fareed uziel
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 657
- 710
Bro wtf? Una akili kweli wewe? Tanzania ndio kwanza developing country unataka turuke steji tuwe na bullet train wakati kua na treninya uhakika tu kwenda morogoro ni dalili nzuri ya progress. Hivi Kuna treni Gani ya kila siku kwenda morogoro? Usikute hata nje hujafika ila umeona bullet train ndio kimbelembele cha kuponda.Sawa hatujakataa huduma nzuri ila wasiifananishe na Bullet trains zile tunazojua sababu zile zinaweza ifanya hiyo kazi kwa dakika 70+ baaasi.
Naandika hivi wakati nipo kwenye treni peasant.Sawa hatujakataa huduma nzuri ila wasiifananishe na Bullet trains zile tunazojua sababu zile zinaweza ifanya hiyo kazi kwa dakika 70+ baaasi.
Kama aliyonayo Mama yako.Itakua ana kaswende.
Umepata wapi muda wa Kumuelimisha huyo Mpumbavu kwa haya Majibu yako ya Kimantiki na Akili Kubwa Mkuu?Majaribio maana yake yaakisi uhalisia, yakishindwa kuakisi uhalisia maana yake tunapaswa kukosoa ili marekebisho yafanyike kufikia uhalisia.
Maumbo ya vichwa hvyo CETNRE OF GRAVITY iko juu mno na hivyo kwa upande wangu mimi kama mtu nilyesoma PHYSICS tu, si-RECOMMEND vichwa hivyo kutembea kilometre zaidi ya 100 kwa saa.Walikwisha jaribu mara ya kwanza bila abiria hii ni mara ya pili.
Ili chombo kiende kasi ni lazima kiwe na umbile (mchongoko) litakalokiwezesha kupenya kwenye upepo bila msuguano mkubwa, kichwa cha treni ya jana kinapingana na upepo na kusababisha msukumo mkubwa unaopelekea nguvu kubwa kutumika na kusababisha umeme mwingi kutumika.
Nashukuru Mungu katika Dhambi na Saratani hii ya Upumbavu GENTAMYCINE sipo na kamwe sitokuwepo daima.Toka lini majaribio yaliyofeli yakawa mafanikio?
Watanzanio tumegeuzwa kuwa Chawa wachafu, kazi yetu imekuwa kusifu na kupongeza ujinga wa watawala.
sio vifo tu, icho kichwa kimoja kimenunuliwa sijui bilioni ngapi uko, kikidondoka ni bonge la hasara.Maumbo ya vichwa hvyo CETNRE OF GRAVITY iko juu mno na hivyo kwa upande wangu mimi kama mtu nilyesoma PHYSICS tu, si-RECOMMEND vichwa hivyo kutembea kilometre zaidi ya 100 kwa saa. Vinginevyo tutakuja kusababisha ya uhai wa abiria huko mbele ya safari
The higher the centre of gravity of a body, the less less stable it becomes
Mimi sio mtetezi wa ccm kabisa ila tu kwa hili ni kwamba kwasababu ndio safari ya kwanza ya majaribio huwezi kufungulia spidi yote. Wamefanya kwa spidi ndogo tu pengine up to 80km/h sio unajua spidi ya juu kabisa ya treni hii itakuwa 160km/h hivyo nafikiri baadaye itawezekana kufika Moro ndani ya saa 1.Kwa umbali huo muda ulitakiwa uwe ni dakika 60 au 75 tu kama ambavyo inafanyika katika Mataifa mengine makubwa ya watu wenye akili na yaliyoendelea.
Yaani Dar hadi Moro zimetumika Saa 2 na dakika 20 halafu mazuzu tokea jana na leo inashangilia tu wakati kwa wenye hizo Treni za SGR katika Mataifa mengine wanaotumia Saa 3 tu kwa umbali wa mfano wa kutoka Dar es Salaam hadi Singida wanatucheka na kutudharau mno.
GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.
Haya Team Kusifu Upuuzi na Wanafiki karibuni sana katika Kunipinga ili mlipwe Buku Saba Saba zenu, mlambe Uteuzi na Maisha yaendelee ila wenye Akili Kubwa na tusiopenda Upuuzi na Unafiki ndiyo tumeshafunguka.
