bangi.
 
Back
Top Bottom