Watakiona chamoto watakaobainika Kuchezea fedha za Umma katika uongozi wa Rais Samia

Watakiona chamoto watakaobainika Kuchezea fedha za Umma katika uongozi wa Rais Samia

Alivyotengeneza viota katikati ya shamba la mahindi hakujua mahindi ni chakula cha ndege na ndege wanapenda mahindi?
 
Rais wetu mpendwa alimaanisha kuwa kila kiongozi atosheke na kipato chake anachostahili kupata kwa mujibu wa sheria na katiba,siyo kuingia Tamaa ya kujipatia mali kinyume na utaratibu wa kisheria
Mpendwa, ambae uwezo wake wa kuchambua, kudadafua na kuchanganua mambo ni kwa kila jambo "hili nalo wajameni mkalitizameni"
 
Yeye mwenyewe anazichezea🐒🐒🐒
 
Kichwa cha habari tu kimenifanya nisisome lakini nichangie.... HAKUNA KITU KAMA HICHO TANZANIA.

Ndugu yangu unaongea na kuamini sana theory kuhusiana na mambo ya serikali ya Tanzania na CCM.
 
Back
Top Bottom