Wapiga kura wengi zaidi Tanzania wana imani kubwa mno na wagombea uongozi wa CCM pekee

Wapiga kura wengi zaidi Tanzania wana imani kubwa mno na wagombea uongozi wa CCM pekee

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Hali hiyo hupelekea CCM madhubuti, kupata ushindi wa kishindo kwenye chaguzi zote huru, za haki na za wazi na kisha kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi kwa mafanikio makubwa sana.

CCM hutumia dhamana na fursa hiyo ya uongozi vizuri sana na kwa weledi mkubwa mno, kuwafanyia waTanzania kazi ya kuwaletea maendeleo kupitia ilani bora mno ya CCM, kama dira na formula ya kufikia matarajio na ndoto za maendeleo ya wananchi waTanzania kiuchumi, kijamii, kisiasa, kitaifa na kimaitafa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Asanti sana waTanzania wote kwa kutambua dhamira na nia njema ya ccm, na kukiamini na kukikubali zaidi chama cha mapinduzi kuliko vyama vingine vya siasa nchini.

Vyama vingine vya siasa nchini na hata wanachama na wafuasi wao huona hadi aibu kutaja au kuwabainisha wazi wagombea uongozi wa vyama vyao mathalani kwenye nafasi za udiwani, ubunge na hata uRais, kwasasabu huwa ni wazi hawakubaliki, hawana sifa stahiki, hawana ushawishi, hawana sera mahususi wala mipango mikakati mbadala na mahususi ya maendeleo, ispokua malalamiko tu.

Vyama hivyo husubiri wale wenye mihemko ambao hawakufanikiwa kupita kwenye mchujo wa chama tawala kutokana na kutokidhi vigezo na sifa kulingana na utaratibu wa chama hicho tawala, ndipo vyama hivyo vya siasa huwachukua hao na kuwapatia nafasi ya moja kwa moja kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kupitia vyama vyao, ikimaanisha kwamba hao waliotemwa chama tawala, ndio wana sifa stahiki zaidi kuliko wanachama wao wa muda mrefu.

Jambo hili huwavuruga na kuwagawanya sana vyama hivyo vya kisiasa, lakini hawajawahi kujifunza.

Kumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ni Nov.27,2024.

Aidha,
Kongole nyngi sana kwa rais mteule wa 47 wa marekani ndugu Donald J. Trump, kwa ushindi wa kishindo jana, kufuatia uchaguzi wa kihistoria. Serikali sikivu ya ccm chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan iko tayari kufanya kazi nawe kwa maslahi mapana ya wananchi wa nchi zetu mbili. Well done Republican. God bless CCM. :pulpTRAVOLTA:

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Mungu Ibariki Tanzania.
 
Hali hiyo hupelekea CCM madhubuti, kupata ushindi wa kishindo kwenye chaguzi zote huru, za haki na za wazi na kisha kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi kwa mafanikio makubwa sana.
Haya, kama wapiga kura wana imani kubwa na nyie kwa nini mnaendekeza wizi wa kura?!!!
 
Utashangaa CHADEMA wanapinga nakununa wakati wanajuwa wameshindwa hata kuweka wagombea maeneo mengi kwa sababu ya kukosa watu.chadema ni genge la kitapeli
 
Hali hiyo hupelekea CCM madhubuti, kupata ushindi wa kishindo kwenye chaguzi zote huru, za haki na za wazi na kisha kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi kwa mafanikio makubwa sana.

CCM hutumia dhamana na fursa hiyo ya uongozi vizuri sana na kwa weledi mkubwa mno, kuwafanyia waTanzania kazi ya kuwaletea maendeleo kupitia ilani bora mno ya CCM, kama dira na formula ya kufikia matarajio na ndoto za maendeleo ya wananchi waTanzania kiuchumi, kijamii, kisiasa, kitaifa na kimaitafa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Asanti sana waTanzania wote kwa kutambua dhamira na nia njema ya ccm, na kukiamini na kukikubali zaidi chama cha mapinduzi kuliko vyama vingine vya siasa nchini.

