Wapenda haki hatutompa Kura Diamond Platnum kama tulivyokubaliana

Kama hizi ndio akili za watz wengi tuna safari ndefu sana kufikia uchumi wa juu hv kweli unamuonea wivu mwanaume kumtia mimba mwanamke.
 
Naunga hoja, et watenda haki, ujinga mtupu hata nchi hawajashika et watenda haki
 
Reactions: tyc
Mtu anaandika utopolo kama huu maskini tu unakunuka na wivu mkubwa kwa diamond
 
Hii ndio shida ya kuwa na mbunge mmoja , mda mwingi mnajikita kwenye ujinga badala ya kuendeleza chama chenu, kadanganyeni watoto huko nyie ni chadema hakuna wapenda haki wala ukwa
Akili ndogo Sana hawa wanaharakati mavi wanajiita Chademu, namm kura yangu wanapoteza
 
Achana na hao Chademu, wanajifa wao ndio mungu watu
 
Kama hizi ndio akili za watz wengi tuna safari ndefu sana kufikia uchumi wa juu hv kweli unamuonea wivu mwanaume kumtia mimba mwanamke.
🤣🤣🤣🤣

Jamaa anaongea kwa uchungu kweli kisa Diamond kumtia mimba mwanamke mwenye akili zake, sijui alitaka hio mimba abebeshwe yeye mleta mada au dada zake
 
Hakunaga kanuni ya hivyo Duniani na mbinguni.

Ubaya hulipwa Kwa ubaya
Wema Kwa wema. Tit for tat
Ukihubiri utengano ukitengwa usilalamike.
Jpm kila siku mlikuwa mnalia kuwa analeta mpasuko wa kitaifa kwa kuwapendelea ccm. Yani alikuwa anaongoza taifa kwa kufuata itikadi za kichama. Hata kwenye ziara alikuwa akifika sehemu anauliza kama diwani au mbunge ni wa ccm.
Chadema tulilipinga hili sana la kuwagawa watanzania kwa itikadi za vyama vyao.
Lakini naona sasa wanachadema wenzangu mnaelekea kule kule kwamba asiye upande wetu ni adui yetu.
Kama ni kusimamia haki tuisimamie pasipo kujali anayebidi kupata hiyo haki ni nani. Siyo tu kupiga kelele bali tu sisi tunapominywa ila kama kaminywa mwingine tuone sawa.
Diamond na mtanzania yeyote ana haki ya kuwa shabiki/mwanachama wa chama chochote na hiyo haimfanyi kuwa adui mpaka ianzishwe kampeni ya kwamba kwakuwa hafuati itikadi zetu za kisiasa basi asipigiwe kura. Kwa kufanya hivyo hatuna tofauti na ccm wakisema kuwa serikali ya ccm haitampatia kazi mtu yoyote ambaye ni mwanachama wa upinzani.
 
Naomba LEO niandike kidogo,
Mwaka 2008 nilichaguliwa kuwania TUZO za MTV BASE ambazo zilifanyika katika jiji la ABUJA - NIGERIA, Nilikuwa nimechaguliwa kugombea Category Ngumu sana ya BEST HIP HOP ARTIST ambapo nilikuwa nagombea na The GAME, LIL WAYNE na msanii wa NIGERIA anaitwa 9ICE, Nilikuwa Msanii pekee kutoka TANZANIA na nilikuwa nimeambatana na @josephkusaga @kelvin.twissa kutokana na Nafasinzao kwenye MUZIKI wa AFRIKA,
Kwa kweli nilijua kabisa kuwa SITASHINDA kwenye nafasi hiyo kutokana na ubora wa wale watu nguli niliokuwa nashindana nao ila niliona hiyo ni nafasi yangu kubwa na ya kipekee ya kuitangaza nchi yangu na utamaduni wetu na nilivaa vazi ililowavutia wengi VAZI la KIMASAI na nilipewa Heshima kubwa ya kukabidhi TUZO kwa mmoja wa washindi. Kilichotushangaza sisi tuliotoka TANZANIA ni CAMPAIGN ya nchi nzima ya WANAIJERIA ya kuhakikisha msanii wao 9ICE anashinda TUZO hiyo na sio TUZO hiyo pekee bali TUZO zote ambazo Wanaijeria wanagombea, Ilikuwa ni KAMPENI kubwa ya nchi nzima , KAMPENI hiyo iliongozwa na WAZIRI wao wa SANAA na UTAMADUNI sambamba na WAZIRI wao wa UTALII, Nia yao ilikuwa kuwauza wasanii wao wa nchi yao kwa TAIFA lao, Mwisho kwenye Category yetu msanii 9ice alishinda mbele ya JAYZ, LILI WAYNE na Mimi, Binafsi sikuwahi kumsikia kabisa mpaka leo ni miaka 15 imepita sijui hata alishawahi kuimba kitu gani, Kwa mwaka huo zaidi ya asilimia 90 za AWARDS zilibakia Kwa WANAIJERIA,
Hii ina ni funzo kubwa sana kwetu Watanzania kuwa anaposimama MTANZANIA yeyote kugombea TUZO yeyote au jambo lolote Duniani ni lazima tusimame nae pamoja bila kujali Makundi yetu , Itikadi zetu, dini zetu wala makabila yetu maana hapo Inasimama TANZANIA na sio mtu mmoja mmoja,
Kwa MFANO huu wa NIGERIA Nitumie nafasi hii ya muhimu kuwaomba WATANZANIA wote kwa umoja wetu tusimame pamoja na tumsapoti Kijana wetu diamondplatnumz ambae ni msanii pekee wa TANZANIA na anasimama kidete kuiwakilisha TANZANIA kwenye TUZO kubwa za BET aweze kushinda AWARD hii kwa manufaa ya TA

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Roho mbaya haijengi.
 
Waliompandisha ndio hao hao watakaomshusha.....kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…