The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
You better warn your parents first, not to deliver such hopeless creatures.Huyo askofu kuna wakati utagundua kuwa kumbe alikuwa anapita kwenye njia nyembamba na inayosonga sana ambayo waionayo ni wachache...and don't say i did not warn you!
Tumsifu Yesu Kristu.
Msifanye Migumu Mioyo Yenu
mdhamini wako
Wao wenyew kodi hawalip kisingizio cha dini, wao wenyew wamekuwa wauzaji wakubwa wa dawa kutumia mgongo wa dini....
Katoloki kama mlipewa pesa na vyama ili muongee rubish bac warudshieni pesa zao....
Lazma nchi ijengwe kaz zfanyike na c kuwahadaa wananchi na vimikutano vya uongo na chuki majimbon kwaohawatak kaz kung'ang'ania mikoa isiyowahusu....... Very shamefull askofu unakaaa unaingilia mambo yasyokuhusu ww kama nani katika nchi hii??? Iktokea dini nyngne ikakupinga ikatokea dini nyngne wakasema yao? Mnataka iwe nchi sasa ya majbzano baina ya dini hii yasema ivi nyngne yasema vile?????
Mnaugua kwel nyie naona dvai zmewalevya.......
Mie huwa sina nidham ya woga
Hakuna kumwacha huyu mzee, cc cyo maboya, acjicfu kwamba katushinda, uongozi ni utumwa, au halijui Hilo nn
Hapa hawezi kukana maana huu sasa ni rasmi kabisa wa Baraza lenyewe. ule alioukana ulikuwa wa kamati ya baraza. hata jina lake limeorodheshwa kule mwisho
I guess we are not fighting, are we? I would appreciate if we stay calm and control our temperaments. That's what JF is all about, i suppose.You better warn your parents first, not to deliver such hopeless creatures.
Ni Muda wa kutubu na kumrudia Mungu, sasa wewe umetunga sheria mwenyewe halafu hufuati tena kwa kufanya hivyo unawaumiza wananofuata sheria na taratibu ambazo wewe ndo unatakiwa kuwa msimamiziSijaona uhusiano wa mikutano ya kisiasa na Kwaresma, naomba mnijuze tafadhali!
That is your mediocre understanding.I guess we are not fighting, are we? I would appreciate if we stay calm and control our temperaments. That's what JF is all about, i suppose.
Tupende boga na maua yakeHawa maaskofu wameshindwa kuhubiri siku hizi
HAHAHAHAH! Ataita waandishi wa habari ofisini kwake St. Joseph! hahahahNamsubiri "rafiki" wa pinda atie neno maana hakawii kusema alikua Vatican hahusiki na "tamko"
na hii ni sehemu ya mahubiri inaitwa "The Catholic Social Teaching"Hawa maaskofu wameshindwa kuhubiri siku hizi
Wapi imeandikwa.Kumbe Yesu alikuwa Mroma !!!!
Huyo Mohamed ni nani...????
Hayo ni maneno yako lkn hayana ukweli wowote.Magu Akiwa na wenye nchi