Vyama vingine vya siasa nchini na hata wanachama na wafuasi wao huona hadi aibu kutaja au kuwabainisha wazi wagombea uongozi wa vyama vyao mathalani kwenye nafasi za udiwani, ubunge na hata uRais, kwasasabu huwa ni wazi hawakubaliki, hawana sifa stahiki, hawana ushawishi, hawana sera mahususi wala mipango mikakati mbadala na mahususi ya maendeleo, ispokua malalamiko tu.

Vyama hivyo husubiri wale wenye mihemko ambao hawakufanikiwa kupita kwenye mchujo wa chama tawala kutokana na kutokidhi vigezo na sifa kulingana na utaratibu wa chama hicho tawala, ndipo vyama hivyo vya siasa huwachukua hao na kuwapatia nafasi ya moja kwa moja kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kupitia vyama vyao, ikimaanisha kwamba hao waliotemwa chama tawala, ndio wana sifa stahiki zaidi kuliko wanachama wao wa muda mrefu.

Jambo hili huwavuruga na kuwagawanya sana vyama hivyo vya kisiasa, lakini hawajawahi kujifunza.

Kumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ni Nov.27,2024.

Aidha,
Kongole nyngi sana kwa rais mteule wa 47 wa marekani ndugu Donald J. Trump, kwa ushindi wa kishindo jana, kufuatia uchaguzi wa kihistoria. Serikali sikivu ya ccm chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan iko tayari kufanya kazi nawe kwa maslahi mapana ya wananchi wa nchi zetu mbili. Well done Republican. God bless CCM. :pulpTRAVOLTA:

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Mungu Ibariki Tanzania.
Kuna ukweli au ni mambo ya porini na kuwa ushidi hutegemea mtangaza matokea ya ushindi?
 
Nimesoma heading pekee ila usitusemee wala hatuna mapenzi na nyie, ila mlivyo bingwa wa hard-core mtajichangua
Gentleman,
ukishabaini ukweli, huna haja kuexpose uvivu wako katika kusoma nyuzi kamili, na wala huna haja kubainisha ghadhabu na makasiriko yako dhidi ya mapenzi ya waTanzania kwa kuiamini, kuipenda na kuikubali CCM katika kushika hatamu ya uongozi wa nchi kuanzia ngazi ya mtaa hadi Taifa 🐒

Yote hayo ni kwa Neema na Baraka za Mungu Tu.
 
Haya, kama wapiga kura wana imani kubwa na nyie kwa nini mnaendekeza wizi wa kura?!!!
Gentleman,
sio wanaimani na nyie.

CCM ni ya wanainchi wote na,
waTanzania wainaipenda, wanaiamini na wanaikubali mno CCM kutokana na nia na dhamira yake njema ya kuwaletea wanainchi maendeleo.

Porojo nyingine zozote nje ya hapo ni useless tu 🐒
 
Ccm ni kitu gani?
CCM ni kifupi cha Chama Cha Mapinduzi. Ni chama ambacho kinaaminika mno, kinapendwa sana na wananchi wote na kinabalika zaidi kwa wanainchi Tanzania na barani Africa kwa ujumla.

Ni chama Tawala Tanzania 🐒
 
WaTanzania wa nyoko sema misule ina imani na dubwana lisisiemu ila ukweli hatuitaki labda chawa muipigie kura
 
Utashangaa CHADEMA wanapinga nakununa wakati wanajuwa wameshindwa hata kuweka wagombea maeneo mengi kwa sababu ya kukosa watu.chadema ni genge la kitapeli
wanapitia ukata mkubwa sana wa fedha na ukata mkubwa zaid wa wagombea.

hawaaminiki popote nchini dah!
 
Hali hiyo hupelekea CCM madhubuti, kupata ushindi wa kishindo kwenye chaguzi zote huru, za haki na za wazi na kisha kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi kwa mafanikio makubwa sana.

CCM hutumia dhamana na fursa hiyo ya uongozi vizuri sana na kwa weledi mkubwa mno, kuwafanyia waTanzania kazi ya kuwaletea maendeleo kupitia ilani bora mno ya CCM, kama dira na formula ya kufikia matarajio na ndoto za maendeleo ya wananchi waTanzania kiuchumi, kijamii, kisiasa, kitaifa na kimaitafa kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Asanti sana waTanzania wote kwa kutambua dhamira na nia njema ya ccm, na kukiamini na kukikubali zaidi chama cha mapinduzi kuliko vyama vingine vya siasa nchini.

