Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm 2025 atakayejaribu kulitaja jina la Samia akiwa jukwaani atapopolewa na mawe kama Zuchu alivyopopolewa kule Mbeya baada ya kusema "Samia mitano tena"
 
Screenshot_20240928-224331_1.jpg
Screenshot_20240928-224331_1.jpg
naona kwa sasa CHADEMA mmechanganyikiwa kabisa na kupoteza uwezo wa kufikiri kabisa.

Mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ndiye aliyefanikisha Ushindi wa Dkt Tulia Ackson Mwansasu kuwa RAIS wa umoja wa Mabunge Duniani.

Ni mama yetu Mpendwa na Nyota ya Matumaini na shujaa wetu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan aliyefanikisha Ushindi wa Dkt Faustine Ndugulile kuwa mkurugenzi Mkuu wa shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika. Bila Rais Samia hakuna ambaye angeshinda katika wagombea wote hao.

Rais Samia akikuwekea mkono wake na kukupatia baraka zake ni lazima upite tu.Mama anakubalika ndani na nje ya Nchi
IMG-20240929-WA0000.jpg

 
Akina Jenista Mhagama wasiokuwa na maelezo mengine jukwaani zaidi ya maneno "mitano tena" na kugalauka mchangani wajiangalie.
Ila yule mama ana Nyota aisee. Hatumii nguvu kwenye mambo yake.
 
Ila Mbeya kuna ule ushamba flani kama wa kwenye vitongoji vinavyokuwa,pamewahi sana kupewa hadhi ya jiji
 
Ila Mbeya kuna ule ushamba flani kama wa kwenye vitongoji vinavyokuwa,pamewahi sana kupewa hadhi ya jiji
Mbeya ni washamba sana.... Vitu vingi vizuri kama Uchawa na ushoga hawavitaki kabisa..
 
Lucas Mwashambwa naomba maelezo yenye ukamilifu, Zuchu mwana wa Hadija Kopa jirani yangu pale Mwananyamala alikumbwa na mkasa gani hapo Mbeya

Je, ni mambo ya Siasa au mambo ya ushindani wa Biashara za burudani za akina Babu Tale?

Nimekaa pale 🐼
Sidhani kama utamuona hapa maana muda huu anabubujikwa na machozi.
 
Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.

Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.

View attachment 3110354
Mkuu haumjui mke wa P. Didy, upo dunia gani?
Kila mtu anamjua mke wa P. Didy wa Bongo ni nani😄😄😜😜
 
Kwahiyo mimi kuwa chawa ndio wewe unashindwa kuitoa ccm? pigeni mawe polisi wa ccm acheni kuleta ubabe mavi kwa mtoto wa kike
Kama anaipenda sana siasa aachane na muziki, Mitano tena nyoro yako.
 
Back
Top Bottom