Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uko sahihi,kuna takwimu zimetoka wiki iliyopita mashonga ni wengi sana huko Unguja,nadhani mambo ni hayahaya,sasa unadhani likija Libabu lina hela zake wanafanyaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] faida mara 2,utelezi na pesa juu.
 
hahahah kweli aiseee Kuna muda nilikua na experience life la uropa maana muda mwingi nilikua nipo Karibu na whites siku nzima nafanya service bungalow baasi hapo ni mwendo wa koktal,spirit and wine kama nipo Miami beach hahahahhaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hali ya vijana wengi inasikitisha, vijana wa kiume wafikia hatua ya kuwa wanajiuza
 
Ndio maana tafiti zinaonyesha watalii wengi wanaotembelea Tanzania huwa hawarudi tena . Sababu wanakutana na watu wapumbavu Sana Kama huyu mtoa mada..
Na ndio wanatukimbizia watalii hawa kenge
 
Bongo kila Jambo Ni jambo me nikafikiri kwenye secta hizo maybe watu wanalipwa vizuri kumbe hadi ujiongeze tena[emoji23]
hao beach boys na papasi sis wenye vi company vyetu mbona mambo sawa tu ukiondoa kadhia ya corona ? na tukitaka kutafuna tunatafuta wqri haswa sio vibibi tena kwq mutual respect just have agood time sio hao akina mtaji kiuno uzee pesa type of relationship!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…