sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Shirikisho la Muziki Nchini Tanzania ambalo Fid Q Ni katibu Mkuu, lilimtangaza Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki Wote nchini.
Wasanii wamaupinga huu uteuzi na kudai wanataka Kusemewa na Mtu anaejua Changamoto zao na sio Steve ambae ni Mwanasiasa na Muigizaji.
Wasanii Wameonekana kutokua na imani na Steve kwa kigezo kuwa Haujui Muziki wa Tanzania na nafasi hiyo inamfaa mtu ambae yupo relevant na Muziki,
Wasanii waliopinga ni pamoja na Nay Wa Mitego, Diamond, Wakazi, Adam Mchomvu, Q Chief, Afande Sele, n.k
Imependekezwa Mchakato Urudiwe ili apatikane mtu sahihi wa kuwasemea wanamuziki