Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inategemea kipato chakoKula hakufilisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea kipato chakoKula hakufilisi
Babu hayo maisha ya bora liende tu, unafikiri utawapa quality life watoto wako. By the way na wewe ungepass value za moderate life tu kwa watoto wako nothing more. Binafsi baba zangu naona wangeachieve zaidi kama wangekuwa wachache. We ukiamka unawaza tu nikakaze wapi kiuno kwa mke gani, si chakula kipo. Maisha gani hayo!Binafsi isingekuwa haya maisha ya Kisasa na kufata mambo ya Dini ya Mke mmoja, ningeshakuwa na Watoto 20 saivi
Ukienda Vijijini unauziwa ekari 50 Kwa shilingi milioni 2.5 tu, wastani wa ekari Moja shilingi 50,000
Hapo ukijenga yale maboma kila Mke na boma lake, Kila boma umefunga Umeme wa Solar kwaajili ya mwanga
Wakati huo umenunua majembe ya kuvutwa na ng'ombe, ni mwendo wa kulima tu
Chakula hakikauki ndani, magunia na magunia
Siku hizi Elimu ni bure, watasoma kuanzia Shule ya msingi hadi wanafika Chuo Kikuu ambapo wanakutana na boom la Serikali
Eti maisha ya kuamka na kuwaza kwenda kukaza kiuno tu 😅🙌Babu hayo maisha ya bora liende tu, unafikiri utawapa quality life watoto wako. By the way na wewe ungepass value za moderate life tu kwa watoto wako nothing more. Binafsi baba zangu naona wangeachieve zaidi kama wangekuwa wachache. We ukiamka unawaza tu nikakaze wapi kiuno kwa mke gani, si chakula kipo. Maisha gani hayo!
Daa, Kumbe ndivyo yatupasa tule🤔Badala yake wale mboga za majani, samaki na kuku kwa wingi zaidi
Bro nshasema tusipangiwe......😹
Wanakula hadi share yako?Habari za jumapili wakubwa.
Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu flani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.
Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.
Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa dar wangeweza kula mwezi mzima.
Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.
Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa hovyo namna hii.
Kama sio bikra usioeHabari za jumapili wakubwa.
Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu flani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.
Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.
Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa dar wangeweza kula mwezi mzima.
Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.
Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa hovyo namna hii.
😂😂Wanaona sifa kula chakula kingi, wanasema kwao hakuna njaa wanalima sana. Mtoto mdogo anaanza kulishwa chakula kingi ili tumbo lipanuke awe anapakia chakula kingi hatimaye akiwa mkubwa awe na umbo kubwa. Mshangao ni pale wakienda chooni mtu anashusha kimba la kilo mbili! Kwa ulaji huo choo kitaachaje kujaa haraka?
Mkuu wachaga walikukosea nini?Ukila lazima ufanye kazi za nguvu sio kunywa pombe kama wa chagga lazima upate kitambi, msukuma chakula chake anakifanyia kazi kinasagika haraka.
AMINAHahahaaa wazee kuna kula kushiba na kula kulambalamba, ngoshaz wanakula kushiba!
Ila sema yotee wasukuma ni wakarimu mnoo, nishawahi kwenda simiyu harakat za kutafuta shamba kufika kwa mwenyeji wangu nikachinjiwa kuku wangu peke yangu i felt humbled wana roho nyeupe sana wengi wao
Afu we kyagata (tokokotola)🤔🤣tulekagi basukuma Ole nchokoziHabari za Jumapili wakubwa.
Juzi kati nikamtembelea jamaa yangu fulani hivi ni msukuma anaishi nje kidogo ya mji.
Ebana sijawahi kuona watu wanakula kama hawa watu.
Imeletwa nguna ya watu watatu tu mezani lkn hiyo nguna kwa wanaume wazembe kama wa Dar wangeweza kula mwezi mzima.
Tumepiga nguna weeeee me nikasarenda nikawaacha wenyeji wakaisukuma mpaka ikaisha nikabaki mdomo wazi tu.
Ndugu zangu punguzeni huu ulaji wa ovyo namna hii.
Hahaha....watu mna vituko.Kuna hao wengine niliwakuta maganzo, wanashindana kula chips yai. Nani kala nyingi nne mwingine 5 halafu ndo wanaenda kula ugali.