Vyama vingine vya siasa nchini na hata wanachama na wafuasi wao huona hadi aibu kutaja au kuwabainisha wazi wagombea uongozi wa vyama vyao mathalani kwenye nafasi za udiwani, ubunge na hata uRais, kwasasabu huwa ni wazi hawakubaliki, hawana sifa stahiki, hawana ushawishi, hawana sera mahususi wala mipango mikakati mbadala na mahususi ya maendeleo, ispokua malalamiko tu.

Vyama hivyo husubiri wale wenye mihemko ambao hawakufanikiwa kupita kwenye mchujo wa chama tawala kutokana na kutokidhi vigezo na sifa kulingana na utaratibu wa chama hicho tawala, ndipo vyama hivyo vya siasa huwachukua hao na kuwapatia nafasi ya moja kwa moja kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kupitia vyama vyao, ikimaanisha kwamba hao waliotemwa chama tawala, ndio wana sifa stahiki zaidi kuliko wanachama wao wa muda mrefu.

Jambo hili huwavuruga na kuwagawanya sana vyama hivyo vya kisiasa, lakini hawajawahi kujifunza.

Kumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ni Nov.27,2024.

Aidha,
Kongole nyngi sana kwa rais mteule wa 47 wa marekani ndugu Donald J. Trump, kwa ushindi wa kishindo jana, kufuatia uchaguzi wa kihistoria. Serikali sikivu ya ccm chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan iko tayari kufanya kazi nawe kwa maslahi mapana ya wananchi wa nchi zetu mbili. Well done Republican. God bless CCM. :pulpTRAVOLTA:

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Mungu Ibariki Tanzania.
Sisiem oyeeeeeee
 
Sina hakika na content ya mtoa uzi. Watanzania wepi? Ccm ipo moja, upinzani hauna nguvu sabab ya mifumo ya kisiasa na madhaifu ya katiba..ccm haipendwi kivile, ila hakuna mbadala, na ccm imeweka mfumo wake wakuwa unbeaten, kwa kutumia power yao na uzoefu wao wanahakikisha upinzani hawafurukuti, na wakifurukuta kidogo ghafla baadhi wanaingia kwenye mfumo wa ccm kisha inakuwa done. Hinfasi sina chama pendwa, huwa nachukulia kila chama kila mgombea mwenye qualities za kuwasaidia watanzania ndiye anayefaa..ila ccm wanacheza no zote kisha mfumo wao unabaki uleule hivyo tija ni ndogo sana...watasema ccm imefanya ivi au vile ni kweli tunaona , je ni dhambi kuwapa watanzania wengine wenye itikadi tofauti ili tuone watafanya nini? Sabab hawajawahi kushika dola kwahiyo hatuna uthibitisho kuwa watashindwa au wataharibu nchi. Ni wananchi pekee ndo wakiamua kubadirisha uongozi wanaweza..ila sasa hawa wananchi ndo wanajaa kwenye mfumo wa ccm...
 
Kuona chaguzi
Utekaji
Rushwa
Ufisadi
Umeme hamna
Barabara hamna
Shule hazina walimu na madawati
Hospital hamna dawa
Ajira Kwa vijana hamna
Kizimkazi ndo upendeleo
Maji hamna
TRA kubambikia Kodi

Nani awaamini CCM?
 
Huwa nnazima internet kwanini?
Kama mnakubalika hebu tuambie kwanini nnazima internet kila UCHAGUZI?
 
Utashangaa CHADEMA wanapinga nakununa wakati wanajuwa wameshindwa hata kuweka wagombea maeneo mengi kwa sababu ya kukosa watu.chadema ni genge la kitapeli
Kuna uchaguzi basi? Watu wanatangazwa tu hata kama hakushinda uchaguzi, watu hawana uwezo wa kua viongozi yaani hawana akili, vichekesho ni siku ya kiapo mtu anashindwa hata kutamka jina lake
 
Back
Top Bottom