Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Mkuu tumewahi kukuomba msaada japo wa kg1 ya sembe?

Sisi kipindi hicho kg1 ya wali watu wawili ilikuwa haitutoshi. Lazima upike na ugali unga kg1 ndo mnashiba Sasa. Ndio ya uji lita10 tulikuwa tunakunywa watu3-4 inaisha na siku nyingine inapelea. Wala hatuna shida au kwamba ni sifa ni kawaida kama ninyi mnavyoona kula chips ni kawaida Mimi Huwa nashangaa vilevile kuona mwanaume kabisa kachomekea anatoa maagizo andaa chps hapo usisahau kuweka tomato na kachumbari!!! Ukweli Huwa nashangaa sana basi kushindwa kumwambia yule mtu
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Ungeeleza na aina ya chakula na uzani wake, ili tuweze kushangaa na wewe ama tukuzodoe.
 
Wanaona sifa kula chakula kingi, wanasema kwao hakuna njaa wanalima sana. Mtoto mdogo anaanza kulishwa chakula kingi ili tumbo lipanuke awe anapakia chakula kingi hatimaye akiwa mkubwa awe na umbo kubwa. Mshangao ni pale wakienda chooni mtu anashusha kimba la kilo mbili! Kwa ulaji huo choo kitaachaje kujaa haraka?
🥺
 
Sasa usiombe usafiri na Msukuma halafu mmekaa siti za karibu utapenda..kila kinacholiwa atanunua na kula wanakula hovyo njiani..binafsi kwenye swala la msosi wamebarikiwa...sasa usiombe akuibie mke hapo sahau...Wasukuma nawanyooshea mikono.
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Wenzako ubwabwa unaliwa wakati wa kusubiri sima iive.
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
ndio maana miili inakuwa mikubwa ila akili kisoda.
 
Kwa mtazamo mwingine huu uzi na wachangiaji waliowengi unadhihirisha kundi la watu wachoyo,ambao ukila chakula chao watabaki wanakusema hata kama ni matajiri.Unawezaji kumshangaa mtu kula chakula anacho jinunulia mwenyewe!?Ok basi mtuelezee kipi ni stndard ya kias cha chakula ambacho kila mtu anapaswa kula!?.Kama kula saana wanakosea,tuambiane katika Tanzania hii jamii gani yenye watu wenye miili mikubwa kuliko wasukuma na watu wa mara je wana mitumbo mikubwa kama wala slesi moj ya mkate?.
NDUGU zangu watu wa kanda ya Ziwa kupitia uzi huu mijfunze kutokula kwa watu wasio na utamaduni wenu.Yaani watu hufika hatua ya kukasirika eti mtu anakula saana ila hashangai asubuh kutupa chakula kilicho mshinda.
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Ulaji huendana na aina ya kazi mwili unaofanya
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Bila picha huu Uzi ni batili.
 
Maisha ni zaidi ya kula, wabongo tujaribu kuwa na imaginations pana zaidi ya kuzaa na kushiba tu.
Kwani kula sana kumewasababishia tatizo gani watu wa kanda ya ziwa kama ni hela wanatafta,sio wavivu,kitabu wanapga,serikalin wapo,wana jichanganya wanao uwezo wa kuishi popote mjini na vijijin sio kama wahadzabe.Na je wanao kula kiduchu wana status ipi kutokana na kula kwao kidogo!?
 
Ngoma ilikuja kwenye sufuria lenye uwezo wa kuchukua kama kilo tatu kwa kukadiria,kukawa na mtindi,mboga za majani na nyama.
Afu jamaa wanakula huku wamevua mashati kama wanalima vile.
Hao walishazoea kula namna hiyo.

Na watu wa namna hiyo wakikutembelea, lazima wakuite mchoyo, chochote utakachowaandalia hawatosheki.
 
Back
Top Bottom