Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Masikini/mchovu ndio hupiga kelele siku zote, na nafikiri alikuwa akitusi kanda zingine mara baada ya kushiba.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Chai alikuwa anagongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini/mchovu ndio hupiga kelele siku zote, na nafikiri alikuwa akitusi kanda zingine mara baada ya kushiba.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Chai alikuwa anagongea
We' vipi? Hivi unaelewa unachoongea kweli? Muandiko mbovu, mpangilio mbovu, logic 2%. Tuna-fight kutokomeza ukanda halafu wewe unaleta ukanda tena. Acha uduanzi!Taja hyo tahasisi mbona waogopa taja tuwajue mnk watu wa kazkazni c wajinga Wala wapuuzi hat kidgo na mm nimefanya Kaz na watu tofauti ndio nilikutana nao walisalimu amri kwa kuiga juhud na maharifa zangu katka kutafuta pesa ...kazikazi watu wanaakili siyo tu ya darasana hata kimaisha tumewapita parefu sana
Kwan tuna nn mkuu mbna tunasalitiana tenaAlfu washukuru mungu jpm alivyoingia madarakan mnk kwa kipindi Cha nyuma kidogo kazikazini . Ilikuwa inatoa zaid mawaziri Tena wizara nyeti kbsa kutoka kazikazin achilia mbali mawaziri wakuu Ni wakuu wa idara nyeti ...mm natokea kazikzani ila chonde chonde naombeni mchaga asipewe madarak makubwa Kia's Cha uwaziri mkuu au uraisi acha kiti kitembee katkat Apo tu Ila pia CYO sukuma
U will thanks me latter
Nimezaliwa kaskazini Tena Arusha Pale ni nyumbani.... Naishi Dar hapa sio kwetu watu naofanya nao deals ni kutoka kaskazini kwasababu tunashabihana sana. Nawaheshimu sana ninyi wengine lakini hatuna tunachofanana ( Hapa inabidi ukubali tu )
Ok mfano mimi nakunywa mbege na najivunia ni asili yangu.
Nazungumza kiswahili chenye athari za lugha za kule.
Naamini naotoka nao kule .
December tunarudi wote .
Tunashindana kuboresha maisha ya kule.
Mpaka hapo wewe unaingia wapi?
Hata ukikasirika ukatoa maneno makali hatufanani Hii sio kwa ubaya ila ndo uhalisia....
( Tunaipenda Tanzania kwa sababu Kaskazini yetu Ipo ndani ya Tanzania)
What are these for?View attachment 2058906
Meru + Kilimanjaro
I've cried![emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji31][emoji31][emoji31] nailed it brother!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Una chuki babuuWhat are these for?
Hataaa, nimetaka kujua kwa nini umeweka picha wakati haina uhusiano na matakwa ya thread! Nikisema its a wrong position nitakuwa nakosea?Una chuki babuu
No si mm niliyeweka Ila nmekusoma toka juu unaonekana una chuki zako binafsi mbona tupo poa tu hasa sisi wachagaHataaa, nimetaka kujua kwa nini umeweka picha wakati haina uhusiano na matakwa ya thread! Nikisema its a wrong position nitakuwa nakosea?
Yes!Hivi una matumizi ya maana Na machozi yako?
Nimesoma ila umeandika imaginations tu hujaweka facts za nani kafanya nini kwa nani na lini??Rejea kusoma kichwa cha Uzi na uelewe ipasavyo.
Soma uzi tenaWa R Chuga lazima tuogopeke maana wengi ni ma hustlers.... hakuna mtu mjinga anaetokea Arusha
Na the fact kwamba watu hawapendi watu wajanja kuwazidi inakupa majibu
Mbona kwa miaka mingi umeonekana ni member mwenye akili timamu, kwanini unataka kupoteza heshima yako ghafla?Mleta mada wewe ndio mbaguzi na unajihisi kubaguliwa kumbe sivyo just boost ur self esteem.
ujue umewazidiUmetema sumu, ila si wasanii wote wapo hivyo, kikubwa tunajaribu kuliponya taifa letu na ufa huu wa sumu.