Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

hahahaaha Kuna mzungu alifika zake visiwa vya karafuu kutalii Sasa kumbe yule bwana ana tabia za kimende,akawa anatafuta mtoto Mchele Mchele a.k.a Mchele wa Pemba, mrenda mrenda,Wali Nazi Ili amtindue Tako,
Baada ya kuona Hana njia ya kupata akakutana na Masai Mmoja na kumpa deal la kumtafuta Huyo Kijana Kwa gharama yoyote na dau lilikua kubwa tu kimtindo
Eee bwana eee Masai si akaingia tamaa akaona AAA wee hii Dili atafaidije mwingine wakati na Mimi naweza Kazi kwani sh ngapi
Akarudi kumwambia yule bazazi Ile Kazi anaiweza aiseee yule bazazi si akamtundua Marinda Tena hadharani
Baada ya kitendo kile Masai alidhalilika Sana akaamua aji rest in peace Kuepusha fedheha maana ilikua Soo!
Ndio Hivyo yaani!
Doooh..mmasai kumbe alijiua..sasa hela aliitumia kweli?.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa hiyo hutaki Wataliano Tena?
Hao wataliano mie nawajua wapi? Au mmewahi kuwaona wapi? Na nna issues na gani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nyie ndo mnapambana nao huko kwenye mambo ya utalii wenu. Uwiiiiih.
 
Budget tu ndio kilichopo hapo na sio kingine.

Wadada wa kibongo wakiona mzungu pia wanaamini wanaweza kupata dollar kadhaa.
 
Kinyaa kutembea na vibibi kinyaa mna moyo
kwahiyo tunaposema vibibi na wewe unaamini ni vibibi vikongwe?
Pole Sana vibibi ni fasihi TU bwasheee ila wale wanakua ni wanawake wanaocheza Kwenye 30's, 40's Kwa sababu wazungu wanawahi kukua Hivyo huonekana kama age imekata kidogo ila Sio kama unavyofikiria et vikongwe hapana hata ikiwa pisi ya 25's kugeneralize tunaita vibibi!
Cool down dude!
 
kwahiyo tunaposema vibibi na wewe unaamini ni vibibi vikongwe?
Pole Sana vibibi ni fasihi TU bwasheee ila wale wanakua ni wanawake wanaocheza Kwenye 30's, 40's Kwa sababu wazungu wanawahi kukua Hivyo huonekana kama age imekata kidogo ila Sio kama unavyofikiria et vikongwe hapana hata ikiwa pisi ya 25's kugeneralize tunaita vibibi!
Cool down dude!
Kuna jamaa yangu alikuwa achagui shimo,tangu shuleni, ukubwani kaajirwa akilipwa milioni 5 lakini mwezi hazifiki zinaishia kwenye zipu.
 
Na ndio wanatukimbizia watalii hawa kenge
una uhakika ukisemacho au unaendeshwa na hisia tu,kwanza nikupe hints kidogo,
Utalii una maana Pana Sana Kila mtu huja kutalii Kwa lengo lake
Wengineo kuenjoy tu na company zao,wengine ni sex tourism,nk nk
So usidhanie wanaishia kutalii tu pale hua ni lango la mwingiliano baina ya watu na watu Kuna wengine hupata wachumba Mbali Mbali either watalii wenzao au wenyeji,wengine kubanjuka tu utakuta kidada kina stress kiameachwa huko UK Kwa hasira atafuta faraja huku Afrika na atapata wafariji kama sisi,
Wengine wameachana na wasichana wao wakija huku wanakutana na kina Aisha wanapewa pumziko,
Yaani full taflani mambo hua ni zig zag Sana Hivyo wewe ukija na Hiyo conclusion Yako hapo Juu Mimi nakua sikuelewi Kabisa ila najua sometimes katika Kila sector changamoto hazikosekani
Ukitaka kuujua utamu wa N'goma ingia ucheze usikute unaponda hapa wakati mwenyewe hapo mpenda kitonga tu wewe ikitokea chance toto ya Latino imekuganda utaacha?
Unafiq tu wabongo wakati wote tunajuana kwamba ni watu wa michongo!
😁😁😁😁
 
Kuna jamaa yangu alikuwa achagui shimo,tangu shuleni, ukubwani kaajirwa akilipwa milioni 5 lakini mwezi hazifiki zinaishia kwenye zipu.
duuu hatari sana unajua wanaume wengi wanaopiga Kazi kwenye Hiyo sector hua wanakua na Hela za mboga sio haba tatizo linakuja Kule Kuna starehe nyingi sana sababu unakutana na makundi ya raia wa mataifa mbali mbali utakuta mtu anaenda zake cassino full company hapo lazima azungushe bills za champagne bottle and bitches hapo lazima awe mtupu tu!
 
Kwamba na wewe ni kaka poa Nungwi?
Bila aibu unataka tuje kufanya umachinga, wa kudanga?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Muwe mnasoma maada na kuelewa acheni kukurupuka Huyo anafanya Kazi kwenye Hotel industry anachomaanisha hapo ni kwamba katika Kazi kupata tips ni kawaida tu kwenye tourism
industry Sasa hapa anaeleza jinsi Gani vibibi Toka south Afrika ni vigumu kutoa tips Hata utoe service Nzuri Sana na kucare tofauti mataifa mengine ambao maada ya Kazi labda umewatoa hotelin na kiwapeleka kuona mashamba ya karafuu au stone town utawazungusha weeee ila mwisho Hata kipoozeo hawakupi Kwa ubahili wao sababu wanakua washalipia kwenye kampuni baaasi tegemea maumivu maana hua tunategemea tips kama sehemu ya kupata angalau Pesa ya mboga ukiachana na mshahara Sasa wewe kama una mawazo hayo pole Sana mengine yalikua kuchangamsha maada tu,
Ila Hilo ndio lengo la mtoa maada na sisi watu wa industry tulimuelewa vizuri tu!
 
una uhakika ukisemacho au unaendeshwa na hisia tu,kwanza nikupe hints kidogo,
Utalii una maana Pana Sana Kila mtu huja kutalii Kwa lengo lake
Wengineo kuenjoy tu na company zao,wengine ni sex tourism,nk nk
So usidhanie wanaishia kutalii tu pale hua ni lango la mwingiliano baina ya watu na watu Kuna wengine hupata wachumba Mbali Mbali either watalii wenzao au wenyeji,wengine kubanjuka tu utakuta kidada kina stress kiameachwa huko UK Kwa hasira atafuta faraja huku Afrika na atapata wafariji kama sisi,
Wengine wameachana na wasichana wao wakija huku wanakutana na kina Aisha wanapewa pumziko,
Yaani full taflani mambo hua ni zig zag Sana Hivyo wewe ukija na Hiyo conclusion Yako hapo Juu Mimi nakua sikuelewi Kabisa ila najua sometimes katika Kila sector changamoto hazikosekani
Ukitaka kuujua utamu wa N'goma ingia ucheze usikute unaponda hapa wakati mwenyewe hapo mpenda kitonga tu wewe ikitokea chance toto ya Latino imekuganda utaacha?
Unafiq tu wabongo wakati wote tunajuana kwamba ni watu wa michongo!
😁😁😁😁
🤣🤣🤣
 
Masai tulijuaga makamanda kumbe nao wale wale hapa visiwani. Tuliwahi kumfuma mmoja beach analamba balaa. Hela Hz asee
 
Back
Top Bottom