Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa lipo juu ya serikaliWaumini wa kikristo hasa katoliki wanajisahau sana na kuona viongozi wao wapo juu kuliko viongozi wa serikali ila awamu ya huyu bwana hadi maaskofu wamesanda, waraka umetolewa kijanja mno wameshindwa kukiri kilichopo tz
Akili kichwani! Maneno ya Kikwete hayo.Kama ilivyo magonjwa mengine wanatoa takwimu basi na hili litolewe takwimu
Ndo unajiona una akili kuliko maaskofu na maoadri wote Tanzania. Ndo unajiona unawazidi akili mashehe na Maimamu? Una akili za kutosha kwenda chooni na kujitawaza tu huna zaidi ya hapo.Unapoteza muda tu Mkuu kuandika maana tokea Corona imeanza mpaka sasa hakuna Padre aliyekufa na corona.Kingine kuna Mungu siyo mawazo ya Padre ndiyo yanayoaminiwa maana kama Mungu aliweka tumboni kwa mwanamke kutoka kwa majimaji wa Mwanaume mpaka ukazaliwa atashindwaje kukulinda na Corona Pole kwa kutafuta kick isiyokuwa na mashiko.Kumbuka alichofanya Askofu ni kutekeleza maagizo ya Vatcan ambako huko Corona iliwatafuna hasa .
Kanisa lipo juu ya serikaliWakotoliki tulisha wazoea hata mala ya kwanza ndio walikuwa wa kwanza kufunga makanisa yao, wanauakika upi kuwa Tanzania Kuna korona wakati shughuli zote zinaendelea kama kawaida?...
Rubbish.Siamini katika viongozi wa dini hata Siku moja. Wakitoa tamko kuna masilahi yao yameguswa mahali. Hawa wasiooa hata kutunza familia hawajui siamini kama wanaweza kuwa na uchungu na watu.
Amina.Wakuu
Mimi kama mkatoliki mwenye imani thabiti naahidi kufuata maelekezo ya kanisa na hasa viongozi wangu mapadre na maaskofu waliosema tujikinge kuvaa barakoa, kunawa mikono na sabuni na maji tiririka, kamwe kwenye hili sitowasikiliza wanasiasa au viongozi wa serikali maana sioni kama wanaushauri mzuri juu ya ugonjwa huu
Natoa wito kwa wakatoliki wote tuusome waraka ule kwa umakini na tuhakikishe tunafuata maelekezo ya kanisa takatifu katoliki
Afya ni mali na utailinda mwenyewe na tujikinge huku tukiendelea kuomba.
Awamu hii Kanisa Katoliki limepoteza muelekeoWamevumilia ukatoliki mwisho wameona bora kama ni kuhama dini ahame.wamepasua mbarika.
Siyo kila kitu kinachohusiana na afya kauli zitolewe na idara hiyo ndo maana tuna wadau.Wao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Quinine usinitukane tafadhali................................bullying, trolling and bashing is prohibited you have chose to intently contravene the docket of the fora.....................this is a blasphemy behviour, abstain from it!!!Nani alikuambia waraka una madhara, akili ndogo, wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine you always have negative mind, am not TEC neither the government which is responsible.
Ilikuwa zamani broo! Saivi wote full kusifu na kuabudu kwa mfalmeKanisa lipo juu ya serikali
Malaria ina DAWA mkuu, hata ukipata leo hakuna mwenye wasiwasi na wewe, watu watakua karibu na wewe muda wote na hata ikitokea UMEKUFA, maiti yako inapewa heshima zote, haitengwi na utaagwa kwa heshima zote, sio KORONA.Wao ni Idara ya afya? Wanasemaje pia kuhusu Malaria?
Keshafanya hivyo mapema sana.Nasubiri Waziri wa Afya aje akanushe hii taarifa ya kovidi.
Aamin,iwe kwetu sote.Inshallah Allah atakupa shufaa
Hey vipi sasaSasa itakuwaje🤭🤭 serikali haina dini, haiamini uchawi haiamini kama kina kitu kinaitwaga korona