Watanganyika msihofu bandari zenu zitarudishwa mikononi mwenu na mahakama mkataba uloridhiwa na Bunge ni Void ab initio

Watanganyika msihofu bandari zenu zitarudishwa mikononi mwenu na mahakama mkataba uloridhiwa na Bunge ni Void ab initio

Eti Zanzibar inaweza kuruhusiwa kuingia mkataba wa kimataifa . We fala umesahau suala la Oic? We pimbi huna akili zaidi ya kumiliki simu na kujamba tu
OIC issue ilikuwa kwamba Zanzibar imeingia mkataba bila idhini ya Serikali ya Muungano.

Ona hapa IGA ya Hong Kong na USA.

Hong Kong si taifa, USA ni taifa, serikali zao zimeingia IGA.

Mbona hii IGA ya Hong Kong na USA unairuka hutaki kuiongelea?

 
IGA si mkataba wa taifa na taifa.

Ni mkataba wa serikali na serikali.

Nimekuoa mfanonwa IGA ya Hong Kong na USA.

Hong Kong si taifa, USA ni taifa.

Serikali za Hong Kong na USA zimeingia IGA mwaka 2020.

Kwa nini huelewi point hii?

Kwa nini nakueleza mara ya nne unajitia akili?

Soma IGA ya Hong Kong na USA kwenye link hapa.

Naomba uweke hapa serikali ya Hong na Dubai namna zilivyo na uelezee mamlaka zake zilivyo.
 
Naomba uweke hapa serikali ya Hong na Dubai namna zilivyo na uelezee mamlaka zake zilivyo.
Serikali ya Hong Kong na serikali ya Dubai, zote ni non state governments (per Montevideo Convention definition of a state).

Zinafanana kwa hilo, na hiyo ndiyo point muhimu hapa.

Hong Kong si state. Dubai si state.

Zote ni sehemu za states nyingine.

Hong Kong ni sehemu ya China.

Dubai ni sehemu ya UAE.

Hoja yako ni kwamba, serikali isiyo ya state, kama Dubai na Hong Kong, haziwezi kusaini IGA na state ya kigeni. Kwa sababu hazina nguvu ya state kusaini IGA na state ya kigeni.

Mimi napangua hoja yako kwa mfano.

Nimekupa mfano wa serikali ya Hong Kong, ambayo si serikali ya state, ambayo imesaini IGA na serikali ya USA, ambayo ni serikali ya state/nchi USA.

Hapo tunaona kwamba hoja yako kwamba Dubai si state, hivyo haina nguvu ya kusaini IGA na nchi ya kigeni Tanzania, inakosa nguvu.

Kama vile serikali ya Hong Kong, bila ya kuwa serikali ya state, ilivyoweza kusaini IGA na serikali ya state/ nchi USA, vivyo hivyo, serikali ya Dubai, bila ya kuwa serikali ya state, inaweza kusaini IGA na serikali ya state ya Tanzania.

Kinacjohitajika hapo ni idhini ya UAE kuidhinisha Dubai kuingia IGA na Tanzania.

Hoja yako kwamba serikali ya Dubai haiwezi kusaini IGA na Tanzania haina mashiko.

Hong Kong imepata idhini ya China na kusaini IGA na USA.

Dubai nayo inaweza kusaini IGA na Tanzania kwa mtindo huo huo, kwa idhini ya UAE.

Hoja nzima ya "Dubai si nchi" haina mashiko.

Mataifa kama China na UAE huwa yanafanya devolvement, yanatoa nguvu kwa no nstate governments ndani ya hayo nataifa, kuingia mikataba ya kimagaifa, kwa sababu zao wwnyewe, labda za kibiashara au kisiasa, whatever. Mataifa yote, China, UAE, Tanzania, etc, yana nguvu hizo.

Lete hoja nyingine tuzijadili.

Zipo nyingi tu za msingi, mkataba huu mbovu sana, una hoja nyingi sana za kukosoa.

Wewe huna umasikini wa hoja za msingi za kupinga katika mkataba huu, mpaka uokoteze hii habari ya "Dubai si nchi" ambayo si hoja kabisa.
 
Serikali ya Hong Kong na serikali ya Dubai, zote ni non state governments (per Montevideo Convention definition of a state).

Zinafanana kwa hilo, na hiyo ndiyo point muhimu hapa.

Hong Kong si taifa. Dubai si taifa.

Zote ni sehemu ya mataifa.

Hong Kong ni sehemu ya China.

Dubai ni sehemu ya UAE.

Hoja yako ni kwamba, serikali isiyo ya taifa, kama Dubai na Hong Kong, haziwezi kusaini IGA. Kwa sababu hazina nguvu ya utaifa kusaini IGA ya kimataifa.

Mimi napangua hoja yako kwa mfano.

Nimekupa mfano wa serikali ya Hong Kong, ambayo si serikali ya taifa, ambayo imesaini IGA na serikali ya USA, ambayo ni serikaki ya taifa la USA.

