Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
 
Wanaona sifa kula chakula kingi, wanasema kwao hakuna njaa wanalima sana. Mtoto mdogo anaanza kulishwa chakula kingi ili tumbo lipanuke awe anapakia chakula kingi hatimaye akiwa mkubwa awe na umbo kubwa. Mshangao ni pale wakienda chooni mtu anashusha kimba la kilo mbili! Kwa ulaji huo choo kitaachaje kujaa haraka?
 
Wanaona sifa kula chakula kingi, wanasema kwao hakuna njaa wanalima sana. Mtoto mdogo anaanza kulishwa chakula kingi ili tumbo lipanuke awe anapakia chakula kingi hatimaye akiwa mkubwa awe na umbo kubwa. Mshangao ni pale wakienda chooni mtu anashusha kimba la kilo mbili! Kwa ulaji huo choo kitaachaje kujaa haraka?
Ha ha ha..dah
 
Wanaona sifa kula chakula kingi, wanasema kwao hakuna njaa wanalima sana. Mtoto mdogo anaanza kulishwa chakula kingi ili tumbo lipanuke awe anapakia chakula kingi hatimaye akiwa mkubwa awe na umbo kubwa. Mshangao ni pale wakienda chooni mtu anashusha kimba la kilo mbili! Kwa ulaji huo choo kitaachaje kujaa haraka?
Chooni huwa unafuatilia.
Binafsi mimi ni Msukuma, kwa miaka 15 liyopita nimehamia Uchagani huku. Na niko huku nakula kama niliyokua nakula nyumbani. Tunatwanga ugali maziwa, na mboga za kutosha.

SIna overweight km wanaokula kidogo.Huku wanawache wanavutambi ila usukukumani hakuna mwanamke mwenye kitambi.
 
Sio Wasukuma pekee ndiyo Walaji wa chakula kingi. Nafikiri ni mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ni Walaji wazuri wa chakula kingi.

Ulaji wa chakula kingi unategemea na shughuli mtu azifanyazo, kama utakuwa unafanya kazi nyingi za nguvu huna budi kula chakula kingi ili kupata energy ya kutosha kwenye shughuli zako.

Mimi pia nilikuwa Mlaji sana wa chakula nikiwa kule, baada ya kuja DSM nikapunguza kabisa.

Juzi nilipoenda Musoma kusalimia, nikakutana na msosi wa kula watu sita wa DSM lakini tukatakiwa kula watu watatu.

Kwanza walipakua wali Samaki tukala.

Baada ya dakika 15 wakaleta mezani ugali Samaki, eti walisema ule wali ilikuwa ni wa kuonja tu 🙌

Kwa kweli tunaoishi mijini ni kama hatuli kabisa, haiwezekani ule Chipsi sahani Moja eti ushibe, hizo nguvu za kuzalisha watoto 12 kama Wazee wetu zinatoka wapi 🙌
 
Chooni huwa unafuatilia.
Binafsi mimi ni Msukuma, kwa miaka 15 liyopita nimehamia Uchagani huku. Na niko huku nakula kama niliyokua nakula nyumbani. Tunatwanga ugali maziwa, na mboga za kutosha.

SIna overweight km wanaokula kidogo.Huku wanawache wanavutambi ila usukukumani hakuna mwanamke mwenye kitambi.
Ukila lazima ufanye kazi za nguvu sio kunywa pombe kama wa chagga lazima upate kitambi, msukuma chakula chake anakifanyia kazi kinasagika haraka.
 
Je, kuna namna yyte ulaji wao unawasababishia njaa? Mkuu ebu kuwa na hoja basi yaani unataka msukuma ambaye akienda shambani saa kumi na mbili asbuhi natoka saa kumi na moja jioni huku amelima nusu heka ale sawa sawa na mtu ambaye amekaa ofisini au kijiweni? Unajua nguvu alizopoteza? Maana nyie watu wa daslamu mnakoelekea utasema waanze na kula sembe dona sio chakula.
Kila mtu aishi kwenye mfumo wake wa chakula na ndio matabaka ya maisha wewe hapo unakula kidg unajiona mjanja wakat kuna watu wanakushangaa pia
 
Habari za jumapili wakubwa.
Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu flani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.
Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.
Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa dar wangeweza kula mwezi mzima.
Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.
Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa hovyo namna hii.
Wasukuma twakula chakula Kingi kwasababu twaamini tutaingia tena shambani kupambana, hivyo lazma tukusanye nguvu Kwa wingi.
 
Hahahaaa wazee kuna kula kushiba na kula kulambalamba, ngoshaz wanakula kushiba!

Ila sema yotee wasukuma ni wakarimu mnoo, nishawahi kwenda simiyu harakat za kutafuta shamba kufika kwa mwenyeji wangu nikachinjiwa kuku wangu peke yangu i felt humbled wana roho nyeupe sana wengi wao
 
Sio Wasukuma pekee ndiyo Walaji wa chakula kingi. Nafikiri ni mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ni Walaji wazuri wa chakula kingi.

Ulaji wa chakula kingi unategemea na shughuli mtu azifanyazo, kama utakuwa unafanya kazi nyingi za nguvu huna budi kula chakula kingi ili kupata energy ya kutosha kwenye shughuli zako.

Mimi pia nilikuwa Mlaji sana wa chakula nikiwa kule, baada ya kuja DSM nikapunguza kabisa.

Juzi nilipoenda Musoma kusalimia, nikakutana na msosi wa kula watu sita wa DSM lakini tukatakiwa kula watu watatu.

Kwanza walipakua wali Samaki tukala.

Baada ya dakika 15 wakaleta mezani ugali Samaki, eti walisema ule wali ilikuwa ni wa kuonja tu 🙌

Kwa kweli tunaoishi mijini ni kama hatuli kabisa, haiwezekani ule Chipsi sahani Moja eti ushibe, hizo nguvu za kuzalisha watoto 12 kama Wazee wetu zinatoka wapi 🙌
Kwamba wali ni starter?
 
Back
Top Bottom