Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Kwani kahaba zinasikia basi, mifano kila leo ila kupe kwa mume za watu zimeganda kama ruba! Si ajabu hiyo beki tayza ili mfix mwamba kimazingara, kwa pumpum gan ujengewe bana? Umalaya tu.. u reap what u sow.
Mwanaume yeye sio malaya. Yeye ndie kasababisha yote hayo. Tajiri mzima unawezaje kutembea na house girl nq kuzaa naye kabisa
 
Tajiri wa madini hajaenda shule. Hivyo wanawake zake ndio hao ambao hawajaenda shule kama yeye.

Hata huyo mke wake kiakili ni kama house girl tu. Tofauti yeye aliolewa kanisani
Hahahah. Vita itakuwa kama ya kina marehemu Msuya hii.
 
Kwani huyo dada alibakwa mpaka kuzalishwa mara mbili?!

Marehemu na huyo ex maid wote wanawajibika.

Hawakujiheshimu wala kuheshimu mipaka yao na wale waliowazunguka.
Wote hawakuwa wanajiheshimu. Ila marehemu naye ,uzae na house girl watoto sijui wawili? Ona kaacha migogoro nyuma.
 
Hahahah. Vita itakuwa kama ya kina marehemu Msuya hii.

Matajiri wote wa madini ni watu ambao hawajaenda shule. Ni kama wale kina Bilionea laizer mmasai.

Huwezi kwenda shule ukawa tajiri. Maana shule inakufunga kiakili uwe muoga ku take risk

Ni sawa na Wakinga huwa wanaishia la saba tu. Kisha wanaanza kuutafuta utajiri.
 
Mfano huyo mwanaume angefanya yote hayo na akafa bila kuacha mali au pesa je mwili wa marehemu ungegombaniwa?.


Mimi Babu alipokufa akuacha Mali yoyote.

Msiba ulipoisha ikatumwa barua kutoka kwa Balozi kuwa Marehemu aliacha PESA nyingi bank Ila alisema zitumike kusomesha watoto .
 
Mfano huyo mwanaume angefanya yote hayo na akafa bila kuacha mali au pesa je mwili wa marehemu ungegombaniwa?.


Mimi Babu alipokufa akuacha Mali yoyote.

Msiba ulipoisha ikatumwa barua kutoka kwa Balozi kuwa Marehemu aliacha PESA nyingi bank Ila alisema zitumike kusomesha watoto .
Aa wapi. Huwajua wabongo wewe.
 
Kauli mbiu iendelee kuwa
Kitasa cha mlango wa chumba cha dada wa kazi tutakirekebisha kesho.

Kesho ikifika inakua kesho
 
Wa Kristo wana wake wa ngap?
Mke ni mmoja ila kama baba alikengeuka nje ila watoto akawaleta kuwatambulisha nyumbani serikali inatambua ilo ila hawatakuwa in favour kama wa mke wa ndoa. Kipaumbele kinaanza na mke wa ndoa na watoto wake wanafata watoto wa nje. Ila kama mke wa ndoa hakufanikiwa kupata mtoto wa kiume basi mtoto wa nje wa kiume atakuwa unfavourable kwa watoto wa kike kwa mke wa ndoa.
 
Na kama huyo mke hatakaa vizuri na ndugu, muhtasari kuupata inakuwa kimbembe. Hizi mali zitaua watu. Malumbano yote hayo ni sababu aliyekufa ni yajiri, angekuwa kapuku, hata michango ya msiba inausua sua, na watu wakizika tu hakuna anayetaka hata kujua watoto wa marehemu watasaidiwaje
Sikaki mali ya mtu mimi. Vya kwangu vinanitosha.
Hao ndugu wa mume ambao walikuwa wanataka kumzika ndugu yao bila kumshirikisha mke wake; ndiyo wangeandika muhtasari na kumpitisha mke wa marehemu kama msimamizi kwa urahisi tu? Ndiyo hao atawategemea kumsaidia kulea watoto wake? Ndugu wakigoma kukaa kikao; mahakama itampa tu mke go ahead; ni mke halali.

