Wasukuma mulimhola: Mmetisha kujaza Tanzania kila mahali!

Wasukuma mulimhola: Mmetisha kujaza Tanzania kila mahali!

Wasukuma wanatuchelewesha maendeleo.wao na ccm wanadai imewalea na kuwakuza,Hivyo hawawezi kutokuichagua hata kama inafanya mambo ya hovyo
 
Nyie ni km waarabu,
Wingi wenu Hauna ht faida nampala wenu alizimishwa kimya! Na nyie mpo wengi kimya tu!☹️☹️☹️

Ingekuwa watu wa kutoka north huenda pangechimbika
 
Wasukuma ni wengi sana nchi hii, ni wakarimu sana ila bado wamelala, siku wakitoka usingizini watakuwa wanaamua nani awe Rais wa nchi.
 
Mwenye kutaka awe na sura ya kitaifa ni lazima awekeze kwa wasukuma kiasi maana wana uwezo wa kuamua nani awe nani,hasa upande wa siasa.
Anayeamua nani awe nani ni tume ya uchaguzi wanaohesabu kura.
 
Wasukuma ni wengi sana nchi hii, ni wakarimu sana ila bado wamelala, siku wakitoka usingizini watakuwa wanaamua nani awe Rais wa nchi.
Kwa katiba ipi na tume ipi?
 
Wasukuma wanatuchelewesha maendeleo.wao na ccm wanadai imewalea na kuwakuza,Hivyo hawawezi kutokuichagua hata kama inafanya mambo ya hovyo
Nyie kabila gani mnaocheleweshwa na wasukuma? Jipangeni muendelee bila kutegemea wasukuma, hawa jamaa hawaondoki wanaongezeka tuu.
Mtasubiri sana. we
 
Aaah wasukuma ni konyo kipindi wanahamia huk nikawa nawashangaa unamkaribisha moja baada ya mwezi moja anaita ndugu zake kama 3 hiv baada ya muda ni kitongoji wanakianzisha ninachowapendea hawaringi kila kazi wanapiga.
 
Wasukuma wanazaa sana ila si wavivu na wanabidii ya kutafuta na hawana njaa, wengi wana mali za kutosha kuishi na pia wana mifugo mingi. Hàta mikoa yote wanayoishi hukuti wakiwa maskini wa kuombaomba.
Kwa maisha ya kiafrika wako sawa kuzaana maana wanayamudu maisha,
eti To yeye
Umetumia takwimu gani mkuu?

Naona unajiaminisha kwenye ubongo wako

Vifo vya watoto wadongo vipo high

Kusoma na kuandika (literacy) ipo very very low

Akiba kwa kila kaya za kwenu ni very low

Agricultural output per household ni very low

etc etc

Halafu upo hapa unasema "matajiri"?
 

Nyie ni km waarabu,
Wingi wenu Hauna ht faida nampala wenu alizimishwa kimya! Na nyie mpo wengi kimya tu!☹️☹️☹️

Ingekuwa watu wa kutoka north huenda pangechimbika
Katika kitu wasukuma wapo vzr ni pamoja na kutokuwa wakabira, kasikazin hata kama mtu ni mbovu ila kama anashindana na mtu kutoka nje yao hawawez kutomchagua huyo wa kwao mbovu,

Ujue Lowasa na Lissu walipata kura nyingi tu kanda ya ziwa na walikuwa wanapata watu wa kutosha kwenye mikutano

Miongoni mwa vitu viliirudisha nyuma sahara media (star tv na RFA) ni mmiliki kutokumuunga mkono JPM bwana Antony Diallo (mmiliki) akiwa ni mwenyekiti wa CCM mkoa Mwanza hakuwa anamuunga mkono JPM, JPM aliteseka sana kupata wadhamini akiwa anatia nia kwenye chama, wakati Lowassa aliungwa mkono

Kwa kasikazini isingetokea hivyo, just imagine JPM anafariki mm nlikuwa usukumani kuna baadhi ya wasukuma walishangilia kifo chake sasa ndio useme waandamane
 
Eti Mad Max mimi huwa ninajiuliza kwenye sekta ya maji wasukumu wanawekana au ni kwamba wengi wamesomea maji...mfano RUWASA
 
Back
Top Bottom