Hapo tunaona kwamba hoja yako kwamba Dubai si taifa, hivyo haina nguvu ya kusaini IGA ya kimataifa na Tanzania, inakosa nguvu.

Kama vile serikali ya Hong Kong, bila ya kuwa serikali ya taifa, ilivyoweza kusaini IGA na serikali ya taifa la USA, vivyo hivyo, serikali ya Dubai, bila ya kuwa serikali ya taifa, inaweza kusaini IGA na serikali ya taifa la Tanzania.

Kinacjohitajika hapo ni idhininya UAE kuidhinisha Dubai kuingia IGA na Tanzania.

Hoja yako kwamba serikali ya Dubai haiwezi kusaini IGA na Tanzania haina mashiko.

Hong Kong imepata idhini ya China na kusaini IGA na USA.

Dubai nayo inaweza kusaini IGA na Tanzania kwa mtindo huo huo, kwa idhini ya UAE.

Hoja nzima ya "Dubai si nchi" haina mashiko.

Lete hoja nyingine tuzijadili.

Zipo nyingi tu za msingi, mkataba huu mbovu sana, una hoja nyingi sana za kukosoa.

Wewe huna umasikini wa hoja za msingi za kupinga katika mkataba huu, mpaka uokoteze hii habari ya "Dubai si nchi" ambayo si hoja kabisa.
Samahani, weka muundo wa namna China inavyoitawala Hongkong na namna Dubai ilivyo ndani ya UAE.
 
Serikali ya Hong Kong na serikali ya Dubai, zote ni non state governments (per Montevideo Convention definition of a state).

Zinafanana kwa hilo, na hiyo ndiyo point muhimu hapa.

Hong Kong si taifa. Dubai si taifa.

Zote ni sehemu ya mataifa.

Hong Kong ni sehemu ya China.

Dubai ni sehemu ya UAE.

Hoja yako ni kwamba, serikali isiyo ya taifa, kama Dubai na Hong Kong, haziwezi kusaini IGA na nchi ya kigeni. Kwa sababu hazina nguvu ya utaifa kusaini IGA na nchi ya kigeni.

Mimi napangua hoja yako kwa mfano.

Nimekupa mfano wa serikali ya Hong Kong, ambayo si serikali ya taifa, ambayo imesaini IGA na serikali ya USA, ambayo ni serikali ya taifa la USA.

Hapo tunaona kwamba hoja yako kwamba Dubai si taifa, hivyo haina nguvu ya kusaini IGA ya kimataifa na Tanzania, inakosa nguvu.

Kama vile serikali ya Hong Kong, bila ya kuwa serikali ya taifa, ilivyoweza kusaini IGA na serikali ya taifa la USA, vivyo hivyo, serikali ya Dubai, bila ya kuwa serikali ya taifa, inaweza kusaini IGA na serikali ya taifa la Tanzania.

Kinacjohitajika hapo ni idhini ya UAE kuidhinisha Dubai kuingia IGA na Tanzania.

Hoja yako kwamba serikali ya Dubai haiwezi kusaini IGA na Tanzania haina mashiko.

Hong Kong imepata idhini ya China na kusaini IGA na USA.

Dubai nayo inaweza kusaini IGA na Tanzania kwa mtindo huo huo, kwa idhini ya UAE.

Hoja nzima ya "Dubai si nchi" haina mashiko.

Lete hoja nyingine tuzijadili.

Zipo nyingi tu za msingi, mkataba huu mbovu sana, una hoja nyingi sana za kukosoa.

Wewe huna umasikini wa hoja za msingi za kupinga katika mkataba huu, mpaka uokoteze hii habari ya "Dubai si nchi" ambayo si hoja kabisa.
Capacity to contract
 
Capacity to contract
Capacity to contract imefanya nini?

Hong Kong ina non state government, imepewa capacity to contract kwenye international agreements na state yake, China.

Serikali ya Hong Kong ikaingia IGA na USA. Hiyo IGA ni sawa na IGA ya Dubai na Tanzania, katika muktadha wa non state government (Hong Kong au Dubai)kuingia IGA na state government (USA au Tanzania).

Dubai nayo inaweza kufanya hivyo hivyo na UAE.

Hiki ndicho kilichofanyika.

Hii habari ya "Dubai si nchi" si hoja, tafuta hoja.

Mbona hoja zipo nyingi tu hata TLS wamezitaja?
 
Nani kakudanganya?

Nani pia kakwambia Dubai haiwezi kuingia mkataba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi wanafikiri kwamba IGA ni mkataba kati ya nchi na nchi.

Hawaelewi kwamba government ( the G in IGA) hata kijiji kinaweza kuwa na government.

Hawaelewi suala la devolvement of full instruments of power from the state government to a lower government inakuwaje.

Hii ndiyo sababu inayowafanya watu waseme Dubai si nchi, hivyo haiwezi kusaini mkataba na Tanzania.

