Inatia moyo sana kuona Baraza la Maaskofu nchini limeanza kulaani na kukemea huu UdU wa kutisha unaoendelea nchini katika awamu hii.
Waliokuwa wanaikosoa Serikali hii dhalimu walitusiwa majina mbali mbali ikiwemo wasaliti, majizi, wapiga madili na matusi mengine chungu nzima.
Sasa hata Baraza hili la Maaskofu limechoka kuendelea kukaa kimya huku UdU nchini ukizidi kushamiri kwa kasi ya kutisha na hivyo kutishia amani ya nchi yetu.
DU apingwe kwa nguvu zote za Watanzania wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu ili aheshimu katiba, Bunge, mahakama, sheria za nchi, sheria za manunuzi ya Serikali, sheria za kutoa fedha hazina etc.
Naendelea kusema huyu jamaa ni janga kubwa sana la Taifa letu na ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu.
Nzi Elli Tetty Sky Eclat Salary Slip zitto junior MENGELENI KWETU tindo Saint Ivuga Erythrocyte lusungo Retired