hahahaha yani nyie ma ccm kufikiri kwenu zero kabisa
so what kama kajenga vituo vya afya, kituo cha afya bila daktari bingwa,bila madawa,bila maabara,bila vyumba vya upasuaji,bila ICU hicho ni kituo cha afya au nyumba ya wageni.
kutokwenda nje labda nyie wenye akili fupi ndio mnajua hivyo ila sisi wenye uwelewa mpana tunajua hawezi kwenda safari za nje kwa sababu ya afya yake na changamoto za language barrier.
ujenzi upi wa miundo mbinu? wakati drainage system zeroooo, mungu alivyo mkubwa kawaumbua na mvua ya juzi tu hapa
mnaelewa maana ya elimu bure au ndio mlikimbia umande na nyie, elimu bure wakati shule hazina walimu,hazina vitabu,hazina maabara,hazina madarasa,hazina vyoo,hazina nyumba za walimu
ngoja niishie hapa maana hizi takataka zinatia kinyaaa eti kufufua shirika la ndege hahahaha
MNAJIDHALILISHA