Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Masai zamaniMasai tulijuaga makamanda kumbe nao wale wale hapa visiwani. Tuliwahi kumfuma mmoja beach analamba balaa. Hela Hz asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masai zamaniMasai tulijuaga makamanda kumbe nao wale wale hapa visiwani. Tuliwahi kumfuma mmoja beach analamba balaa. Hela Hz asee
Kwa kumbukumbu zangu, hakufariki ila alikutwa hoi! Na baada ya lile tulio, Muitaliano akatimuliwa na kurudi kwao kabla hajamaliza "holiday" yake!Hivi alifariki au alizimia?
[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]Unategemea kuishi kwa kuhongwa na mabibi hadi lini?
we unaonekana una IQ ndogo sana, soma nilichoandika ndo utoe maoniunawasemea?
Wapi walikupa taarifa kua hawapendi urafiki?
Au ni hisia zako tu Ndio zinakuendesha!
ungekua na IQ kubwa ungetengeneza Maroketi ya Falcon X,time travel machine na ungeunda UFOs achilia Mbali ungeanzisha kiwanda Cha katengeneza wembe na sindano Ili tusiagize Toka china na India.we unaonekana una IQ ndogo sana, soma nilichoandika ndo utoe maoni
Mwamba una majibu ya hekima sana, watu wanakutusi na kukuuliza kwa kejeli ila wewe unawaelewesha kwa upole na hekima! Wewe ni muungwana, toka mwanzo wa thread hii nimefuatilia replies zako.ungekua na IQ kubwa ungetengeneza Maroketi ya Falcon X,time travel machine na ungeunda UFOs achilia Mbali ungeanzisha kiwanda Cha katengeneza wembe na sindano Ili tusiagize Toka china na India.
C'mon dude cool down and take easy utapata ugonjwa wa moyo Kila kitu ukichukulia seriously!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
mkuu shukrani Sana,Ndio Hivyo inatupasa tuishi na watu Kwa hekima Sana maana Katika Jamii Kuna Kila aina za watu,wengine waelewa,wengine wagumu,wengine Wana frustration za maisha,sadist,wabishi,wajuaji,Mwamba una majibu ya hekima sana, watu wanakutusi na kukuuliza kwa kejeli ila wewe unawaelewesha kwa upole na hekima! Wewe ni muungwana, toka mwanzo wa thread hii nimefuatilia replies zako.
You are civilized!
Vipi vibarua vya ujenzi kwenye hotel vipo?Utalii kwa afya
Wapare 🤣🤣🤣🤣Bora Wasouth hao wajukuu wa Musa hapo Israeli ni zaidi ya Wapare
Makaburu ni waafrika tu, wamisri, wahindi na wazungu wa zimbabwe ni waafrika kwa tabia.Makaburu wameishi na waafrika miaka karibia mia 400 hakuna wasichokijua
Makaburu ni waafrika tu, wamisri, wahindi na wazungu wa zimbabwe ni waafrika kwa tabia.
Uzungu na Uarabu ni tabia sio rangi, mwarabu wa Dubai usije linganisha na mwarabu wa unguja au moroco, halikadharika wazungu waliokulia Afrika usije linganisha na wa ulaya ni vitu viwili tofauti .
Tukumbuke tabia hujengwa na mazingira na hali ya uchumi wa nchi sio na rangi ya mtu.
Sidhani kama wanawafikia waisraeli
Nao ni masikini kama makaburu.Sidhani kama wanawafikia waisraeli
Hii mnafundishwa chuoni au ni elimu mtaa.sex on the beach,mojitos,Cubaribre,ciders nk nipo good mkuu
Hivi unalala vipi na mtu ambaye kiumri ni sawa na mama yako au bibi yako?!
Dah laana zingine hizi. 6
Hivi inakuwaje mimi nina miaka 40+ ninalala na vibint vya 20+ hivi si sawa na vitoto vyangu ?Hivi unalala vipi na mtu ambaye kiumri ni sawa na mama yako au bibi yako?!
Dah laana zingine hizi. 6
Acha kujitetea LOKOLEHivi inakuwaje mimi nina miaka 40+ ninalala na vibint vya 20+ hivi si sawa na vitoto vyangu ?
Swali ni kwamba nani alikwambia kulalana lazima mfanane umr ?
Kanuni ni kwamba mtu akibalehe tu anaweza tumiwa na mtu mwenzie alie balehe bika kizuizi cha miaka.
Kama kipo kitabu kimeainisha mahusiano kuzingatia miaka nijuze.
Si baba wala si mama, si mwalimu, si shehe, si mchungaji aliewahi niambia nitafute mwanamke kwa kuhesabu miaka yake, je wewe umetoa wapi ?
Mazoea tusifanye kuwa sheria.
Kunja ngumi , jipige kifuani alafu sema kimoyomoyo mimi ni mjinga sana.Nimekua katika industry hii ya Utalii. Yapata miaka 9 sasa hapa Unguja (Nungwi). Aisee hakuna watu bahili Kama vibibi toka South Africa wakija hamna tip Wala nn? Ukijidai kuvitongozah ndio balaa zaidi. Bora mabibi wa-kitaliano, wapo social na ukimpa show Kali anakuachia Dola za maana.
NB: Karibuni wamachinga tusake noti kwenye utalii
View attachment 2043099
View attachment 2081919