Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Nahisi Walioamua wamefanya makusudi ili next time ikitokea uchaguzi waende.Wao wameona chama chao hakina ushawishi wakaona Steve atakifanya chama chao kijulikane zaidi
Wasanii daily wanalalamika mitandaoni na kwenye interviews ila kwenye mikutano yao hawahudhurii, sasa watahudhuria ingawa kumchagua Steve napo dahhh 😁😁😁