Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Jamii za wafugaji wengi ndivyo hufanya, ndiyo maana ukienda kwao huwezi kukuta tatizo la njaa hata Siku moja
Kuna kama nyingi zenye njaa katika jamii za wafugaji hadi wanepewa fedha za TASAF
 
Kuna kama nyingi zenye njaa katika jamii za wafugaji hadi wanepewa fedha za TASAF
Nakubaliana na wewe ila sio Wasukuma, wao mara nyingi nawaona wapo serious na chakula.

Kuna jamaa zangu wakisukuma niliwatembelea, wametunza kwenye vihenge vyakula vya miaka miwili iliyopita 🙌

Hao njaa wataisikia kwenye bomba tu
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Mtu anashinda mashambani huko sa unategemea aje ale kama wewe uliyeshinda kutwa mzima unasuta jirani yako?
Issues za ulaji hutegemeana na kazi unayofanya bro
 
Mtu anashinda mashambani huko sa unategemea aje ale kama wewe uliyeshinda kutwa mzima unasuta jirani yako?
Issues za ulaji hutegemeana na kazi unayofanya bro
Jamii za pwani huwa tunawanyima vyakula watoto kwa kuwapa chakula kidogo ety ni ukisasa matokeo yake wanakuwa na vi miili vidogo na vichwa vikubwa kitu ambacho si sawa kabisa. Kwa wasukuma watoto muda wote wakiitaji kula chakula mtoto anapewa. Maana asubuhi TU mama lazima apike uji kwenye sufulia KUBWA, au boko hara michembe. Kwa hiyo mtoto au mtu yeyote akihisi njaa anakula chakula sasa ni tofauti na kwetu huku pwani Kila tunabajet Hadi chakula ila wasukuma kula kushiba ni lazima na Hana bajeti maana Kila kitu analima yeye
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Mwamba utakuwa mpumbavu wewe! Yaani unataka Msukuma ale chakula kidogo kama Mzaramo? Unafahamu kazi za hawa miamba? Wacha wale bwana maana haijawahi kutokea ukawapelekea hata debe la mahindi!
 
Mpaka Nile Sana,labda niwe nimeanza na "Dawa" kwanza,ndio uleta hamu ya kula Sana.
 
Hasheem Thabit alituambia alikuwa anakula milo 6 ya nguvu akiwa anacheza NBA kule kwa Trump.

Didier Drogba alipokuja kucheza dhidi ya Taifa Stars tulishangaa ile misosi mingi aliyokuwa anafakamia.

Hao nao ni Wasukuma? Mamamaeeee. 😂🤣
 
Waachwe wale jamani,mhhh.
Wasukuma wa vijijini wanafanya kazi Sana.
Pia Ni wakarimu hatari.
Nilikaa usukumani kwa miaka minne,Ila nikijifunza ukarimu wa Hawa watu.
Nasema,acha waleeeeeee
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Wala sio kula ovyo ni kujua kutafuta na kujua kutumia, msukuma huwezi kuta anapima unga dukani ndio maana likitolewa dongo mbwa haruki, ila Dar unga unapima nusu na robo alafu mnakula watu 4
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Juzi nimeshuhudia ndoo ndogo ya lita 10 iliyojaa ugali ikiliwa na watu 3, tena ni huku uchagani

Kwa kazi wanayofanya ni haki kula hivyo, Unajua kupasua mti mkubwa mbao kwa kutumia msumeno ule mrefu sio mchezo hata kidogo. Wenye experience watakuja kuungaman na mimi katika hili
 
Juzi nimeshuhudia ndoo ndogo ya lita 10 iliyojaa ugali ikiliwa na watu 3, tena ni huku uchagani

Kwa kazi wanayofanya ni haki kula hivyo, Unajua kupasua mti mkubwa mbao kwa kutumia msumeno ule mrefu sio mchezo hata kidogo. Wenye experience watakuja kuungaman na mimi katika hili
Duh. Sio poa
 
Unaposikia mtu amepigwa na stroke amepooza upande mzima,
Wengine hadi network ya Ubungo inakata hawezi kuongea ni sababu ya kuumwa presha ya muda mrefu ya kupanda.
Na kwa kuwa Watu Hawana mazoea ya kucheki afya, na mwingine hata akijua hanywi dawa.

Ni ugonjwa hatari sana Mwenyezi Mungu atuepushie mbali.
 
Unakuta wanaume vijana miaka 45 hana nguvu za kiume 🤔🤔
Anahangaika na miti shamba weee hakuna kitu , hakuna ufumbuzi.
Anajiuliza au kuna tego aliwekewa mahala labda kuna mwanamke wa mtu alipita nae ?!
Kumbe wala ni life style tu.
Ukimuona kwa nje utasema bonge la bwana kumbe ni mtihani .

Sababu ni nini utakuja kukuta ni Insulin resistance imekuwa dhaifu .
Kisukari.
Sababu ya kula wanga mwingi ugali mgumu kama jiwe Halafu mwingiii kama wa mbeba zege au kuli wa bandarini.

Halafu watu wakitoa ushauri wa bure kama sehemu ya jamii watu wanapingana na ukweli .
Mwenyezi Mungu azidi kutuepushia mbali.
 
Unakuta wanaume vijana miaka 45 hana nguvu za kiume 🤔🤔
Anahangaika na miti shamba weee hakuna kitu , hakuna ufumbuzi.
Anajiuliza au kuna tego aliwekewa mahala labda kuna mwanamke wa mtu alipita nae ?!
Kumbe wala ni life style tu.
Ukimuona kwa nje utasema bonge la bwana kumbe ni mtihani .

Sababu ni nini utakuja kukuta ni Insulin resistance imekuwa dhaifu .
Kisukari.
Sababu ya kula wanga mwingi ugali mgumu kama jiwe Halafu mwingiii kama wa mbeba zege au kuli wa bandarini.

Halafu watu wakitoa ushauri wa bure kama sehemu ya jamii watu wanafanya resistance.

Mwenyezi Mungu azidi kutuepushia mbali.
Hatari sana
 
Back
Top Bottom