Uchaguzi 2020 Wapinzani hamkujiandaa vyema; mkishindwa msilete nongwa

Uchaguzi 2020 Wapinzani hamkujiandaa vyema; mkishindwa msilete nongwa

Una mawazo ya dhuluma kama jaji Semistocles na mkurugenzi wa NEC. Nyie hamna aibu wala huruma kwenye kufanya dhuluma na hiyo tabia imeanzia nyumbani tangu wazazi wako.
 
Acha habari za kusikiasikia wewe...Mzalendo wa kweli Magufuli anaenda kuwafundisha adabu kesho asubuhi na mapema.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Usichokijua na kinachokupa kiburi ni kwamba shetani hana rafiki.You are not safe fox!
 
Mpinzani ni nani?
Chama Tawala ni kipi? Ukipata jibu utawajua wapinzani ni wepi? Ila kwa kukusaidia ni wale ambao kazi zao ni kupinga pinga tuu.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kwa maoni yangu na nilivyofuatilia uchaguzi wa Mwaka Huu sijaona chama Cha mpinzani kinaweza kuingia madarakani Kuna watu humu wamejipa matumaini hewa na kujiaminisha Lissu atachukua nchi ili kufurahisha mioyo yao ila tukija reality upinzani walikuwa Wana nafasi kile kipindi Cha Lowassa ila sio awamu hii na hiyo iliechangiwa na kikwete kuboronga Sana kwenye maeneo mengi.

Tukija kwa awamu hii inaonesha Imani ya watu kwa Magufuli Ni kubwa Sana kwasababu Kuna mambo mengi amefanya mazuri inaweza wewe isikufurahishe lakini ikafurahishwa na wengi.

Jambo lingine tuwe wakweli upinzani wa nchi hii Ni dhaifu Sana kucomplete na Magufuli hawakujipanga na pia Aina ya siasa yao itawafanya ikulu kusikia kwenye redio.

NB: Najua Uzi wangu utawakera Sana wanazi wa upinzani ila nilichokiandika Ni kweli na siwezi kuandika uongo ili niwafurahishe me nakileta kile ambacho nakiona.
 
Mbona umesahau kuandika kuwepo kwa kesi nyingi za kubumba , upotevu wa trillion 1.5 , au haya yalitokea awamu ya kwanza?
 
familia yako mafukara na bado mnataka ufukara zaidi kwa kuchagua watu watakaowafanya muwe mafukara zaidi
pole sana kibaraka wa lumumba
Acha kulia lia kwani aliyekuambia Lisuu atawapa mabilion watu ni nani? Hakuna cha bure watu wafanye kazi.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mbona umesahau kuandika kuwepo kwa kesi nyingi za kubumba , upotevu wa trillion 1.5 , au haya yalitokea awamu ya kwanza?
Hizo andika wewe mjomba...Tarehe 29 October tujumuike kusheherekea USHINDI wa KIHISTORIA kwa Magufuli.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Pumbavu kabisa, msaka tonge wewe, huna lolote
Halafu ndio mnasema Uhuru,haki na maendeleo ya watu wakati hamuwezi kuheshimu uhuru wa mawazo yale msiyoyapenda.

Hakuna namna inabidi mkajiandae kwa uchaguzi wa 2025 huu tayari mmeshaangukia pua.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Wacha kujitoa mshipa wa fahamu mzee wewe..

Baada ya kuapishwa MH Tundu A Lissu sijui Utajipendekeza kwa nani tena !!
Anaapishwa kufanyaje tena maana kama ni uchaguzi huu hatoboi.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Magufuli kafanya mambo mengi sana tena sana katika nchi hii.

Hawa vijana na matusi yao tunawaacha waendelee kutukana tu.
Lakini ukija katika suala la uongozi, hatuwezi kuwapa nafasi hata kidogo!
Hayo mambo mengi aliyoyafanya wewe na familia yako yamewasadiaje katika kuinua uchumi wenu?
 
Hayo mambo mengi aliyoyafanya wewe na familia yako yamewasadiaje katika kuinua uchumi wenu?
Hili ndilo tatizo lenu kubwa mnafikiria umimi kuliko Taifa, mimi barabara zinapokuwa vizuri nikafika kwa wakati,madawa,elimu,mawasiliano bidhaa zikapatika bila ya kuwa na mifumuko ya bei ni MAENDELEO tosha, na tunapoendelea kwa kasi ya Magufuli tutafika tunapopataka.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hahahaha yani nyie ma CCM kufikiri kwenu zero kabisa
so what kama kajenga vituo vya afya, kituo cha afya bila daktari bingwa,bila madawa,bila maabara,bila vyumba vya upasuaji,bila ICU hicho ni kituo cha afya au nyumba ya wageni.

kutokwenda nje labda nyie wenye akili fupi ndio mnajua hivyo ila sisi wenye uwelewa mpana tunajua hawezi kwenda safari za nje kwa sababu ya afya yake na changamoto za language barrier.

ujenzi upi wa miundo mbinu? wakati drainage system zeroooo, mungu alivyo mkubwa kawaumbua na mvua ya juzi tu hapa

mnaelewa maana ya elimu bure au ndio mlikimbia umande na nyie, elimu bure wakati shule hazina walimu,hazina vitabu,hazina maabara,hazina madarasa,hazina vyoo,hazina nyumba za walimu

ngoja niishie hapa maana hizi takataka zinatia kinyaaa eti kufufua shirika la ndege hahahaha
MNAJIDHALILISHA
 
Hili ndilo tatizo lenu kubwa mnafikiria umimi kuliko Taifa, mimi barabara zinapokuwa vizuri nikafika kwa wakati,madawa,elimu,mawasiliano bidhaa zikapatika bila ya kuwa na mifumuko ya bei ni MAENDELEO tosha, na tunapoendelea kwa kasi ya Magufuli tutafika tunapopataka.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Maendeleo ya mtu mmoja mmoja ndio huleta maendeleo ya Taifa! sasa wewe kama mtu hunalo ulilolipata hayo ya Taifa yanakupa faraja gani?
 
Back
Top Bottom