Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
- Thread starter
- #101
Kwamba wewe hauoni kwamba wapinzani wao kwa wao wanageukana hawana common say, jingine wapinzani hawaelewi wanachokisimamia rejea walivyoondoka bungeni kwa visingizio cha Covid 19 na kurejea haraka haraka walionesha udhaifu wa hali ya juu.jibu swali,kishindo hata Iddi Amini alikuwa nacho tena Magufuli anaingia mara 8
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA