Wapi mnapata pesa za kujenga wandugu? Mbona kwangu naona chenga tu?

Tulsa zipo chache bro, serikalini mpaka sekta binafsi, hatuna ajira(kipato kuanzia milioni)za kuwapa vijana wote wanaohitaji, kenge wa, CCM wanafikiri kwa, kutoza Kodi na, kuongeza, Kodi, ndio wataleta maemdeleo ya viwanda,
Nchi inakuzwa, na viwanda(manufacturing industry) sio uchuuzi wa bidhaa kutoka china unaofanywa na wafanyabiashara wengi.
Hata Freddy vunjabei, anafanya uchuuzi tu, unanunua bidhaa kutoka china, una kuja kuu za bongo, haina tofsuti na mama zangu wanaonunua samaki ferry na kwenda kuuza kitaa, wanapata pesa,lakini fikiria nguo,tv, friji, radio, viatu vyote vinavyoletwa kutoka china na kuuzwa kariAkoo , vingekuwa vinatengenezwa hapa bongo, faida ingekuwa, kubwa
 
Lete story mkuu au shemeji kakuzingua nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…