Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwanini muwasukumizie mzigo wasanii wa kukemea? Wakulima, walimu, wanasheria, madaktari wao mbona hamuwasemi?Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahh
Kwahiyo mimi kuwa chawa ndio wewe unashindwa kuitoa ccm? pigeni mawe polisi wa ccm acheni kuleta ubabe mavi kwa mtoto wa kikeHovyo ni wewe uliyechagua kuwa chawa
Akina Jenista Mhagama wasiokuwa na maelezo mengine jukwaani zaidi ya maneno "mitano tena" na kugalauka mchangani wajiangalie.Ile kauli ya mitano tena imezua balaa
1.Bodo badala ya BadoBodo unakosea tu.kama huoni kosa tafuta mwalimu akufundishe.
HahahaIle kauli ya mitano tena imezua balaa
Ila yule mama ana Nyota aisee. Hatumii nguvu kwenye mambo yake.Akina Jenista Mhagama wasiokuwa na maelezo mengine jukwaani zaidi ya maneno "mitano tena" na kugalauka mchangani wajiangalie.
Hiyo nyota ya kugalagala kwenye vumbi hapana aiseeIla yule mama ana Nyota aisee. Hatumii nguvu kwenye mambo yake.
Mbeya ni washamba sana.... Vitu vingi vizuri kama Uchawa na ushoga hawavitaki kabisa..Ila Mbeya kuna ule ushamba flani kama wa kwenye vitongoji vinavyokuwa,pamewahi sana kupewa hadhi ya jiji
Hapo alichokosea ni huyo msanii wenu kuingiza siasa wakati watu wamelipia kiingilioIla Mbeya kuna ule ushamba flani kama wa kwenye vitongoji vinavyokuwa,pamewahi sana kupewa hadhi ya jiji
Hahaha! Huo üzungu hawajajaliwa.Ye kawaita wahuni nao wamemuonyesha uhuni,
Eti wangemuacha afanye kazi then badae wangeonyesha hisia zao braza hizo hisia baki nazo wewe,
Sidhani kama utamuona hapa maana muda huu anabubujikwa na machozi.Lucas Mwashambwa naomba maelezo yenye ukamilifu, Zuchu mwana wa Hadija Kopa jirani yangu pale Mwananyamala alikumbwa na mkasa gani hapo Mbeya
Je, ni mambo ya Siasa au mambo ya ushindani wa Biashara za burudani za akina Babu Tale?
Nimekaa pale 🐼
Mkuu haumjui mke wa P. Didy, upo dunia gani?Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.
View attachment 3110354
Alileta siasa ndiyo, haujamuona kuanzia mavazi, halafu invester Tulia Akson, kama siyo siasa ni nini?Kama walileta siasa sehemu ya burudani basi wamestahili walichokipata.
Kama anaipenda sana siasa aachane na muziki, Mitano tena nyoro yako.Kwahiyo mimi kuwa chawa ndio wewe unashindwa kuitoa ccm? pigeni mawe polisi wa ccm acheni kuleta ubabe mavi kwa mtoto wa kike