Uchaguzi 2020 Wapinzani hamkujiandaa vyema; mkishindwa msilete nongwa

Uchaguzi 2020 Wapinzani hamkujiandaa vyema; mkishindwa msilete nongwa

1. umeshajaribu kuingiza umeme nyumbani kwako ukaona adha iliyopo?
3. Hujawa na shida maofisini ukaona rushwa inavyodaiwa kwa siri sana. Siku likikukuta ndipo utajua kama kweli nidhamu imerudi
4. Majengo bila madawa, bila madaktari - sema tumeanza lakini bado safari ni ndefu sana...
Mnafikiri mmeshawahi kuona jema hata moja? Nyie mnachokifurahia kwenye serikali ni ruzuku tuu.

Magufuli amefanya kazi ya Kizalendo na anastahili pongezi kubwa.

JPM anatosha CCM kwa maendeleo ya Tanzania
 
Wanabodi,

Hapa naomba nisiseme mengi, msikilize mwenyewe Mwana JF, mashihuri na maarufu kuliko wote all times, Mkuu Mzee Mwanakijiji, akiuzungumzia ukweli mchungu wa kumhusu Tundu Lissu katika uchaguzi huu.



Kwa faida ya watumiaji wa bundle kwa budget hivyo hawezi kufungua video links na wale wenzangu na mimi wa kiwango cha uelewa wa chini kiasi cha kutoweza kumuelewa GT wa level ya Mkuu Mzee Mwanakijiji,
nawawekea paraphrased version, naomba kunukuu

"Nije kwa ndugu yangu Lissu...,
Lissu ni mtu ambaye anayeweza kuja kuwa rais wa Tanzania, hili sina shaka, sina shaka kabisa, na ana qualifications zote,
Jambo pekee ambalo amelikosa, na hii ninayo waambia, ndio sio sababu kubwa kwanini Lissu, sio tuu kwamba atashindwa, bali inampasa ashindwe, unisikilize vizuri.

Lisu atashinda, lakini pia inampasa ashindwe, nitakuambia kwa nini, kwasababu ndio utaamua upinzani wa Tanzania unaelekea wapi. Hili linalotokea leo hii, lilitakiwa litokee 2015, leo hii kuna mstari umechorwa mweupe kabisaa, kati ya CCM na Chadema, ile separation is very clear, watu wanaomuunga Lissu wapo na wanajua kwanini, na wanaomuunga Magufuli wapo na wanajua kwanini, Lissu atakaposhindwa, itaamua Chadema iende vipi 2025, ina ajenda gani?.

Na jambo la kwanza ambalo napenda kulisikia kabla ya mwisho wa wiki hii, baada ya Magufuli tuu kutangazwa kuwa rais,
(atashinda nimewaambia),
Freeman Aikaeli Mbowe, ni lazima ajiuzulu, amwachie Tundu Lissu chama, Lissu aijenge Chadema kwa image yake, na anataka chama cha upinzani kiende vipi.

Na nnajua (Lissu) ni mwanaharakati, na hii labda ndio weakness yake, lakini sasa ni lazima aanze kuonekana kama ni statesmanship, kuonyesha statesmanship, lazima Lissu aanze kuonekana kama kiongozi kweli wa upinzani, na hivyo aone, ni kwamba atakipokea chama hiki kabla ya mwisho wa wiki hii, na akae chini na...
mimi of course, mimi I'm always open, wakisema Bwana Ben, tunaomba uje uzungumze nasi, unatushauri vipi sasa hivi, mimi I'm very frank, mimi kwangu Tanzania ni kubwa zaidi kuliko hawa wagombea, kuliko hivi vyama vya kisiasa...

Lakini Lissu, atatakiwa aijenge Chadema, hastahili kupewe kura za pole, shukrani, hongera au asante, anatakiwa apewe kura za kuonyesha kama amekuwa kuongozi wa upinzani, na ameujenga upinzani wa Tanzania, na ana miaka 5 kuamua Chadema inakuwaje"-Mzee Mwanakijiji

Mwisho wa kunuku

P
 
Tuliwaonya Chadema wasimsimamishe msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema

Kesho mtaaibika
Hawatakaa waamini kitu ambacho kitakachowatokea hapo kesho.

Congratulations in Advance Rais Magufuli

JPM anatosha CCM kwa maendeleo ya Tanzania
 
Vipi Maalim alisema yeye ndio atakuwa pale mbele wapige risasi yeye..yupo wapi sasa?

Vijana tuache kutumika yeye familia yake ipo salama uzao wake upo Canada na huko Ulaya na kamwe hawezi kuwa mbele akiongoza vurugu.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA

Nini cha kuvaa ili kujikinga dhidi ya mabomu ya machozi na aina nyenginezo za moshi wa kemikali wakati wa maandamano?

1. Vitambaa vya uso: iwe mitandio au bandana kubwa za kutosha kujifunika kutoka pua hadi kidevu.

2. Hakikisha unavaa kinga kwenye macho iwe kwa kutumia miwani ya jua, au ya kuogelea nk.

3. Hakikisha unafunika ngozi yako yote kadiri iwezekanavyo kwa kuvaa suruali ndefu na shati/fulana zenye mikono mirefu.

4. Vaa viatu madhubuti na ambavyo unaweza kuendea navyo mbio.

5. Vipuri vya masikio (earplugs) ili kusaidia kupunguza sauti ya mabomu na risasi.

Nini cha kuchukua wakati wa maandamano?

