Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 629
- 1,688
Kumbe Evelyn ni msukuma!Usitupangie.....
Ndo maana bac una utani mwingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Evelyn ni msukuma!Usitupangie.....
nadhani hujui hata ulichoandika.Ndio maana vyoo vya wasukuma vinajaa ndani ya wiki moja, Yaani akijisaidia Mtu mzima msukuma mahala utafikiri ni tembo kaliachia
Kupunguza hawawezi ni jadi yao
Hatari sanaMsukuma akipiga ugali wa kula then anapika na kaugali kadogo ka kushushia kama tunda..
usukumani mwanamke ni kama mnyamakazi, kunenepa sio rahisi,Huku wanawache wanavutambi ila usukukumani hakuna mwanamke mwenye kitambi.
Kumbe unadhani? 🤣🤣🤣nadhani hujui hata ulichoandika.
Hao uliokutana nao ni wazembe. Baada ya hapo kulitakiwa kuletwe wali au viazi kama dessert. Itakuwa umekutana na wasukuma wa mjini mkuu😂Habari za Jumapili wakubwa.
Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.
Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.
Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.
Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.
Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Hii pia nilikutana nayo sehemu, yaani sisi kama wageni tukatengewa sahani za vifusi vya wali na nyama za kutosha. Baada ya dk chache ikaletwa nguna na mboga kama zote. Wazee wanasema ile ya kwanza ilikuwa ni kionjo(yaani kuliandaa tumbo) kabla ya kupata chakula.Sio Wasukuma pekee ndiyo Walaji wa chakula kingi. Nafikiri ni mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ni Walaji wazuri wa chakula kingi.
Ulaji wa chakula kingi unategemea na shughuli mtu azifanyazo, kama utakuwa unafanya kazi nyingi za nguvu huna budi kula chakula kingi ili kupata energy ya kutosha kwenye shughuli zako.
Mimi pia nilikuwa Mlaji sana wa chakula nikiwa kule, baada ya kuja DSM nikapunguza kabisa.
Juzi nilipoenda Musoma kusalimia, nikakutana na msosi wa kula watu sita wa DSM lakini tukatakiwa kula watu watatu.
Kwanza walipakua wali Samaki tukala.
Baada ya dakika 15 wakaleta mezani ugali Samaki, eti walisema ule wali ilikuwa ni wa kuonja tu 🙌
Kwa kweli tunaoishi mijini ni kama hatuli kabisa, haiwezekani ule Chipsi sahani Moja eti ushibe, hizo nguvu za kuzalisha watoto 12 kama Wazee wetu zinatoka wapi 🙌
Dah umenikumbusha bhugali bho ndimi, ugali wa moto, nkalango au nyama iliyokaushwa ( ng'homele) na mtindi ( malibhoto).Mtu unakula msosi mnzito maana baadae unakwenda shambani kulima .Au Ndemi kila siku tunampikia ugali asubuhi na mariboto na Nkalango wenye nhwili za kutosha.Bugali Bo Ndemi .Hapo Ndemi anashinda machungani kirahisi kabisa.
😂😂😂😂Wanaona sifa kula chakula kingi, wanasema kwao hakuna njaa wanalima sana. Mtoto mdogo anaanza kulishwa chakula kingi ili tumbo lipanuke awe anapakia chakula kingi hatimaye akiwa mkubwa awe na umbo kubwa. Mshangao ni pale wakienda chooni mtu anashusha kimba la kilo mbili! Kwa ulaji huo choo kitaachaje kujaa haraka?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤒Ndio maana vyoo vya wasukuma vinajaa ndani ya wiki moja, Yaani akijisaidia Mtu mzima msukuma mahala utafikiri ni tembo kaliachia
Kupunguza hawawezi ni jadi yao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daaahhKuna jirani yangu kila mwezi anaingiza kiroba cha unga cha kg 25 ndani na kinaisha, na wapo yeye na mkewe na watoto 3 tu.
Hahaha..............kama umezoea misosi yetu ya town, ukishakula wali hutakuwa na uwezo wa kula tena hiyo nguna 😅🙌Hii pia nilikutana nayo sehemu, yaani sisi kama wageni tukatengewa sahani za vifusi vya wali na nyama za kutosha. Baada ya dk chache ikaletwa nguna na mboga kama zote. Wazee wanasema ile ya kwanza ilikuwa ni kionjo(yaani kuliandaa tumbo) kabla ya kupata chakula.
Naipenda kabila yangu kinoma noma Wasukuma Juu, acha tule kabisa maana hata kulima tunalima sana .Habari za Jumapili wakubwa.
Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.
Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.
Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.
Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.
Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
We haupo uchagani, upo upareni, ole wako uje huku uchagani ule kama vita, tutakumaliza!Chooni huwa unafuatilia.
Binafsi mimi ni Msukuma, kwa miaka 15 liyopita nimehamia Uchagani huku. Na niko huku nakula kama niliyokua nakula nyumbani. Tunatwanga ugali maziwa, na mboga za kutosha.
SIna overweight km wanaokula kidogo.Huku wanawache wanavutambi ila usukukumani hakuna mwanamke mwenye kitambi.
Wasukuma ni balaa kwny msosi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤒
Huu uzi nimecheka sana
Mi mwenyewe nashangaaNyie ndo wanaume wambea wambea, kula wale wengine kusumbuka usumbuke wewe, are you normal?