Wapenzi mkikaa pamoja kwa muda mrefu kuna kitu mtafanana, je wewe umefanana nini na mpenzi wako?

Wapenzi mkikaa pamoja kwa muda mrefu kuna kitu mtafanana, je wewe umefanana nini na mpenzi wako?

Isije kuwa wewe ndio mke wangu ?
Maana hizo tunazo sana mimi na wife.

Tumepachika sana watu majina yasiyo rasmi na majina hayo tunayajua mimi na yeye tu,so wakati tunaongea hatuwataji watu kwa majina yao bali tunataja kwa yale majina tuliyowapa sisi.

Hiyo ni ishara nzuri katika mahusiano kwa sababu inatengeneza chemistry ambayo ni ya uhakika sana,mtashsngaa mnsgombanaaaa wee ila kuhusu kuachana wala hamjawahi kuwazaga kumbe mmeshatengeneza chemistry kitambooo
Hizo zetu sanaaa,🤣🤣🤣majina ndio zetu mbona, yaani Mtu anaongelewa unadhani humjui kumbe unamjua sana
 
Wapenzi mkikaa muda mrefu kuna vitu mtafanana sababu ya kuigana tu ambako kunatokea automatically.

Mfano mke wangu ameiga kabisa maneno nnayotumia kuwagombeza watoto wakikosea, akiwa peke yake labda seblen mie nipo nje au chumbani utasikia anatumia hayohayo maneno nnayotumiaga mimi. Vile vile hata ongea yangu naona anaiiga na mm kuna baadhi ya maneno machache nimeyatoa kwake pamoja na namna ya kuyatamka.

Ww je umefanana nini na mpenzi wako?
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚Vitabia tabia fulani lazima mfanane
 
Wapenzi mkikaa muda mrefu kuna vitu mtafanana sababu ya kuigana tu ambako kunatokea automatically.

Mfano mke wangu ameiga kabisa maneno nnayotumia kuwagombeza watoto wakikosea, akiwa peke yake labda seblen mie nipo nje au chumbani utasikia anatumia hayohayo maneno nnayotumiaga mimi. Vile vile hata ongea yangu naona anaiiga na mm kuna baadhi ya maneno machache nimeyatoa kwake pamoja na namna ya kuyatamka.

Ww je umefanana nini na mpenzi wako?
Kuniwekea miguu yake kifuani wakati tumelaa

Na tembea yangu
 
Hizo zetu sanaaa,🤣🤣🤣majina ndio zetu mbona, yaani Mtu anaongelewa unadhani humjui kumbe unamjua sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃
 
Wanaume tunazidi kupungua

Mnakaa kabisa na mkeo kama mashosti kupiga umbea

Mnakuwa mmevaa na kanga kabisa?
Mzee watu wa pwani kuvaa kanga za wake zao ni kawaida. Hujawahi kusikia kuna wanaume wa Tanga wanavaa shanga, ili wawabandue mademi vizuri?


Kuna watu wamepinda sana out there. Unakuta mtu katoka na kanga ya mke wake asubuhi anaenda dukani kununua dawa ya meno.
 
Mzee watu wa pwani kuvaa kanga za wake zao ni kawaida. Hujawahi kusikia kuna wanaume wa Tanga wanavaa shanga, ili wawabandue mademi vizuri?


Kuna watu wamepinda sana out there. Unakuta mtu katoka na kanga ya mke wake asubuhi anaenda dukani kununua dawa ya meno.
Ndio maana Tanga na mikoa ya pwani kuna machoko wengi sana
 
Wapenzi mkikaa muda mrefu kuna vitu mtafanana sababu ya kuigana tu ambako kunatokea automatically.

Mfano mke wangu ameiga kabisa maneno nnayotumia kuwagombeza watoto wakikosea, akiwa peke yake labda seblen mie nipo nje au chumbani utasikia anatumia hayohayo maneno nnayotumiaga mimi. Vile vile hata ongea yangu naona anaiiga na mm kuna baadhi ya maneno machache nimeyatoa kwake pamoja na namna ya kuyatamka.

Ww je umefanana nini na mpenzi wako?
Kuna watu wana ambukizana viburi
 
Back
Top Bottom