1. Maji kwenye chupa yako ya plastiki utakayotumia kuosha ngozi yako au macho.

2. Mkoba wa kuvaa mgongoni utakaoweza kuweka vitu muhimu kama chupa ya maji, kitambaaa, vaseline, nk.

3. Kitambulisho au kitu cho chote kinachoweza kutoa taarifa zako wakati wa dharura.

3. Kuchukua simu ya smartphone itakayokuwezesha kuwasiliana na kurekodi kila matukio yote ya uvunjifu wa amani yanayofanywa iwe na polisi, vikosi, majeshi nk.
 
Kuua watu ndo mbinu ya mwisho ya viongozi waliokosa vibali machoni pa wananchi. Meko na CCM mmekosa kibali cha watanzania.CCM wana hofu kuu.Imagine wanaua watu, wamezima whatsapp call, nasikia leo saa sita mchana bank zinapigwa pini, wamezima whatsapp call, wanazuia SMS, etc. Hii ni hofu ya kukataliwa na wananchi. Hizi ni dalili za CCM kuwa imeshashindwa kabla hata ya kura kupigwa.
 
Hayo nenda kawaambie Syria sio hapa Tanzania siye kesho tunaenda kumchagua Magufuli kwa kishindo kikubwa na tukimaliza kupiga kura tutalejea nyumbani...sasa mabomu na risasi vitatokea wapi?

Congratulations in advance President Magufuli


JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kuua watu ndo mbinu ya mwisho ya viongozi waliokosa vibali machoni pa wananchi. Meko na CCM mmekosa kibali cha watanzania.CCM wana hofu kuu.Imagine wanaua watu,wamezima whatsapp call,nasikia leo saa sita mchana bank zinapigwa pini,wamezima whatsapp call,wanazuia SMS,etc.Hii ni hofu ya kukataliwa na wananchi.Hizi ni dalili za CCM kuwa imeshashindwa kabla hata ya kura kupigwa.
Acha habari za kusikiasikia wewe...Mzalendo wa kweli Magufuli anaenda kuwafundisha adabu kesho asubuhi na mapema.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Nini cha kuvaa ili kujikinga dhidi ya mabomu ya machozi na aina nyenginezo za moshi wa kemikali wakati wa maandamano?

1. Vitambaa vya uso: iwe mitandio au bandana kubwa za kutosha kujifunika kutoka pua hadi kidevu.

2. Hakikisha unavaa kinga kwenye macho iwe kwa kutumia miwani ya jua, au ya kuogelea nk.

3. Hakikisha unafunika ngozi yako yote kadiri iwezekanavyo kwa kuvaa suruali ndefu na shati/fulana zenye mikono mirefu.

4. Vaa viatu madhubuti na ambavyo unaweza kuendea navyo mbio.

5. Vipuri vya masikio (earplugs) ili kusaidia kupunguza sauti ya mabomu na risasi.

Nini cha kuchukua wakati wa maandamano?

1. Maji kwenye chupa yako ya plastiki utakayotumia kuosha ngozi yako au macho.

2. Mkoba wa kuvaa mgongoni utakaoweza kuweka vitu muhimu kama chupa ya maji, kitambaaa, vaseline, nk.

3. Kitambulisho au kitu cho chote kinachoweza kutoa taarifa zako wakati wa dharura.

3. Kuchukua simu ya smartphone itakayokuwezesha kuwasiliana na kurekodi kila matukio yote ya uvunjifu wa amani yanayofanywa iwe na polisi, vikosi, majeshi nk.
 
Kuua watu ndo mbinu ya mwisho ya viongozi waliokosa vibali machoni pa wananchi. Meko na CCM mmekosa kibali cha watanzania.CCM wana hofu kuu.

Imagine wanaua watu, wamezima whatsapp call, nasikia leo saa sita mchana bank zinapigwa pini,wamezima twitter,wamezima instagram, wamezima facebook, wanazuia SMS, etc. Hii ni hofu ya kukataliwa na wananchi. Hizi ni dalili kuwa CCM imeshashindwa kabla hata ya kura kupigwa.
 
Mnakwenda kuaibika hapo kesho asubuhi na mapema.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kama anatosha, msaada wa NEC, mapolisi na biased media anavihitaji vya nini?

Lissu anaweza asitangazwe kuwa Rais but kwenye ballot box atamshinda Magufuli kwa mbali mnoo!
 
Pascal Mayalla Binafsi navutika Sana na hoja zako za humu ikiwemo na ulioleta sema baadhi ya wafia chama humu wanataka utoe mawazo Kama wao wanapenda kudai demokrasia lakini hawaishi kwenye demokrasia hapa wanajianda kwa matusi watakayo kuja nayo kukutukana, walishindwa kujibu hoja wanakimbilia matusi. Mzee baba usihofu tupo tunakuelewa endelea kutupa hoja nzuri.
 
Anaweka historia kuwa mpinzani pekee ambaye anashusha kabisa asilimia za ushindi wa mgombea wa CCM anayetetea kitu chake.

Wengi walipogombea walikuwa wakitetea viti vyao walikuwa wanapata asilimia Kubwa.Hii utakuwa aibu Kubwa kwa CCM na JPM
 
Back
Top Bottom