Wapenda haki hatutompa Kura Diamond Platnum kama tulivyokubaliana

🀣🀣🀣🀣

Jamaa anaongea kwa uchungu kweli kisa Diamond kumtia mimba mwanamke mwenye akili zake, sijui alitaka hio mimba abebeshwe yeye mleta mada au dada zake
πŸ˜„πŸ˜„ tena unaweza kukuta alieandika hvyo ni mtu mwenye familia au cheo kizur tu kwenye chama cha siasa aiseeee.Wao wanahubiri demokrasia ila hawataki wengine wawe na hyo demokrasia kazi kweli kweli.
 
Umeandika points sana kama waelewa wataelewa.
 
Kila mtu ashinde mechi zake
 
Kwani lini mmewai mpa kura na akashinda.
Mkuu sisi kama mashabiki wa chelsea bado tuna deni na wewe. Ulituahidi masaburi lakini mwisho ukatokomea kusikojulikana. Kwahiyo sisis kama mashabiki wa chelsea tunaomba ututimizie ile ahadi yetu pendwa kama ulivyoahidi.

Nawasilisha.....
 
Miziki yake tutacheza lakini kura nooo 😁😁😁
 
Umasikini wako haujasababushwa na Diamond
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu unaandika kwa uchungu hivi kisa kumuonea wivu mwanaume kutia mabint mimba?
 
wakati wa chaguzi sihuwa anawapigia kampeni CCM?? hao hao ndo wambebe, mimi nachinjilia mbaliiiii ebu leteni link nichinje mbulumundu
 
Ina maan kule PM hujaona au? [emoji23][emoji23][emoji23] wee jisahaulishe tyuuh haya bhana, ma fix zako hizo. Lol
Hamna kitu PM yangu. Niwekee hapa hapa basi chap halafu unaifuta. Labda PM yangu ina shida.
 
Avatar yako tu inaonyesha wewe ni kizazi cha nyoka. Basi kama ni tofauti basi we mwenzetu kizazi cha Sokwe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Etii wapenda haki, my foot
Unayofanya we ndo mtenda haki au?
Kila mtu afanye yake, mi nampigia ashinde asishinde fresh tuu kwan Nini!

Acha chuki binafsi
Usiwe na hasira kura yako haiitajiki mkuu.
 
Sikuwahi kujua Kama na we jamaaa ni zero kiac hiki sasa Kwan siasa na mzik wap na wapi yani kijana ni hard worker lakina kisa eti ni ccm [emoji16][emoji16] kijana tutampigia kura na atapita hey burna ana msaada gani kwako mbon hata kiba, mmakonde , na wasanii almost wot walikua wanawapigia kapn ccm acha watu watafute feza na kuwakilish taifa we Kama hupig baki na uchaw wako .. komb lazim lirud nyumban m n chadema dam ila kwa hili la mkumbo w kigogo hampati mtu ...den hat akikosa utapt faida gani [emoji16][emoji16] we ni zeroooooo kam mbulula wengine

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Nachoshangaa wapenda haki hawana tatizo na wanamtetea Mama Samia ambaye ndiye alikuwa Makamu wa rais kwenye utawala dhalimu ila msani tu Diamond ndio analaumiwa kuwa alikuwa upande wa dhalimu na hajawahi kutumia nafasi yake kutetea jamii. Binafsi nashindwa kuelewa maana kama Makamu wa rais tu alishindwa hata kumkosoa kuonesha hakubaliani na Boss wake na tumesikia kauli zake kipindi cha kampeni ila yote hayo kasameheka, sasa sijui Diamond anapataje lawama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…