Wapi mnapata pesa za kujenga wandugu? Mbona kwangu naona chenga tu?

NImegundua kwamba wazaliwa wa chuga hawaoi, wao ni sogea tuishi tu..tabia mbaya sana.
Pole lakini, endelea kupambana
Tunapenda kuoa ila wanawake wengi akili hawna,ukijifunga kwenye kuoa kaa ukijua umedumbukia kwenye tanuru la moshi,na majuto yake utayaona baadaye.
Kwani ujawasikia wanandoa wameuwana??
 
Duh! We mzee ni mchakarikaji kama Mazaa ako. Una akili nzuri lakini Huna maamuzi. Ulitakiwa usiwe na mwanamke pamaneti kabla hujayafikia malengo ya msingi. Kwa mwaka 2017 ungeweza kupata kiwanja Mbagala KISEWE kwa milioni 2 ulizokuwa nazo. Halafu ungejenga urafiki na Mangi wenzio ili uwapate akina Manka. Ungeweza kusogea.

Hata hivyo, bado hujachelewa; toa NOTICE ya kumuacha huyo mwanamke na mwachie kila kitu. Kwani sh ngapi? Umepata fundisho, ANZA UPYA nebuchadnezzar
 
Nimezaa naye watoto 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…