Waswahili bwana yaani Treni ya SGR Dar hadi Moro ni masaa 2 na dakika 20 mnafurahi na kushangilia!

Waswahili bwana yaani Treni ya SGR Dar hadi Moro ni masaa 2 na dakika 20 mnafurahi na kushangilia!

Sawa hatujakataa huduma nzuri ila wasiifananishe na Bullet trains zile tunazojua sababu zile zinaweza ifanya hiyo kazi kwa dakika 70+ baaasi.
Bro wtf? Una akili kweli wewe? Tanzania ndio kwanza developing country unataka turuke steji tuwe na bullet train wakati kua na treninya uhakika tu kwenda morogoro ni dalili nzuri ya progress. Hivi Kuna treni Gani ya kila siku kwenda morogoro? Usikute hata nje hujafika ila umeona bullet train ndio kimbelembele cha kuponda.
 
Walikwisha jaribu mara ya kwanza bila abiria hii ni mara ya pili.
Ili chombo kiende kasi ni lazima kiwe na umbile (mchongoko) litakalokiwezesha kupenya kwenye upepo bila msuguano mkubwa, kichwa cha treni ya jana kinapingana na upepo na kusababisha msukumo mkubwa unaopelekea nguvu kubwa kutumika na kusababisha umeme mwingi kutumika.
Maumbo ya vichwa hvyo CETNRE OF GRAVITY iko juu mno na hivyo kwa upande wangu mimi kama mtu nilyesoma PHYSICS tu, si-RECOMMEND vichwa hivyo kutembea kilometre zaidi ya 100 kwa saa.
The higher the centre of gravity of a body, the less less stable it becomes
 
Maumbo ya vichwa hvyo CETNRE OF GRAVITY iko juu mno na hivyo kwa upande wangu mimi kama mtu nilyesoma PHYSICS tu, si-RECOMMEND vichwa hivyo kutembea kilometre zaidi ya 100 kwa saa. Vinginevyo tutakuja kusababisha ya uhai wa abiria huko mbele ya safari
The higher the centre of gravity of a body, the less less stable it becomes
sio vifo tu, icho kichwa kimoja kimenunuliwa sijui bilioni ngapi uko, kikidondoka ni bonge la hasara.
 
Kwa umbali huo muda ulitakiwa uwe ni dakika 60 au 75 tu kama ambavyo inafanyika katika Mataifa mengine makubwa ya watu wenye akili na yaliyoendelea.

Yaani Dar hadi Moro zimetumika Saa 2 na dakika 20 halafu mazuzu tokea jana na leo inashangilia tu wakati kwa wenye hizo Treni za SGR katika Mataifa mengine wanaotumia Saa 3 tu kwa umbali wa mfano wa kutoka Dar es Salaam hadi Singida wanatucheka na kutudharau mno.

GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.

Haya Team Kusifu Upuuzi na Wanafiki karibuni sana katika Kunipinga ili mlipwe Buku Saba Saba zenu, mlambe Uteuzi na Maisha yaendelee ila wenye Akili Kubwa na tusiopenda Upuuzi na Unafiki ndiyo tumeshafunguka.
Mimi sio mtetezi wa ccm kabisa ila tu kwa hili ni kwamba kwasababu ndio safari ya kwanza ya majaribio huwezi kufungulia spidi yote. Wamefanya kwa spidi ndogo tu pengine up to 80km/h sio unajua spidi ya juu kabisa ya treni hii itakuwa 160km/h hivyo nafikiri baadaye itawezekana kufika Moro ndani ya saa 1.
 
Sasa tunashangilia nini kama majaribio yamefeli kufikia lengo?
Yamefeli wapi mleta mada ability hanau hiya treni so direct flight to Morogoro sio ya watu wakipanda Dar kitty cha kushuka ni morogoro inasimama njiani kushusha na kupakia

Chukulia kuna vituo vinne njiani kabla kushusha na kupakia kila kituo inanimate dakika 10 tano kushusha tano kupakia kwa kusimama hivyo vituo itatumia dakika 40 hivyo kama imetumia masaa mawili maana yake Treni imetumia dakika 80 kutembea toka Dar hadi Morogoro
 
Mzee ndio mana uliambiwa ni majaribio sasa mbona una crush mapema hivyo

Ndio tunajua nchi yetu bado lakini ukumbuke this is one of the major/biggest project ... just Incase hiyo speed + muda uliotumika utaendela hivyo apo ndio tutasema neno.
Hayo majaribio yalikuwa yanalenga angle zipi za utendaje mkuu?
 