Yamefeli wapi mleta mada ability hanau hiya treni so direct flight to Morogoro sio ya watu wakipanda Dar kitty cha kushuka ni morogoro inasimama njiani kushusha na kupakiaSasa tunashangilia nini kama majaribio yamefeli kufikia lengo?
Hayo majaribio yalikuwa yanalenga angle zipi za utendaje mkuu?Mzee ndio mana uliambiwa ni majaribio sasa mbona una crush mapema hivyo
Ndio tunajua nchi yetu bado lakini ukumbuke this is one of the major/biggest project ... just Incase hiyo speed + muda uliotumika utaendela hivyo apo ndio tutasema neno.
Lengo la kuanzisha mradi wa treni ya umeme ni lipi mkuu?Yamefeli wapi mleta mada ability hanau hiya treni so direct flight to Morogoro sio ya watu wakipanda Dar kitty cha kushuka ni morogoro inasimama njiani kushusha na kupakia
Chukulia kuna vituo vinne njiani kabla kushusha na kupakia kila kituo inanimate dakika 10 tano kushusha tano kupakia kwa kusimama hivyo vituo itatumia dakika 40 hivyo kama imetumia masaa mawili maana yake Treni imetumia dakika 80 kutembea toka Dar hadi Morogoro
kwa majaribio hata wangetumia masaa 10 ni sawa πKwa umbali huo muda ulitakiwa uwe ni dakika 60 au 75 tu kama ambavyo inafanyika katika Mataifa mengine makubwa ya watu wenye akili na yaliyoendelea.
Yaani Dar hadi Moro zimetumika Saa 2 na dakika 20 halafu mazuzu tokea jana na leo inashangilia tu wakati kwa wenye hizo Treni za SGR katika Mataifa mengine wanaotumia Saa 3 tu kwa umbali wa mfano wa kutoka Dar es Salaam hadi Singida wanatucheka na kutudharau mno.
GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.
Haya Team Kusifu Upuuzi na Wanafiki karibuni sana katika Kunipinga ili mlipwe Buku Saba Saba zenu, mlambe Uteuzi na Maisha yaendelee ila wenye Akili Kubwa na tusiopenda Upuuzi na Unafiki ndiyo tumeshafunguka.
Kumbe unazungumzia Malori ππππAcha uwongo mkuu..Hata bila tochi njia imejaa malori huwezi kwenda masaa mawili, hayo ni mambo ya zamani sana.
Kwenda kasi kutoka kituo kimoja had kingine tofauti na treni ya kawaida isiyo ya umemeLengo la kuanzisha mradi wa treni ya umeme ni lipi mkuu?
Wapumbavu hampungui tu Tanzania.kama kweli tumesafiri kwa masaa 2:20, hayo ni maendeleo makubwa sana kwa nchi kama Tanzania. tunatakiwa kumshukuru Mungu. pamoja na kwamba nchi kadhaa ulaya speed yao ipo hadi 300kmh, lakini kuna route nyingi tu nchi za ulaya train zao speed ipo 155kmh, 185kmh hadi 300. kwahiyo kama hawatakuwa waswahili kuchelewa na kutofuata muda, unaweza kuishi morogoro ukafanya kazi dsm, kwasababu hata sasa kuna watu wanatoka nyumbani hapa dsm hadi kufika posta wametumia masaa mawili hadi matatu kwasababu ya foleni.
Kiswahili kwako kigumu. Labda pia sio mtumiaji sana wa barabara. Barabara ya Dar Moro imejaa malori mwanzo mwisho ndio yanasababisha kutumia gari binafsi au bus ikuchukue masaa zaidi ya manne. Anaekwambia sasa hivi anaenda Moro 2hrs ni muongo.Kumbe unazungumzia Malori ππππ
Duh.....yatosha πππ
Mbeleni huo mradi utakufilia mbaliMzee ndio mana uliambiwa ni majaribio sasa mbona una crush mapema hivyo
Ndio tunajua nchi yetu bado lakini ukumbuke this is one of the major/biggest project ... just Incase hiyo speed + muda uliotumika utaendela hivyo apo ndio tutasema neno.