Nahisi Walioamua wamefanya makusudi ili next time ikitokea uchaguzi waende.Wao wameona chama chao hakina ushawishi wakaona Steve atakifanya chama chao kijulikane zaidi
Raisi wa nchi, au waziri anapoteua bodi fulani ya wakurugenzi ni sisi ndio tumeteua? Mbona teuzi nyingine huwa tunalalamika kwamba hapa hawajatutendea haki kumteua fulani!! Ishu si kupendekeza mtu kutoka majority. Wasanii walishafanya kazi kuchagua viongozi wao. Wajibu wa viongozi ni kuteua. sasa unapoteua mtu labda hawamkubali kutokana na sababu zao haizuii yeye kuendelea na kazi ila likija kubuma huko msala unarudi kwa viongozi.Ninavyojua katiba nguvu inakuwa upande wa majority na sio minority.
Sidhani kama majority wangependekeza mtu wao halafu from nowhere shirikisho likamleta tu huyo tivu.. Haiwezekani!
Ninachoona hapa ni mihemko inayofanywa na mashabiki, mfano wakati huyo steve anapendekezwa nani alipinga?
Hakuna hapo ndo utajua wasanii hata vikaoni hawaendi
Na raisi anachaguliwa na nani?Raisi wa nchi, au waziri anapoteua bodi fulani ya wakurugenzi ni sisi ndio tumeteua? Mbona teuzi nyingine huwa tunalalamika kwamba hapa hawajatutendea haki kumteua fulani!! Ishu si kupendekeza mtu kutoka majority. Wasanii walishafanya kazi kuchagua viongozi wao. Wajibu wa viongozi ni kuteua. sasa unapoteua mtu labda hawamkubali kutokana na sababu zao haizuii yeye kuendelea na kazi ila likija kubuma huko msala unarudi kwa viongozi.
Katiba ya shirikisho haisemi majority ndio wamchague. Bali inasema ni uongozi ndio unateua. Tofautisha kati ya kuchagua na kuteua. Steve ajachaguliwa bali ameteuliwa kuwa msemaji. Kwa hiyo usiwalaumu wasani kuhudhuria kwa sababu hawakuhitajika kwenye tukio hilo kikatiba. Mbona wakati wanampigia kura fid q kuwa katibu walihudhuria? Kikubwa tuelewe majukumu ya viongozi na kila teuzi si kwamba wote watakubaliana nao, wataopinga wapo na watakaosupport wapo.Wewe unaona hivyo
Wenzio wamechagua kutokana na wanavyoamini sababu hakukuwa na majority ya kuwa criticize.. Kuwa huyu hatumtaki tunamtaka huyu.. Lakini hawakuwepo wanajifanya bize Sana
Lakini leo huyo stivu amechaguliwa ndio wanaibuka out from nowhere eti hakufaa..! Milipendekeza mtu mnayeona anafaa na viongozi wakakataa?
Kwa hili tuache unafiki kina fid q wapo sawa kiutendaji ya huyo stivu ndo tutajua.
Nitakupinga mpaka kufa kwa hii kauli.Fid ni mshamba sana watu wengi wanamheshimu kwa zile flow zake ila ukipata nafasi ya kumsikia akiwa anaongea utagundua hana kitu kichwani zaidi ya kutafsili quotation maarufu duniani na kuziweka kwenye mashairi yake, kitendo cha kumteua steve kuwa msemaji wa wanamuziki kinaakisi mentality yake wala sio cha bahati mbaya au ni mkakati
Duh, wanajimegea vitengo tu[emoji2][emoji2]Kwa mujibu wa maelezo Yao Jana ,walisema kwamba Shirikisho Lina wanachama mbalimbali humo ndani,kama mziki WA taarabu,dance,Ngoma za asili,za dini....Kwa kifupi Aina zote za music ni wanachama ndani ya Shirikisho...hao TUMA ni Aina mojawapo ya music kirefu chake kama sijakosea walisema ni TANZANIA URBAN MUSIC ASSOCIATION
Nadhani yeye yuko TUMAKama sikosei Baghdad nae ana chama chake.
Tafuta kamba yako na wewe ujilie Kwa urefu wakeπ€£Duh, wanajimegea vitengo tu[emoji2][emoji2]
Eti kigezo ni kwamba steve nyerere anajuana na makada wengi wa CCM.Walimtumia kigezo gani yeye kushiriki uchaguzi? Minimum qualifications
Kwamba yeye atakuwa Aucho,aunganishe beki na washambuliaji?Eti kigezo ni kwamba steve nyerere anajuana na makada wengi wa CCM.
Yani Fid Q amekua desperate mpaka anaamini kuwa hawezi kupata shows za maana isipokuwa tu kwenye jukwaa la kampeni za CCM ndiyomaana ameona amkumbatie Steve nyerere.Kwamba yeye atakuwa Aucho,aunganishe beki na washambuliaji?
Kwenye kuchagua walikua wanachagua wasanii au cabinet ya viongoI akiwemo fid q??Wewe unaona hivyo
Wenzio wamechagua kutokana na wanavyoamini sababu hakukuwa na majority ya kuwa criticize.. Kuwa huyu hatumtaki tunamtaka huyu.. Lakini hawakuwepo wanajifanya bize Sana
Lakini leo huyo stivu amechaguliwa ndio wanaibuka out from nowhere eti hakufaa..! Milipendekeza mtu mnayeona anafaa na viongozi wakakataa?
Kwa hili tuache unafiki kina fid q wapo sawa kiutendaji ya huyo stivu ndo tutajua.
Na amesema ukweli au sababu ni lopolopo basi asisikilizwe?Kwenye kuchagua walikua wanachagua wasanii au cabinet ya viongoI akiwemo fid q??
Ingekua ni wao basi huyo fid q angejitetea kua hawaji kwenye vikao lakini hayo maneno ya kutoenda kikaoni mmeyatoa kwa mwijaku yule lopolopo.
Nna uhakika huna ushahidi wa hilo, ni umemskia tu mwijaku kasema na ww umelichukua kama lilivyo.
Mkuu madai yao yamesikilizwa na washatoa ufafanuzi kua steve sio msemaji bali ni mhamasishaji tu.Na amesema ukweli au sababu ni lopolopo basi asisikilizwe?
Licha hayo tunajua kwenye vikao huwa hawaji niliwahi kusikia yule jamaa Baghdad analalamika kuhusu hili.
Usipokuja na lako halipo, Hata kama kina fid wanachagua wao lakini sidhani kama mchakato unfanyika private.
This time wamewapatia Sana
KabisaFid ni mshamba sana watu wengi wanamheshimu kwa zile flow zake ila ukipata nafasi ya kumsikia akiwa anaongea utagundua hana kitu kichwani zaidi ya kutafsili quotation maarufu duniani na kuziweka kwenye mashairi yake, kitendo cha kumteua steve kuwa msemaji wa wanamuziki kinaakisi mentality yake wala sio cha bahati mbaya au ni mkakati
Tena ukiskiza show ya xxl ya jana avokua anahojiwa ndo utaona anavoongea utumboFid ni mshamba sana watu wengi wanamheshimu kwa zile flow zake ila ukipata nafasi ya kumsikia akiwa anaongea utagundua hana kitu kichwani zaidi ya kutafsili quotation maarufu duniani na kuziweka kwenye mashairi yake, kitendo cha kumteua steve kuwa msemaji wa wanamuziki kinaakisi mentality yake wala sio cha bahati mbaya au ni mkakati