Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Anaanza kwa jina la baba nanii, my au mumekwa hiyo anakwambiaga shosti au shoga yangu nna umbea wa moto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaanza kwa jina la baba nanii, my au mumekwa hiyo anakwambiaga shosti au shoga yangu nna umbea wa moto?
Alafu tukiwapa ushirikiano kwenye umbea mnafurahi kweli hadi mnasahau matatizo mengine 😄Hii wote tu sio wewe umbea na mume unanoga balaa
Sasa na alivyo na career yake hutokaa uamini anavyodeka!Woooi, ndo maana magufuli aliwahi kusema "Msije shangaa naosha vyombo nyumbani" wanaume tukiwa kwa wake zetu kuna mengi sana yanatokeaga yaan image 2 tofauti kabisa. Ona wa huyu yeye anadeka, hahahahaa
Shambulio la aibu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina wasiwasi umefanana makalio na mkeo
Kama huna cha kucoment bora kukaa kimya kuliko kutafuta likes za kijinga kwa kuharibu thread nzuri.
HahahahaSasa na alivyo na career yake hutokaa uamini anavyodeka!
Kuna siku sijui aliniudhi nini nikakasirika sikumwambia kama nampenda, akanitumia VN analalamika mpaka kesho nikiisikiliza nacheka sana!
Huhuu na lazima akusapoti 😂😂😂Alafu tukiwapa ushirikiano kwenye umbea mnafurahi kweli hadi mnasahau matatizo mengine 😄
😂😂😂😂😂Pole pole, kataa ndoa na chaputa wanapita humu tafadhali
OOH KUMBEAnaanza kwa jina la baba nanii, my au mume
GOOD FOR YOU MKUUSio poa mi huwa namkaripia akianza kuleta stori stori za kimbea.
Wala hatupiti kimya mkuu , hili swala la kufanana ni utapel halina ukwel hata kidgo.wale wa kataaa ndoa tunaapita kmya kimya huku tunasonya tu
[emoji4]Kuna maneno tumeigana ila kubwa zaidi ni kudeka. Mimi ndio cha kudeka, sasa nae nimemdekeza sasa hivi anadeka.
Huwa nacheka mpaka basi!
Kaka mkubwa hata kama unajifanya kuenjoy hayo sioi kamwe[emoji16][emoji16]Wanapenda umbea hawa viumbe sio poa, kuna nyakati hata kusubiri jioni mkirudi home anaona kuchelewa, unavutiwa waya wote mkiwa kazini. Unasikiliza tu sasa utafanyaje!
😂😂😂Alafu tukiwapa ushirikiano kwenye umbea mnafurahi kweli hadi mnasahau matatizo mengine 😄
Isije kuwa wewe ndio mke wangu ?Tuna misemo yetu ambayo mwingine hawezi elewa,tunaweza kukusengenya upo hapo hapo🥲