Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Kwani kula sana kumewasababishia tatizo gani watu wa kanda ya ziwa kama ni hela wanatafta,sio wavivu,kitabu wanapga,serikalin wapo,wana jichanganya wanao uwezo wa kuishi popote mjini na vijijin sio kama wahadzabe.Na je wanao kula kiduchu wana status ipi kutokana na kula kwao kidogo!?
Ukila sana kupitiliza akili haifanyi kazi vizuri muda mwingi.
 
Siku moja nili enda nyumbani kwa mwanasiasa kijana machachari hapo lake zone.

Ni rafiki yangu wa A_level tumekaa ghetto na tume share leisure time na experience mbali mbali

Mimi na rafiki yangu E tulikua wageni kwao na huyo mwana siasa uliletwa UGALI MKUBWA na SATO MKUBWA na MAZIWA na mboga za majani kachumbari na NYAMA choma MIMI na E tuliangaliana. Tukashangaa

Tulikua watu wa 5 jumla Ila uliletwa ugali mkubwa sana na unwounderful enough ugali wote na mboga zotee ziliisha wasukuma.

Wasukuma Bagosha yaan I salute you.
 
Siku moja nili enda nyumbani kwa mwanasiasa kijana machachari hapo lake zone.

Ni rafiki yangu wa A_level tumekaa ghetto na tume share leisure time na experience mbali mbali

Mimi na rafiki yangu E tulikua wageni kwao na huyo mwana siasa uliletwa UGALI MKUBWA na SATO MKUBWA na m MAZIWA na mboga za majani kachumbari na NYAMA choma MIMI na E tuliangaliana. Tukashangaa

Tulikua watu wa 5 jumla Ila uliletwa ugali mkubwa sana na unwounderful enough ugali wote na mboga zotee ziliisha wasukuma.

Wasukuma Bagosha yaan I salute you.
Mtu mmoja anakula Sato, Nyama choma na maziwa katika mlo mmoja?!
 
yaani nilivyo kinai kula sasahivi weeachatu hizi hela zinanichanganya.

waachetu wenye hamu ya kula wale bhana kua na hamu ya kula raha sana mi nimekinai kabisa
 
Mtu mmoja anakula Sato, Nyama choma na maziwa katika mlo mmoja?!
Utashangaa? Wanakula balaa Mimi na E tulishangaa ule ugali Uli Isha vp?

Watakuja watu kukuambia wanakula balaa.

Msukuma hawezi kula vitu Kama ndizi za kupika akirud kwao let's say siku 3 utaambiwa hawajala siku 3
 
Wanaona sifa kula chakula kingi, wanasema kwao hakuna njaa wanalima sana. Mtoto mdogo anaanza kulishwa chakula kingi ili tumbo lipanuke awe anapakia chakula kingi hatimaye akiwa mkubwa awe na umbo kubwa. Mshangao ni pale wakienda chooni mtu anashusha kimba la kilo mbili! Kwa ulaji huo choo kitaachaje kujaa haraka?
Ndio maana usukumani hakuna vyoo, ni hasara.
 
Ulaji wao unawasaidia kua nz miili mikubwa,kufanya kazi na hata inasemekana wanagonga sana wadada.
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Hii nchi nyie ndo mnategemewa kama vijana afu mtu anakuja anapost huu upuuzi for real
ludi kasikilize tena speech za Nyerere
Kuna kitu utajifunza
 
Unakuta mtu anakula kilo moja ya mchele, chai jagi, chapati nane peke yake, je akila pasi ndefu atakula kiasi gani? Wajifunze kushiba chakula kidogo
tukila chakula kingi kuna shida gani?
 
Hawa watu wanakula kutokana na kazi wanazofanya, mfano tu huwezi kuwakuta na vitambi na nyama zembe licha ya kushindilia ndoo za ugali
 
Uzuri ni kuwa humu jf. Kuanzia tarehe 24/11/2015 bila kufungua uzi wa kuponda wasukuma basi mada haitembei kabisa. Uzuri wetu hatuna hata muda wa kujibishana na wao. Anayetuponda na anayetutetea ni wao kwa wao si tuko pembeni
 
Back
Top Bottom