Na huu usemi wa mno mno ni wakutoka lake zone kuna demu ukimpa msosi utasikia nimefurah mno nakupenda mno sijui vp mnoHao jamaa wanapiga kazi mno kuliko yeyote Yule , wanalima mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huu usemi wa mno mno ni wakutoka lake zone kuna demu ukimpa msosi utasikia nimefurah mno nakupenda mno sijui vp mnoHao jamaa wanapiga kazi mno kuliko yeyote Yule , wanalima mno
TUACHE na appetite zetu! 👺😠😡😤Habari za Jumapili wakubwa.
Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.
Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.
Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.
Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.
Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Usiwashangae kula, sema Ma shaa Allah.Habari za Jumapili wakubwa.
Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.
Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.
Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.
Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.
Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Sasa vyakula vingine hawali?..mchana nguna, usiku nguna siyo?.Oyaaa...kwamba hiyo 25 kg kwa watu 5 ni kingi saana!?kwamba wapige 30 days +!?? mkuu utakuwa hauko seriouz
Jamii za wafugaji wengi ndivyo hufanya, ndiyo maana ukienda kwao huwezi kukuta tatizo la njaa hata Siku mojaKubabaake mzee wa tamisemi
Huwezi kuwa na akili na hapohapo ukawa na kitambi. Haiwezekani ukawa mashariki na wewe huyohuyo ukawa magharibi kwa wakati uleuleBora kipi uwe na kitambi alafu uwe na akili au uwe una kula sana alafu mjinga?
SawaKwani kula sana kumewasababishia tatizo gani watu wa kanda ya ziwa kama ni hela wanatafta,sio wavivu,kitabu wanapga,serikalin wapo,wana jichanganya wanao uwezo wa kuishi popote mjini na vijijin sio kama wahadzabe.Na je wanao kula kiduchu wana status ipi kutokana na kula kwao kidogo!?
Hujanielewa,ile nguna ilitakiwa iliwe na watu zaidi ya watatu maana ilikua kubwa kwenye sufuria.We umesema ilikuwa nguna ya watu wa watatu ukashiba ukawaacha wenzako.
Sasa hapo shida iko wapi. Nilkdhani nguna ya watu kumi ililiwa na watu watatu.
kwamba tuameanza juzi kula chakula kingi?Nawahurumia wasije pata magonjwa ya sukari na presha za kupanda .
Naheneeee...😃😃😃Ugali mkubwaaaa, na samaki mbichi mkubwaaa weee hapo hunitoi nakula mpaka mwili mzima unalowa jasho,
Obhise abhasukuma aha malya tutogohaga gete, bhebhe kolya kwa mpanga,
kwamba tuameanza juzi kula chakula kingi?
Ugali utaendelea kupigwa kama kawaida.Hapana.
Endeleeni kutifua .
Endeleeni kula chakula Kingi na ugali mgumu kama jiwe kana kwamba life style ile ya zamani bado iko vile vile.
Kana kwamba bado mnaenda kuchota maji visimani kilomita nyingi wakati wa kwenda na kurejea nyimbani /mtoni mbali kilomita nyingi kwa mwendo wa miguu,
Kana kwamba mnaenda kuokota kuni mbali porini kwa mwendo wa miguu ,
Kana kwamba mnaenda kuchunga mifugo mbali kwa miguu,
Kana kwamba mkienda kusalimia ndugu mna tembea kwa miguu mwendo wa mbali.
N.k
Mnakula jasho lenu wenyewe hakuna wa kuwagomba.
Kuleni tani zenu.
Ushauri unahiyari ya kuupokea au kuupuzia.
Isipokuwa hakuna anaeweza kuepuka consequences ya maamuzi anayofanya.
Nature is ordered always.
Alamsiki.
Kwa kula huko tena ugali akili watazisikia kwa watuHabari za Jumapili wakubwa.
Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.
Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.
Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.
Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.
Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Akili tunazo nyingi tu kama hujui.Kwa kula huko tena ugali akili watazisikia kwa watu