Sio kwamba mke anapigania mali; ni haki yake kabisa na watoto wake.
Hao ndugu wenye tamaa ndiyo waliomdanganya house girl; wakihisi labda wataambulia chochote kupitia house girl. Na hii issue inatokea mara nyingi tu; mume anapokuwa na watoto kwa wanawake wengine. Most of times ndugu wa mume huwa wana-side na michepuko na sio mke; na huwa close na watoto wa mchepuko kuliko wa ndoani.
*Mke na aheshimiwe na ndugu wa mume.
*Wanaume muache kuzaa hovyo;
*Na ndugu wa mume muache tamaa kwenye mali za wajane. Mnatia aibu
 
Arusha Mfanyabiashara tajiri wa mawe ndugu Temu amefariki dunia na kuacha kizaazaa nyuma. Bwana huyo ana migodi, magari sita, mashamba, majumba na mahoteli na maviwanja.
Alioa mke aitwae Yasinta ndoa ya kanisani.

Akazaa nae watoto 5 Kama kawa huko chuga hawa mabilionea hua wanapenda chovyachovya.

Baba akazaa nje mtoto wa kwanza akaleta home mke alee, akanogewa akazaa mwingine tena akapeleka nyumbani mkewe alee. Mke akawa hana namna. Kiroho safi analea.
Mke nae amezaa watoto watano tena mmoja mchanga, ukijumlisha wawili wa baba wanakuwa saba.

Mama akaleta housegirl, baba alivyo na tamaa akaanza kutembea na housegirl mpaka akapata mimba. Baba akamfanya mke mdogo, akamjengea na akazaa naye watoto wawili. Yule housegirl ndo akawa na nguvu, mke mkubwa akawa anadharauliwa.

Mke kikawa kinamuuma lakini sasa ndo ashazaa watoto watano akaamua avumilie.

Mara paaap, tajiri kaumwa. Kapelekwa Muhimbili, kwa mapenzi ya Mungu akatwaliwa. Picha ndo ilianzia hapo, mke mkubwa akafika Muhimbili akashangaa anaambiwa na binamu wa mume eti kaa pembeni tutasimamia Mali za watoto na haki zao, akashangaa kiajee Sasa? Lakini kwavile yeye ndo mwenye cheti Cha ndoa akakabidhiwa mwili na cheti cha kifo.

Soma Pia: Arusha: Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauwaji watuma meseji

Ndugu na jamaa na marafiki wakaleta mwili Arusha mochwari ya Mt meru. Mke mkubwa akaelekeza mume azikwe wapi.

Sasa ndugu, marafiki na mke mdogo wakapanga pa kuzika na wakamweka kando bi mkubwa.

Siku ya kuzika bi mkubwa akaingia mahakamani kwa hati ya dharura kuomba zuio na akafanikiwa, issue ilikuwa serious kaburi lishachimbwa, mapadre ikabidi wakafanye Dua pale ya kufunga kaburi tupu na Ile pilau ya msiba wadudu waliifakamia sana.

Sasa leo amri imetolewa na mahakama mke halali amzike mume wake... Housegirl na wale ndugu hawaamini kilichotokea. Eti ndugu na marafiki wanapanga kususia maziko.

Na mke mkubwa amesema mume wangu ni mkristu na ana mke mmoja tu. Akimaliza kuzika anakusanya mali za mumewe baada ya kufungua mirathi.

Housegirl ataambulia simu na cheni za marehemu na nguo..ambazo hata hivyo bi mkubwa anaulizia vipo wapi. Housegirl amegeuka suria..ila wanae watapata mgao wa mali

Wadada wa kazi mnapoenda kufanya kazi kwenye nyumba za watu acheni tamaa kwani hamjui baba na mama wameanzia wapi na wamesotaje kupata mali. Pia ndugu na marafiki acheni upumbavu wa kuingilia mali za marehemu ikiwa ana mke na watoto
Binadamu wanapenda vya bure. Lakini sababu za mume kuzaa nje wakati mwingine husababishwa na kiburi, dharau na kutowajibika kwa mke.
 
Back
Top Bottom