Ila Steve jamaa anajua kujipenyeza kutoka kwenye udalali wa wanawake, uuigizaji, uchawa kwa wanasiasa na baadhi ya matajiri mpaka uongozi.
Hako kajamaa kaoneni hivyo ila kana hela kwa sababu ya uchawa.
Nakumbuka 2017 nipo zangu Kawe, nikamuona anapita Prado kali.
Sasa nina mwanangu ni mbongo movie nika mwambia nimemuona Steve na Prado, jamaa akanipa Mkanda mzima.
Akanambia sio Prado ana gorofa analijenga lipo mwisho mwisho kuisha.
Zile chaguzi mbili zilizo mweka madarakani Kikwete, yeye ndiye alikuwa coordinator wa waigizaji wote, mzigo anapewa yy, then yy ndiye anaugawa.
Uchaguzi 2015 alipiga ila sio kivile kwani awamu ile Magu alikuwa hataki shobo, 2020 hajalamba kabisa.
Ila ndio mama kaingia mwamba anarudi tena na uchawa wake.
Steve alikuwa anauwezo wa kummiliki Welu Sengo, demu ana bonge la shepu hapo Steve alimpangishia, akamnunulia usafiri na bado mtoto wake akampeleka shule.
Kajamaa mademu anaotembea nao ni wale walio fungasha hatembei na vimodel.
Kajamaa kaoneni hivyo kanapiga hela kwa issues za uchawa kwawanasiasa na baadhi ya matajiri wanamuamini.
Kwa kifupi Fid Q kazingua jamaa hana quality za uongozi bali kujipendekeza.