Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Ulitaka uwe wewe? Ukiwa mshauri wa mke wako itafaa huku kwingine utaishia kujifariji humu mitandaoniOngezea, RAS shinyanga, waziri wa utawala Bora ( mkwe wake), JK, kuna MR wake ambaye ni afisa kilimo( huwa always anajificha), KMK ambaye naye anajificha chamwino, RC Tabora na Ndugai
Acha kumfananisha mama na mwendazake kila mtu na wakati wake mwacheni afanye kaziUkifatilia hotuba yake nafikiri akiaapisha mawaziri akasema kuwa yeye hana kipawa kama kile alichokuwanacho hayati kwamba akifika sehemu anauwezo wa kujua hapa tumepigwa au lah lakini yeye ni mtu wa graph tu zinepanda zimeshuka basi.
Manaake ni nini? Yeye analetewa tu hataki kuangqisha ubongo wake kuwaza nje ya boksi.
She is to stay till 2030, Maza ananifurahisha kupiga Pini Hawa pimbiInaonekana ushungi inakukera mno na bado mitano tena
Wewe ni mpumbavu kumbe unataka tozo zitoke ndio ujue ushauri mzuri 😁😁😁 utasubiria Sana lazima ulipe kodi na Serikali ifanye miradi yake.YAANI...Kuna wakati najikuta naamini sana kuwa huyu mama anategemea zaidi Watu/ washauri waamue badala yake kisha wanamuambia tu amua hivi/fanya hivi naye hana jinsi
Kwasababu nikiangalia mfano msimamo wake juu ya tozo wanazolipishwa watanzania kupitia miamala...yeye binafsi hakuliafiki kwasababu alisema litazamwe upya, Mara paaap ni kama limelazimishwa na Mwigulu Nchemba na kupitishwa then mama akakaa kimya kumaanisha amelikubali
Hata Suala la kukamatwa kwa Mbowe ni kama vile mama anakuja kushirikishwa mambo baada ya kufanyika...
LAKINI pia kuna mambo mengine naamini anafanya kwa utashi wake, kwa mfano uteuzi wa hawa watoto / vibinti vya CCM kuteuliwa katika nafasi za Ukuu wa wilaya au Ukurugenzi, hapa naamini hajashauriwa ni ameamua yeye kama yeye kupitisha majina hayo.
Kifupi, yeye kama Rais kuna lawama nyingi anapaswa kuzipokea kutokana na nafasi aliyo nayo.
Ulitaka uwe wewe? Ukiwa mshauri wa mke wako itafaa huku kwingine utaishia kujifariji humu mitandaoni
Nani alikuambia ushauri wangu utamfaa? Sana sana ningemshauri 2025 arudi KisiwanduiUlitaka uwe wewe? Ukiwa mshauri wa mke wako itafaa huku kwingine utaishia kujifariji humu mitandaoni
Std 7Wewe ni mpumbavu kumbe unataka tozo zitoke ndio ujue ushauri mzuri 😁😁😁 utasubiria Sana lazima ulipe kodi na Serikali ifanye miradi yake.
Huo ushauri mzuri kampe mkweo
Atarudi 2030 hiyo 2025 mshauri mke wakoNani alikuambia ushauri wangu utamfaa? Sana sana ningemshauri 2025 arudi Kisiwandui
Wewe degree holder una nini zaidi ya kulialia kama yatimaStd 7
Ukiitwa chadema unabishaAtarudi 2030 hiyo 2025 mshauri mke wako
Nina kadi ya CCMWewe degree holder una nini zaidi ya kulialia kama yatima
Imemsaidia nini yeye na wewe?Kigogo aliwataja wiki majuzi kati!
Baada ya kutukana umepata ugali mezani?Raisi na Amiri jeshi mkuu sio MUNGU, atatukanwa atabezwa na atadhihakiwa tu iwe hadharani au sirini.
Kama hutaki raisi atukanwe basi aachie uraisi. Ukiwa kiongozi basi jua matusi yote utatukanwa
Bibi-maushungi ni legevu mno. Hata washauri wake wanamjua jinsi alivyo goigoi.
Akiletewa ushauri mezani anawaambia "Haya nendeni mtekeleze hayo mlosema".
Yeye binafsi hawezi kuchakata taarifa na kuzidadavua.
Nchi za wenzetu. Mtu kama wewe ni wale wanaoajiriwa kufanya kazi za kuosha barabara. Huko bongo unaitwa kadaBaada ya kutukana umepata ugali mezani?
Katiba mpya itakuongezea ugali? Kwanza naona mama mpole ,ningewapiga Pini hadi akili zikae sawa.Toa ushauri nini kifanyike. Mimi nadai Katiba Mpyaaa
Hamia kwenye hizo "nchi za wenzenu" unasubilia nini? Nikifagia barabara kuna tatizo kwako?Nchi za wenzetu,Mtu kama wewe ni wale wanaoajiriwa kufanya kazi za kuosha barabara. Huko bongo unaitwa kada
Laiti ungejua niliko.Hamia kwenye hizo "nchi za wenzenu" unasubilia nini? Nikifagia barabara kuna tatizo kwako?
Nadhani aongeze kuwakazia hadi waelewe Shoo Waite majina yote wademke kwenye mitandao nk lakini bahati nzuri WaTzn wanawapuuza.Mkuu hawa machadema wanajaribu kumfanya Samia ni mtu safi sana!
Ila watu wa Magu ndio wanamharibia.
Alafu sasa Samia alisafisha watu wote wa Magu wa ikulu na team inayomsaidia ni ile mpya kabisa aliyoiunda yeye mwenyewe!
Yani machadema hata baada ya Magu kufariki chochote kinachotokea wanamtupia lawama.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ili inisaidie nini nikijua? Na deal ya upuuzi wa content zako maisha yako hayanihusu.Laiti ungejua niliko.
Waulize ushauri gani? Hata mtoa mada umeona kuna point yoyote ya maana kaandika? Ishu hapa maslahi ya kundi lake yamepigwa Pini kwa hiyo wanatoa povu kujifariji.Hahaha, alikuwepo mwendazake watu wakasema hashautiki, ni mkali sana, ni katili.
Huyu sasa ni legevu anasikiliza sana ushauri..