Watanganyika amkeni tujitafakari haraka ! Tunapigwa na kitu kizito

You know that Samia and Mwinyi (RIP) became presidents of the URT by virtue of the constitution, and still you dare write this bulshit. Imbecile at your excellency
 
Kwa nini hamna mkuu?
Kuna wilaya ya Tanganyika iko mkoa wa Katavi na kijiji kimoja kati ya Muheza na Pongwe unapokwenda Tanga.

Orodha ya nchi (sovereign states) inayopatikana UN hakuna kitu kinaitwa Tanganyika
 
Mkristo hawezi kumwita Muislam Kafir, it is opposite. Ni muislam tu wa Bara atamwita mtu mwingine ni Kafir (asiye muislam). Hii ni kujitofautisha na wengine.
sasa kama shida ndo hii tatizo sio zanzibar??? inaonekana kwa upande wako ni uislamu ambapo hapa si mahali pake kujadili labda ufungue uzi wa kidini
 
Nonsense and irrelevant argument
 
Ni mjinga pekee anaweza kuwakubali wazanzibar na wakati wazanzibar ni wabaguzi wakubwa haswa
unajua ninyi msichokielewa ni kwamba wazanzibar whether ni wabaguzi au si wabaguzi lakini wapo kwenye Muungano kwa mujibu wa sheria ...hata hizo privilages mnazolalamikia wanazipata zipo kwa mujibu wa sheria. kumkubali mtu au kumkataa ni suala la mtu husika na halihitaji mjadala...hata hapa bara pia baadhi ya makabila hayakubaliani ni mambo ya kawaida tu
 
Ndiyo tunataka huu muungano fake uvunjwe haraka hauna faida kwa mtu wa bara hauko sawa
 
Hamna kitu kinaitwa Tanganyika bwana!! Acheni kukaririshwa na wanaharakati uchwara
Nchi mbili ambazo ni Zanziba na Tanganyika ziliungana kuunda jamhuri ya muungano ya Tanzania. Kwa haraka haraka waweza kusema Tanzania siyo nchi.
 
Watanganyika wameanza kuteswa,kama Uzi unavyojieleza
 

Attachments

  • 1727068249690.png
    51.6 KB · Views: 1
 
Huu ni uchochezi wa kipumbavu kabisa!!! kwahiyo kwa unavyosema si haki kiongozi kutoka ZNZ kwa kuwa wenyewe ni wachache lakini haki ni wao kutawaliwa tu? si ndio?

Huu ni uchochezi na watu kama wewe mkiachiwa ndo mnaotuharibia nchi!!!
 
Huu ni uchochezi wa kipumbavu kabisa!!! kwahiyo kwa unavyosema si haki kiongozi kutoka ZNZ kwa kuwa wenyewe ni wachache lakini haki ni wao kutawaliwa tu? si ndio?

Huu ni uchochezi na watu kama wewe mkiachiwa ndo mnaotuharibia nchi!!!
Wanatawaliwa na nani! Katiba wanayo,Rais wanae,Baraza la mawaziri mnalo!
 
Nchi mbili ambazo ni Zanziba na Tanganyika ziliungana kuunda jamhuri ya muungano ya Tanzania. Kwa haraka haraka waweza kusema Tanzania siyo nchi.
Kama hauna akili. Wenye akili wanaangalia nani ana kiti kule UN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…