Kwanza akatubu ndipo mambo mengine yafuatie!
Sijui Kwanini Yule askofu mkubwa wa kanisa anashindwa kumshauri Swahiba wake atubu!
.msimamo wa TEC sometimes huwa unatofautiana na msimamo wa kanisa!
Eti kutafuta "kodi"! Maajabu kweli kweli nchi hii.Kama alisema ATUBU walisagula sagula mpaka chupi zake... Sijui hawa wazee wa Vatican itakuaje.
Yeye ameshauri upinzani upitie njia ya mahakama kupinga huu udhalimu. Nafikiri mkakati huu ni wakutilia nguvu. Najua mwanzo walisema wangeenda mahakamani sijui iliishia wapi?
Mafisadi Mkapa na Kikwete hawakutaka mtu msafi kama Jaji Augustino ambaye hana kasha zozote kwa kuhofia maovu yao yangeweza kuwapandisha kizimbani na pia jaji angeweza kuruhusu katiba mpya ya rasimu ya Warioba hivyo wakaamua kuweka mbele maslahi yao binafsi na ya MACCM badala ya Tanzania na Watanzania na kumchagua mtu ambaye hana sifa hata chembe ya kuongoza nchi yetu.
....Hujaona hiyo attachment ya pdf?Haya yameandikwa wapi Mkuu?
Mwisho wa siku atabaki yeye na Bashite na wachache aliowapa vyeo.Inatia moyo sana kuona Baraza la Maaskofu nchini limeanza kulaani na kukemea huu UdU wa kutisha unaoendelea nchini katika awamu hii.
Waliokuwa wanaikosoa Serikali hii dhalimu walitusiwa majina mbali mbali ikiwemo wasaliti, majizi, wapiga madili na matusi mengine chungu nzima.
Sasa hata Baraza hili la Maaskofu limechoka kuendelea kukaa kimya huku UdU nchini ukizidi kushamiri kwa kasi ya kutisha na hivyo kutishia amani ya nchi yetu.
DU apingwe kwa nguvu zote za Watanzania wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu ili aheshimu katiba, Bunge, mahakama, sheria za nchi, sheria za manunuzi ya Serikali, sheria za kutoa fedha hazina etc.
Naendelea kusema huyu jamaa ni janga kubwa sana la Taifa letu na ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu.
Nzi Elli Tetty Sky Eclat Salary Slip zitto junior MENGELENI KWETU tindo Saint Ivuga Erythrocyte lusungo Retired
ili MTU atubu ni mpaka aone na kutambua kosa lakeHuyu jamaa hawezi kutubu
kanisa lenyewe ni usalama wa taifaSawa wale wanaopenda kusifia nguvu ya usalama wa TAIFA na waje sasa walishambulie Kanisa Katoliki.
ataenda kwa mzee Wa upakoHahaaahaaaa mkuu hasa ukitilia maanani kuwa mkulu ni mshirika huko asije tu akaghaili au kususa kwenda kusali.
ili mtu atubu atubu ni lazima atambue kosa lake na kulijutiaKwanza akatubu ndipo mambo mengine yafuatie!
Sijui Kwanini Yule askofu mkubwa wa kanisa anashindwa kumshauri Swahiba wake atubu!
.msimamo wa TEC sometimes huwa unatofautiana na msimamo wa kanisa!
mbona ni kawaida?Kwakweli askofu ngalalekumtwa na wenzake historia itawakumbuka sana ..mungu awasimamie
Mimi naamini ni taasisi za dini ndio pekee ambao wamebaki na nafasi ya kukosoa na kuielekeza serikali, wengine wote wamefungwa midomo ikiwamo Bunge.
Vv
Huu waraka ufike nyumba nyeupe, kama ni mvivu wa kusoma amuombe Msigwa amsomee, hasa hizo kurasa ulizoziainisha.