Yamefeli wapi mleta mada ability hanau hiya treni so direct flight to Morogoro sio ya watu wakipanda Dar kitty cha kushuka ni morogoro inasimama njiani kushusha na kupakia

Chukulia kuna vituo vinne njiani kabla kushusha na kupakia kila kituo inanimate dakika 10 tano kushusha tano kupakia kwa kusimama hivyo vituo itatumia dakika 40 hivyo kama imetumia masaa mawili maana yake Treni imetumia dakika 80 kutembea toka Dar hadi Morogoro
Lengo la kuanzisha mradi wa treni ya umeme ni lipi mkuu?
 
Kwa umbali huo muda ulitakiwa uwe ni dakika 60 au 75 tu kama ambavyo inafanyika katika Mataifa mengine makubwa ya watu wenye akili na yaliyoendelea.

Yaani Dar hadi Moro zimetumika Saa 2 na dakika 20 halafu mazuzu tokea jana na leo inashangilia tu wakati kwa wenye hizo Treni za SGR katika Mataifa mengine wanaotumia Saa 3 tu kwa umbali wa mfano wa kutoka Dar es Salaam hadi Singida wanatucheka na kutudharau mno.

GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.

Haya Team Kusifu Upuuzi na Wanafiki karibuni sana katika Kunipinga ili mlipwe Buku Saba Saba zenu, mlambe Uteuzi na Maisha yaendelee ila wenye Akili Kubwa na tusiopenda Upuuzi na Unafiki ndiyo tumeshafunguka.
kwa majaribio hata wangetumia masaa 10 ni sawa 🐒

ila kwa uendeshaji itakapothibitika kwamba sasa reli na treni lenyewe lipo sawa na ni salama kwa matumizi,

kulingana na design ya reli yenyewe dar -Moro yafaa kuwa chini ya dk 90, zaidi ya hapo ni hatari, hasara na uharibifu 🐒
 
kama kweli tumesafiri kwa masaa 2:20, hayo ni maendeleo makubwa sana kwa nchi kama Tanzania. tunatakiwa kumshukuru Mungu. pamoja na kwamba nchi kadhaa ulaya speed yao ipo hadi 300kmh, lakini kuna route nyingi tu nchi za ulaya train zao speed ipo 155kmh, 185kmh hadi 300. kwahiyo kama hawatakuwa waswahili kuchelewa na kutofuata muda, unaweza kuishi morogoro ukafanya kazi dsm, kwasababu hata sasa kuna watu wanatoka nyumbani hapa dsm hadi kufika posta wametumia masaa mawili hadi matatu kwasababu ya foleni.
Wapumbavu hampungui tu Tanzania.
 
Kumbe unazungumzia Malori 😂😂😂😂

Duh.....yatosha 😀😀😀
Kiswahili kwako kigumu. Labda pia sio mtumiaji sana wa barabara. Barabara ya Dar Moro imejaa malori mwanzo mwisho ndio yanasababisha kutumia gari binafsi au bus ikuchukue masaa zaidi ya manne. Anaekwambia sasa hivi anaenda Moro 2hrs ni muongo.
 
Mzee ndio mana uliambiwa ni majaribio sasa mbona una crush mapema hivyo

Ndio tunajua nchi yetu bado lakini ukumbuke this is one of the major/biggest project ... just Incase hiyo speed + muda uliotumika utaendela hivyo apo ndio tutasema neno.
Mbeleni huo mradi utakufilia mbali
Tangu lini serikali inaweza kuendesha
Miradi yake kibiashara
Tunawasubirieni paleeee

Ova
 
Back
Top Bottom