Ni kukosa kuelewa IGA ni nini, na kukosa kuelewa devolvement of full instruments of power from a state government to a lower government inavyoweza kuwa.

Mkataba una point nyingi za kuukataa na kuukosoa. TLS wamezichambua.

Lakini hii habari ya "Dubai si nchi, hivyo mkataba ni batili" si hoja.
 
Capacity to contract imefanya nini?

Hong Kong ina non state government, imepewa capacity to contract kwenye international agreements na state yake, China.

Serikali ya Hong Kong ikaingia IGA na USA. Hiyo IGA ni sawa na IGA ya Dubai na Tanzania, katika muktadha wa non state government (Hong Kong au Dubai)kuingia IGA na state government (USA au Tanzania).

Dubai nayo inaweza kufanya hivyo hivyo na UAE.

Hiki ndicho kilichofanyika.

Hii habari ya "Dubai si nchi" si hoja, tafuta hoja.

Mbona hoja zipo nyingi tu hata TLS wamezitaja?
Unaelewa maana ya Autonomous?
Screenshot_20230730-093625.jpg
 
Watu wengi wanafikiri kwamba IGA ni mkataba kati ya nchi na nchi.

Hawaelewi kwamba government ( the G in IGA) hata kijiji kinaweza kuwa na government.

Hawaelewi suala la devolvement of full instruments of power from the state government to a lower government inakuwaje.

Hii ndiyo sababu inayowafanya watu waseme Dubai si nchi, hivyo haiwezi kusaini mkataba na Tanzania.

Ni kukosa kuelewa IGA ni nini, na kukosa kuelewa devolvement of full instruments of power from a state government to a lower government inavyoweza kuwa.

Mkataba una point nyingi za kuukataa na kuukosoa. TLS wamezichambua.

Lakini hii habari ya "Dubai si nchi, hivyo mkataba ni batili" si hoja.
Kwa nini kwenye mkataba huu bandari Dubai inatamkwa kama state party? Tumia akili hata kidogo wewe pimbi
 
Unaelewa maana ya Autonomous?View attachment 2702742

Hiyo autonomous ninkwenye mambo ya ndani Hong Kong, tena de jure, nit de facto.

Hong Kong ilirudishwa China na UK mwaka 1997.

Hong Kong haina autonomy kwenye mambo ya kimataifa. Haina kiti Umoja wa Mataifa, haina uwezo wa kuingia mikataba ya kimataifa bika idhini ya China.

Katika hili, Hong Kong, Dubai na Zanzibar ziko sawa.



At midnight, June 30, 1997, the Chinese and British governments held a power transferring ceremony in Hong Kong at which the Chinese government formally resumed the exercise of sovereignty over Hong Kong. Hong Kong's return to China marks the success of applying Deng Xiaoping's concept of "one country, two systems" to resolve the Hong Kong issue and an important step forward in the cause of China 's reunification. It also contributed to world peace and stability.
 
Kwa nini kwenye mkataba huu bandari Dubai inatamkwa kama state party? Tumia akili hata kidogo wewe pimbi

Umekubali kwamba Dubai inaweza kusaini IGA na Tanzania sasa?

Kwa nini bandari Dubai inatamkwa kuwa state party?

Kwa sababu Bandari Dubai ni mali ya serikali pumbavu wahedi wewe.

Unataka majadiliano au unataka kunitukana?

Kama unataka kushindana kutukanana naweza kukupa kikombe cha kutukanana nikaacha kujadiliana nawe.

Nikakuweka ignore list kabisa nisione posts zako zote.

Mpaka sasa umekuwa an insufferable bore tu.

Unalazimisha kitu kwa hisia bila kuangalia facts.
 
Umekubali kwamba Dubai inaweza kusaini IGA na Tanzania sasa?

Kwa nini bandari Dubai inatamkwa kuwa state party?

Kwa sababu Bandari Dubai ni mali ya serikali pumbavu wahedi wewe.

Unataka majadiliano au unataka kunitukana?

Kama unataka kushindana kutukanana naweza kukupa kikombe cha kutukanana nikaacha kujadiliana nawe.

Nikakuweka ignore list kabisa nisione posts zako zote.

Mpaka sasa umekuwa an insufferable bore tu.

Unalazimisha kitu kwa hisia bila kuangalia facts.
Hapana mpaka sasa nakataa, kwa mujibu wa mkataba wa Montevideo, dupai sio nchi na haina mamlaka ya kufanya makubaliano kimataifa
 
Hapana mpaka sasa nakataa, kwa mujibu wa mkataba wa Montevideo, dupai sio nchi na haina mamlaka ya kufanya makubaliano kimataifa
Unaelewa kwamba serikali ya nchi inaweza kufanya devolvement of full instruments of power na kuipa serikali ya chini yake nguvu za kuingia mikataba ya kimataifa kwenye mambo waliyokubaliana?


devolvement

Definitions of devolvement

noun

the delegation of authority (especially from a central to a regional government)
 
Back
Top Bottom