WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Nahisi baba Jesica atafungua lupango kama ile ya Saudia walipowekwa ma princes wote ili maaskofu waweze kuwekwa hasa wakati huu wa kwaresima. Ajaribu aone nguvu ya Mungu. Baba bashite karibu anabadili dini na kujiunga na bashite first born wake pamoja na mke wake ingawa yule mama anaonewa kuingizwa kwenye siasa.
 
wamemuandikia nani?
 
hao baakwat
Ona wingi wao lakini hawana cha maana. MUM walipewa vijumba na Mkapa, yaani woooooooooooooooooooooooooooote wanashindwa kujenga kitu cha maana. Ila kila kona ya barabara kuna jumba lile linaitwaje.....
 
Ona wingi wao lakini hawana cha maana. MUM walipewa vijumba na Mkapa, yaani woooooooooooooooooooooooooooote wanashindwa kujenga kitu cha maana. Ila kila kona ya barabara kuna jumba lile linaitwaje.....
na wala hawanung,uniki kuachwa serikalini!
 
Yule wa Dsm hataukana?! Ninavyomjua lazima aseme ni msimamo binafsi na si wa kanisa!!
 
sio msimamo wa kaninisa "in pengo's voice"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…