Wapiga kura wengi zaidi Tanzania wana imani kubwa mno na wagombea uongozi wa CCM pekee

Wapiga kura wengi zaidi Tanzania wana imani kubwa mno na wagombea uongozi wa CCM pekee

Hivi unajitoa ufahamu kuwa hujui ccm inavyoshinda chaguzi kwa wizi, utapeli, ghiliba..?

Msikilize huyu msema kweli hapa..

View: https://youtube.com/watch?v=H77NTG71YW0&si=3CZY4C8eLW_FkT9J

Imani thabiti ya waTanzani kwa CCM inajengwa na kulindwa na viongozi thabiti waliokabidhiwa dhamana ya kuhakisha wananchi wanapata maendeleo stahiki kwa wakati muafaka na sio vinginevyo.

hata hivyo,
mlevi na asie muadulifu ndani ya chama na serikali sikivu ya CCM atajiexpose mwenyewe tu nia na uovu wake, na kisha atakua amejiondoa mwenyewe katika kushirikiana na wengine katika kuwatumikia wanainchi waTanzania.

Infact,
serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan inafanya kazi kama timu moja kwaajili ya manufaa na maslahi mapana waTanzania wote.
Kinyume na hapo ni mamluki tu 🐒
 
Ndoto za Alinacha tamu sana😂😂😂
kwamba eti kuna siku upinzani uliosusa kujiandikisha kupiga unaweza kuishinda CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na ule uchaguzi mkuu, right?🤣
 
Gentleman,
ukishabaini ukweli, huna haja kuexpose uvivu wako katika kusoma nyuzi kamili, na wala huna haja kubainisha ghadhabu na makasiriko yako dhidi ya mapenzi ya waTanzania kwa kuiamini, kuipenda na kuikubali CCM katika kushika hatamu ya uongozi wa nchi kuanzia ngazi ya mtaa hadi Taifa 🐒

Yote hayo ni kwa Neema na Baraka za Mungu Tu.
MUNGU yupi anayebariki wizi?
 
Mimi Tangu ashinde Trump nimeridhika Wala sifuatilii Tena uchaguzi wa kijinga na wenge wizi wa Bongo. Shame on you CCM
Vijana wadogo walosoma na watu wazima wanojitambua Marekani wengi wamempa kura Donald Trump kwasababu wanataka raisi ambae anaijali nchi yao na kuwaletea matokeo chanya.

Wengi wa mashabiki na machawa wa chama cha Democrats wanalia saa hii kwasababu wanafahamu kitachowatokea ambacho ni kukosa ulaji na nafasi za uchawa.
 
MUNGU yupi anayebariki wizi?
Gentleman,
kuhusu hilo la kijambazi na wizi labda uliulizee lile linyang"anyi korofi la malori huko A town, ambalo eti sasa hivi ni nabii.

But CCM kwa Neema na Baraka za Mungu alie hai itashinda uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kishindo Nov 27 na Oct 2025 itashinda uchaguzi Mkuu kwa kishindo kikuu zaid na kuendelea kuongoza dollar ya Tanzania 🐒
 
Unakumbuka Nape pale Bukoba alisemaje? Kama ni shujaa rudia alichosema!
Gentleman,
CCM na wagombeaji uongozi wake wote wanaotarajia ushindi wa kishindo kikuu wa uhakika zaid Nov 27 utakapofanyika uchaguzi wa serikali za mitaa na vijijini.

porojo na story za pata potea kama hizo ni kwajili ya walio na mipango ya kushindwa tu 🐒
 
Dar es salaam hakuna MAJI
Naambiwa waziri wa maji anatembelea gari ya ml 500 hivi tena anasema imechakaa haina comfort
Kidumu chama cha majambazi
Adui mkubwa wa tz ni ccm
Gentleman,
acha upotoshaji.
Dar es salaam maji yapo ya kutosha LICHA ya kwamba kuna matengenezo makubwa sana na maboresho ya mfumo wa usambazaji maji Jijini hapo.

zipo dosari na kasoro kidogo sana za upatikanaji wa maji katika maeneo machache ya jiji, na matengenezo na maboresho hayo makubwa sana ya mfumo yatakapokamilika ni dhahiri uhaba au shida ya maji Jijini hapo itakua ni ndoto.

Rejea taarifa ya Mkuu wa mkoa wa dar es salaam kuhusu maji aliyoitoa hivi karibuni.

Hata hivyo mawaziri na waandamizi wengine wa serikali sikivu ya CCM wataendelea kuwezeshwa kwa kutumia usafiri bora na imara zaid ili kuyafikia maeneo mengi zaid mbalimbali nchini na kuwaongoza katika kutatua, kukagua na kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo 🐒
 
Back
Top Bottom