Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vile huna adabu ndio unayoyapenda hayo mbona ikiwa mnajiamini hamwezi kuendesha uchaguzi huru na haki nabadala yake mmeanza ujinga toka zamani. Yaani wallah nyinyi ni wakukatwa vichwa wajinga wakub wa.Wanabodi,
Hapa naomba nisiseme mengi, msikilize mwenyewe Mwana JF, maarufu kuliko wote all time, Mkuu Mzee Mwanakijiji, akiuzungumzia ukweli mchungu wa kumhusu Tundu Lissu katika uchaguzi huu.
P
Pascal Mayalla Binafsi navutika Sana na hoja zako za humu ikiwemo na ulioleta sema baadhi ya wafia chama humu wanataka utoe mawazo Kama wao wanapenda kudai demokrasia lakini hawaishi kwenye demokrasia hapa wanajianda kwa matusi watakayo kuja nayo kukutukana, walishindwa kujibu hoja wanakimbilia matusi.Mzee baba usihofu tupo tunakuelewa endelea kutupa hoja nzuri.
Toa hapa taka taka zako , mavi ya KukuWanabodi,
Hapa naomba nisiseme mengi, msikilize mwenyewe Mwana JF, maarufu kuliko wote all time, Mkuu Mzee Mwanakijiji, akiuzungumzia ukweli mchungu wa kumhusu Tundu Lissu katika uchaguzi huu.
P
Quumany@koooWanabodi,
Hapa naomba nisiseme mengi, msikilize mwenyewe Mwana JF, maarufu kuliko wote all time, Mkuu Mzee Mwanakijiji, akiuzungumzia ukweli mchungu wa kumhusu Tundu Lissu katika uchaguzi huu.
P
familia yako mafukara na bado mnataka ufukara zaidi kwa kuchagua watu watakaowafanya muwe mafukara zaidiUkileta fujo, aanh utapigwa tu.
Tunawasubiri muingie barabarani!
familia yako mafukara na bado mnataka ufukara zaidi kwa kuchagua watu watakaowafanya muwe mafukara zaidiNi vyema kuti na kufuata sheria kama utavunja sheria utashughulikiwa.
Congratulations Magufuli in advance.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mapambano na Covid 19 ni pamoja na kuingoza wizara ya afya katika kuhakikisha Watanzania wanajikinga dhidi ya maambukizi lakini kuhakikisha walanguzi kama wewe hamtumii fursa ya ugonjwa huu kupandisha bei za vifaa vya kujikinga na maambukizi.Hebu elezea alivyopambana na covid 19!!!!
Wanabodi,
Hapa naomba nisiseme mengi, msikilize mwenyewe Mwana JF, maarufu kuliko wote all time, Mkuu Mzee Mwanakijiji, akiuzungumzia ukweli mchungu wa kumhusu Tundu Lissu katika uchaguzi huu.
P
Nomaa za kijikomba kombaWanabodi,
Hapa naomba nisiseme mengi, msikilize mwenyewe Mwana JF, maarufu kuliko wote all time, Mkuu Mzee Mwanakijiji, akiuzungumzia ukweli mchungu wa kumhusu Tundu Lissu katika uchaguzi huu.
P
Mustakabali wa tumbo lako na Chato au???Kwa mustakabali wa nchi
CCM na Magufuli wanapaswa kushinda
Watu tuko VPN maisha mazuri sana. Kweli Mungu mbariki kigogoNimeona screenshot moja toka kigroup kimoja cha mataga naona dawa imeanza kuingia wanashindwa hata kupakua kipicha cha KB 10! Sasa ni kulia lia sasa kama mnakubalika na mlisema mtandaoni hakuna wapiga kura ilo rungu mliloweka huko kwenye mitandao isifunguke ni nini?