Wasanii wamjia juu Fid Q kwa kufanikisha Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki wote Tanzania

Sas babu hicho kidogo Cha kutafsiri quotation za watu na kuimba ndio kipaji na wew fanya hvyo pia ujazuiwa

Kwa Steve hapn kwa kweli Ni kero hyu
 
Acha chuki
 
Mimi sielewi, kwani hawa wana vyama/mashirikisho mangapi. Na ile TUMA ya kina MIKE TEE inatofauti gani na hii?[emoji56]
 
Nimebahatika kuwasikiliza wengi kuhusu huu mjadala,hao wasanii wenyewe miyeyusho,vikao vyao hawaattendi......wenzao wamefanya yao Makelele kibao.....wao wenyewe Kwa wao mizinguzi tu.......acha waongozwe na Steve tu
 
ukiangalia Steve wamemchagua kwa kigezo cha connection za kisiasa zaidi uwezo wa kuongelea wasanii wa muziki, pia angalau angekua hata na taaluma ya mawasiliano au habari lakini bado hana
 
Umemuelezea Steve kama mtu mwenye hela nyingi sana ilhali ni mtu wa kawaida sana anayeishi nyumba ya kupanga Kinondoni Moscow mitaa ya Scud.
Simchukii Steve ila mzee umempamba sana yani.
 
Nimebahatika kuwasikiliza wengi kuhusu huu mjadala,hao wasanii wenyewe miyeyusho,vikao vyao hawaattendi......wenzao wamefanya yao Makelele kibao.....wao wenyewe Kwa wao mizinguzi tu.......acha waongozwe na Steve tu
KWELI hawaendi kwenye vikao lakini hao wanaoenda ndo wamchague steve jamani khaaaaaa
 
Mziki umetawaliwa na uteam , wasanii wengi wanachukia WCB , Steve Nyerere ni mtu sahihi
 
KWELI hawaendi kwenye vikao lakini hao wanaoenda ndo wamchague steve jamani khaaaaaa
Wao wameona chama chao hakina ushawishi wakaona Steve atakifanya chama chao kijulikane zaidi
 
Umemuelezea Steve kama mtu mwenye hela nyingi sana ilhali ni mtu wa kawaida sana anayeishi nyumba ya kupanga Kinondoni Moscow mitaa ya Scud.
Simchukii Steve ila mzee umempamba sana yani.
Mimi niliyo ongea nae ni mbongo movies na nilikubali zaidi alivyokuwa akimdate Welu Sengo. Yule demu alimpangia, kamnunulia gari na mtoto wale aliye mkuta anawa anamsomeshea,still bado gharama nyingine alikuwa anamuhudumia.

Kama hujui brother unapoona msafara wowote wasanii, ukimwona Steve kwenye msafara huyo jua yy ndiye aliye kabiziwa mzigo kuwagawia watu.Si mpambi bale ni maneno kutoka kwa mmoja wa bongo movies ninaye fahamiana nae.
 
Hapo kwa Fid Q tutakesha tuya ache tu
 
Ni kweli wamekosea
Lakini hao walalamikaji naskia kwenye vikao wakiitwa hawaji sasa wangekuwepo si wangekuwa na nguvu ya kuchagua mtu wanayemtaka?

Mfano ni huyo diamond hajawahi kwenda anajikuta star sasa analalamika nini?
Ishu siyo kwenda, hiyo ni cabinet iliyopewa nguvu na baraka za wasanii kuteua mtu anayefaa. Cabinet hiyo inaundwa na wakina Asha Baraka, Mzee yusufu, Fid Q, na ..... Hao ndio wenye nguvu ya kupendekeza na kuteua na siyo wasanii wote kwenda kuchagua. Tuelewe kwanaza maana ya shirikisho na viongozi wake pia katiba yao. Ndio unaweza kuchambua huu mgogoro.
 
Mimi sielewi, kwani hawa wana vyama/mashirikisho mangapi. Na ile TUMA ya kina MIKE TEE inatofauti gani na hii?[emoji56]
Kwa mujibu wa maelezo Yao Jana ,walisema kwamba Shirikisho Lina wanachama mbalimbali humo ndani,kama mziki WA taarabu,dance,Ngoma za asili,za dini....Kwa kifupi Aina zote za music ni wanachama ndani ya Shirikisho...hao TUMA ni Aina mojawapo ya music kirefu chake kama sijakosea walisema ni TANZANIA URBAN MUSIC ASSOCIATION
 
Ninavyojua katiba nguvu inakuwa upande wa majority na sio minority.

Sidhani kama majority wangependekeza mtu wao halafu from nowhere shirikisho likamleta tu huyo tivu.. Haiwezekani!

Ninachoona hapa ni mihemko inayofanywa na mashabiki, mfano wakati huyo steve anapendekezwa nani alipinga?
Hakuna hapo ndo utajua wasanii hata vikaoni hawaendi
 
Kutohudhuria kwao sio sababy ya kumchagua msemaji asie sahihi.

Kwahiyo wanawakomoa wasiohudhuria ama!!
Wewe unaona hivyo
Wenzio wamechagua kutokana na wanavyoamini sababu hakukuwa na majority ya kuwa criticize.. Kuwa huyu hatumtaki tunamtaka huyu.. Lakini hawakuwepo wanajifanya bize Sana

Lakini leo huyo stivu amechaguliwa ndio wanaibuka out from nowhere eti hakufaa..! Milipendekeza mtu mnayeona anafaa na viongozi wakakataa?

Kwa hili tuache unafiki kina fid q wapo sawa kiutendaji ya huyo stivu ndo tutajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…