Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

Wasukuma punguzeni huu ulaji wa chakula kingi namna hii

KaZi wafanyazo zinahalalisha ulaji wao.

Ni kama tu wacheza mieleka wa nje!!

Vipi kuhusu ulaji wa Dider Drogba alipokuja Tz, kwani naye ni msukuma🤔
 
Kabisaaa aisee 😁
Halafu wenyewe wameshazoea kula hivyo

Ndiyo maana hata uki-date na Wanawake wa kule lazima uwe umejipanga, wanakuwa na nguvu sana.

Nina experience na binti mmoja wa Kijaluo, isingekuwa uzoefu alitaka kunitia aibu 😜
 
Habari za Jumapili wakubwa.

Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.

Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.

Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.

Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.

Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
We umesema ilikuwa nguna ya watu wa watatu ukashiba ukawaacha wenzako.

Sasa hapo shida iko wapi. Nilkdhani nguna ya watu kumi ililiwa na watu watatu.
 
Chooni huwa unafuatilia.
Binafsi mimi ni Msukuma, kwa miaka 15 liyopita nimehamia Uchagani huku. Na niko huku nakula kama niliyokua nakula nyumbani. Tunatwanga ugali maziwa, na mboga za kutosha.

SIna overweight km wanaokula kidogo.Huku wanawache wanavutambi ila usukukumani hakuna mwanamke mwenye kitambi.
Bora kipi uwe na kitambi alafu uwe na akili au uwe una kula sana alafu mjinga?
 
Nawahurumia wasije pata magonjwa ya sukari na presha za kupanda .
 
Dah umenikumbusha bhugali bho ndimi, ugali wa moto, nkalango au nyama iliyokaushwa ( ng'homele) na mtindi ( malibhoto).

Tatizo la Nguvu za kiume utalisikia Daslama tu 😂😂😂😂😂
Yaani acha tu.
 
Ugali mkubwaaaa, na samaki mbichi mkubwaaa weee hapo hunitoi nakula mpaka mwili mzima unalowa jasho,
Obhise abhasukuma aha malya tutogohaga gete, bhebhe kolya kwa mpanga,
Kabisa.Abhachile badalyaga.Michembe na chai ya maziwa asubuhi yenye Michai chai. Gulya kwa mpanga.
 
Huwa nawashauri hivi;
Waache kula chakula Kingi kwa mazoea ya zamani sababu mfumo wa maisha umebadilika.
Zamani walikuwa wanakula ugali mwingi lakini ulikuwa unaishia kichomwa wakati wa kulima eneo kubwa, kutembea kwa miguu kilomita nyingi wakati wa kwenda na kurudi toka shambani na machungani ,
Magari hayakuwepo, Bodaboda hazikuwepo.
Siku hizi kuna magari, kuna Bodaboda ,
Kulima wanalima kwa vibarua, trekta au ng’ombe n.k

kuendelea kula ugali mwingi na mgumu kwa kukariri wakati kufanya kazi ngumu kama za zamani hakupo tena, hutembei kwa miguu mwendo wa mbali ni kujitafutia magonjwa hatari.
Ni hatari.
Baada ya muda wasipobadili namna yao yakufikiri na kucha kula sana wata experience kuugua magonjwa yasiyoambukiza kwa wingi kama vile presha ya kupanda na kisukari n.k
God forbidden
 
Nilialikwa na Msukuma mmoja alikuwa anaozesha binti. Mi nikafika pale natua tuu nililetewa beseni sio bakuri la nyama. Nikalipiga lote nikashiba balaa. Kumbe bwana ile ilikuwa ni kichangamsha mdomo "karibu mgeni" msosi ulikuwa bado.

Walipoleta msosi sasa wa kula wote 😁. Wali linaletwa sufuria hawapakui, mnakula linaisha wanaleta lingine na nyama zinakuja sufuria hivyo hivyo.
Mi nilikula tuu zile nyama wakawa wananicheka. 😁
Walsukuma wanapiga misosi jameni tuache masikhara. 😁
 
Dah umenikumbusha bhugali bho ndimi, ugali wa moto, nkalango au nyama iliyokaushwa ( ng'homele) na mtindi ( malibhoto).

Tatizo la Nguvu za kiume utalisikia Daslama tu 😂😂😂😂😂
Dar es Salaam wala hakuna tatizo la nguvu za kiume zaidi ya kijijini kwenu, ni wahuni tu wanaotaka kufanya biashara za dawa za kienyeji. Ugali mkubwa kama kichuguu, nyama kavu na maziwa hauwezi kuzuia kupata tatizo la nguvu za kiume
 
Wanaona sifa kula chakula kingi, wanasema kwao hakuna njaa wanalima sana. Mtoto mdogo anaanza kulishwa chakula kingi ili tumbo lipanuke awe anapakia chakula kingi hatimaye akiwa mkubwa awe na umbo kubwa. Mshangao ni pale wakienda chooni mtu anashusha kimba la kilo mbili! Kwa ulaji huo choo kitaachaje kujaa haraka?
Hahaha
 
Binafsi isingekuwa haya maisha ya Kisasa na kufata mambo ya Dini ya Mke mmoja, ningeshakuwa na Watoto 20 saivi

Ukienda Vijijini unauziwa ekari 50 Kwa shilingi milioni 2.5 tu, wastani wa ekari Moja shilingi 50,000

Hapo ukijenga yale maboma kila Mke na boma lake, Kila boma umefunga Umeme wa Solar kwaajili ya mwanga

Wakati huo umenunua majembe ya kuvutwa na ng'ombe, ni mwendo wa kulima tu

Chakula hakikauki ndani, magunia na magunia

Siku hizi Elimu ni bure, watasoma kuanzia Shule ya msingi hadi wanafika Chuo Kikuu ambapo wanakutana na boom la Serikali
Kubabaake mzee wa tamisemi
 
Back
Top Bottom